Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Ha ha ha mkuu wangu👍...unaweza ukawa na black belt na wakakudhuru kwa kukuwahi vyema tu 🤣Hawa wajinga wa Mbagala wasijichanganye kwangu nitawaua.
[emoji1]Ha ha ha mkuu wangu[emoji106]...unaweza ukawa na black belt na wakakudhuru kwa kukuwahi vyema tu [emoji1787]
Muhimu ni kujua mbinu za kujilinda wakikuvamia na kinachofuata ukimbie....laa kama wewe ni Jet Lee basi utawapelekea moto wa maana!
Mkuu huku uswahilini Kuna tatizo moja....ukikabwa jamii haisaidii kwani WAKABAJI NI WATOTO WAO....unaweza kuwatandika wakabaji halafu wahuni wote wa mtaa wakakumiminikia na silaha tofauti....Sasa ukitoka hapo shukuru Mungu...kama unatembea na "uchawi wa mzungu" basi Hilo ni jengine maana huo uchawi ni balaa [emoji1787][emoji1787]
🤣[emoji1]
Kuna mwana mmoja pande za mwembeyanga tmk ndio zake hzo wahuni huwa wanajua chizi kumbe mwana yupo timamu tuu hizo ni Teknik utumia afikapo sehemu zile korof huyo hadi anaokota makopo hajawah kukabwa kwa teknik zakeKuna hii mbinu ya kuvua nguo zote, unaziweka kwenye mfuko, unabaki na boksa. Hii hutumika sehemu korofi sana!
Siku zote matukio ya kukabwa huwa Kama ambush so sio Jambo lakuombea ukutane naloHawa wajinga wa Mbagala wasijichanganye kwangu nitawaua.
Hili la kutembea bila vitu vya thamani linaweza kukutokea puani. Wezi wengine wakikuta huna kitu wanakufanyia unyama mbaya sana.Kanuni zangu za kutembea usiku
1.kutembea kama mm ndo mwizi.....yaan ukikutana na mm nahakikishaww ndo unahama barabara kunihofia
2.kutembea bila vitu vya thaman au pesa ndefu
3.kuvaa viatu vitakavyonisaidia kufunguka (kukimbia ) pale mambo yatakapokuwa siyo mambo
Nakumbuka nikiwa Arusha nasoma chuo cha uhasibu miaka ya 2013 kama sijakosea, kuna siku nlishuka kituo cha SDA pale Njiro ili niende ghetto.
Basi nimetembea kama mita kumi hivi njia nzima nipo peke yangu mara nasikia kuna mtu kama anatembeaa ila kwa vishindo kidogo sana, kucheki nyuma kuna njemba hata sijui ilikotokea, kwa hatua za kiusalama akili ilifunguka nikaongeza mwendo ila nikienda kushoto nae anakuja kushoto nikienda kulia nae ni kulia anakuja kwa kuongeza mwendo, mara mbele yangu akatokea mwengine kama anataka anizibe flani hivi.
Nilitoka mbio, sikuruhusu kuwa ndani ya 18 zao maana kwa stori tulizokuwa tukiskia ni kwamba wale vijana ni hatari tupu, nlijidai kama nmesimama flani hivi, akilini nikawa nachora ramani nikimbilie wapi, basi ile nakariba kuwa ndani ya 18 nlitoka spidi nadhani ile siku ndio nlikimbia tangu nizaliwe, wakati nataka nianze kukimbia moja wao alinipiga na kitu kama ubao, nilivyofika geto nilikuwa na kanundu kwa mbali, walinifukuza kidogo ila kwa mbio nilizotoka naona walisanda huku wakinisindikiza na matusi mazito ila nashukuru niliwakwepa.
Acha uongo UEFA 2010 final ilikuwa Inter Milan Vs Bayern.Yes 2010
Fainali uefa baina ya asernal na Barcelona kumbukumbu golikipa asernal alipata kadi nyekundu mapema sana alimgusa unyayo samueli eto akienda kufunga goli
Najamaa yangu tunasiku mbili panaitwa bagamoyo unaelekea stend kuu yatukuyu panadispensari na bar moja hivi nalakitano kwenye waleti ,simu Samsung
Kumbe kunajamaa ananiwinda mana natumia pombe balaa
Ukafika muda wamechi bwana ukumbini nilazima upite kaunta ,upande wakulia kunachoo unavoelekea ukumbini
Niliingia choo gent kama kawa kumbe kibaka alikuja nyumayangu akaingia cha ke ili ufike choo cha wanaume nilazima uvuke mlango wa ke
Natoka hivi nataka kukunja niingie baa niliguswa begani kugeuka nikasukumwa kidogo ukutani nikanata pale
Jamaa akatoa kisu vile vyakufyatua akaniambia unaona watu wanapita kuingia kuangalia mechi nikasema ndio
Ukipiga kelele wananiua naomba zilehela zote na simu kila kitu tumeona kwanza mgeni hapa tokajana unakunywa tu bia hapa ukikaa hata kuinuka huinuki
Nikasema nimekwisha ghafla akili ikija yule jamaa niponae alikua ametoka bwana mungu mwema akili ikaja nilegeze mwili na kauli hapo kichwani nipo nahisi damu inamwagika nimeloa mwiliwote
Watu wanapita nawanamwita jamaa jinalake(),anaitikia poa napiga stories na big yetu hapa
Basi ,nikamuangalia alivo nikipande cha MTU mweusi harufu pia yabangi kwambali nasikia toka kwake
Kimo chake urefu kidogo tunalingana
Nawaza nipige wapi huyu usoni jibu ikawahapa
Ghafla wazo likaja nitagonga kichwa changuvu eneo lapua nilazima ainame kidogo niifaidi pua yake
Nikamwambia naomba laini nitoe nikuachie simu napesa zote nakupa
Jibu likawa
Sawa brother nyie ndo mabrother tunawataka hamna bugdha
Nikatoa laini ingia mfuko wanyuma to a waleti
Wakati natoa waleti aliinama ili aifadhi kisu anavoinuka niligonga kichwa puani alilia kwasauti kubwa mamaaaaa nakufa akadondoka chini paaa
RAIA kwenye ukumbi na bar wakatoka wanauliza imekuaje nikawambia wakati mnapita hapa nilikua nimepigwa tero amesema nimpe simu napesa pia Mimi mgeni nakaaje sikumbili nakunywa tu pombe
ndo nikasikia najina lake anaitwa God ,dereva vigali beba mizigo soko LA tukuyu stend pale
Kutoka ilesiku sijawahi kusekana nyumbani sambili kamili usiku labda niwe safarini
Usiombee ukutwe au ubananishwe na kibaka sikiaga tu
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Shida yote hiyo ya nini?Kuna mwana mmoja pande za mwembeyanga tmk ndio zake hzo wahuni huwa wanajua chizi kumbe mwana yupo timamu tuu hizo ni Teknik utumia afikapo sehemu zile korof huyo hadi anaokota makopo hajawah kukabwa kwa teknik zake
Labda kasahau banaAcha uongo UEFA 2010 final ilikuwa Inter Milan Vs Bayern.
Labda ila kutoka 2006 ilipochezwa hiyo fainali mpaka 2010 ni mbali sana.Labda kasahau bana
Ilikuwaje MkuuSitasahau tarehe 13 may 2021.