Umewahi kupigwa roba mtaani? Weka kisa chako

Umewahi kupigwa roba mtaani? Weka kisa chako

Nakumbuka nikiwa Arusha nasoma chuo cha uhasibu miaka ya 2013 kama sijakosea, kuna siku nlishuka kituo cha SDA pale Njiro ili niende ghetto.

Basi nimetembea kama mita kumi hivi njia nzima nipo peke yangu mara nasikia kuna mtu kama anatembeaa ila kwa vishindo kidogo sana, kucheki nyuma kuna njemba hata sijui ilikotokea, kwa hatua za kiusalama akili ilifunguka nikaongeza mwendo ila nikienda kushoto nae anakuja kushoto nikienda kulia nae ni kulia anakuja kwa kuongeza mwendo, mara mbele yangu akatokea mwengine kama anataka anizibe flani hivi.

Nilitoka mbio, sikuruhusu kuwa ndani ya 18 zao maana kwa stori tulizokuwa tukiskia ni kwamba wale vijana ni hatari tupu, nlijidai kama nmesimama flani hivi, akilini nikawa nachora ramani nikimbilie wapi, basi ile nakariba kuwa ndani ya 18 nlitoka spidi nadhani ile siku ndio nlikimbia tangu nizaliwe, wakati nataka nianze kukimbia moja wao alinipiga na kitu kama ubao, nilivyofika geto nilikuwa na kanundu kwa mbali, walinifukuza kidogo ila kwa mbio nilizotoka naona walisanda huku wakinisindikiza na matusi mazito ila nashukuru niliwakwepa.
Dah umenichekesha tumbili wewe,ni mimi ndio nilikukimbiza usiku ule,dah jamaa unasepa kama treni ya umeme
 
Afu sikuwa na simu wala nini zaidi ya 3000 ya chips yai na soda, kwahiyo utam tuu ndio nilikuwa nao... lakini hawakunigusa zaidi ya ngwara na wao wakakimbia kama wameona simba,daah!!!
Kwangu ungetoa tu huo utam nikikuonyeshea likisu likubwa nakukuambia ukipiga kelele tu namwaga utumbo mbona ungesema tu "yote kheri baba chukua yote yako"😂
 
Mwaka 2004 natoka zangu mjini kuelekea home. Mjini daladala zikawa hakuna, bahati nikapata la Mabibo nikajisemea kimoyomoyo, ngoja nipande hili nitaunganisha Manzese la Kimara. Kufika manzese nikaona nikashukie CCM Kona ya Mabibo. Ile nashuka nikaona nipate bia mbili pale Rambo bar, wengi mtaikumbuka ilikua na Malaya wengii. Basi bwana nikapata siti pale nje na kuahiza safari ya baridi huku nikivizia daladala za Kimara. Nikipata bia za kutosha na simu yangu ya sony mlio polyphonic.
Ile nimelaza bia zangu nikaona pale kituoni Kuna watu Kama watano hivi. Nikaona na Mimi niungane nao tusubiri daladala. Kumbe wote vibaka. Aisee ilenafika kituoni sekunde nyingi nilijikuta nimelimwa mtama Niko chini Sina simu na mituko yoye iko nje.
Kipindi kile surualizilikuana mifuko ya Siri. Hivyo hakiba yangu nyingi hawakuiona. Baada ya kunipora huku mmoja amenikaba Koo wakaondoka. Nilivyo cheki hakiba yangu ipo nilirudi Tena Rambo na kuagiza beer nikiwa pale nje. Na wenyewe baadae walirudi kituoni wakaniona na gida bia. Naona Sasa walijiandaa kikamilifu. Nami nilitoa pesa na kuzihesabu nikiwa pale nje kwenye taa wazione Kisha nikaingia kwenye taxi.
Hahaha we jamaa una majaribu sana,umekabwa ukarudi tena kunywa bia na ukahesabu hela wakiwa wanakuona
 
Mwaka 2004 natoka zangu mjini kuelekea home. Mjini daladala zikawa hakuna, bahati nikapata la Mabibo nikajisemea kimoyomoyo, ngoja nipande hili nitaunganisha Manzese la Kimara. Kufika manzese nikaona nikashukie CCM Kona ya Mabibo. Ile nashuka nikaona nipate bia mbili pale Rambo bar, wengi mtaikumbuka ilikua na Malaya wengii. Basi bwana nikapata siti pale nje na kuahiza safari ya baridi huku nikivizia daladala za Kimara. Nikipata bia za kutosha na simu yangu ya sony mlio polyphonic.
Ile nimelaza bia zangu nikaona pale kituoni Kuna watu Kama watano hivi. Nikaona na Mimi niungane nao tusubiri daladala. Kumbe wote vibaka. Aisee ilenafika kituoni sekunde nyingi nilijikuta nimelimwa mtama Niko chini Sina simu na mituko yoye iko nje.
Kipindi kile surualizilikuana mifuko ya Siri. Hivyo hakiba yangu nyingi hawakuiona. Baada ya kunipora huku mmoja amenikaba Koo wakaondoka. Nilivyo cheki hakiba yangu ipo nilirudi Tena Rambo na kuagiza beer nikiwa pale nje. Na wenyewe baadae walirudi kituoni wakaniona na gida bia. Naona Sasa walijiandaa kikamilifu. Nami nilitoa pesa na kuzihesabu nikiwa pale nje kwenye taa wazione Kisha nikaingia kwenye taxi.
Konyo sana wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka nikiwa Arusha nasoma chuo cha uhasibu miaka ya 2013 kama sijakosea, kuna siku nlishuka kituo cha SDA pale Njiro ili niende ghetto.

Basi nimetembea kama mita kumi hivi njia nzima nipo peke yangu mara nasikia kuna mtu kama anatembeaa ila kwa vishindo kidogo sana, kucheki nyuma kuna njemba hata sijui ilikotokea, kwa hatua za kiusalama akili ilifunguka nikaongeza mwendo ila nikienda kushoto nae anakuja kushoto nikienda kulia nae ni kulia anakuja kwa kuongeza mwendo, mara mbele yangu akatokea mwengine kama anataka anizibe flani hivi.

Nilitoka mbio, sikuruhusu kuwa ndani ya 18 zao maana kwa stori tulizokuwa tukiskia ni kwamba wale vijana ni hatari tupu, nlijidai kama nmesimama flani hivi, akilini nikawa nachora ramani nikimbilie wapi, basi ile nakariba kuwa ndani ya 18 nlitoka spidi nadhani ile siku ndio nlikimbia tangu nizaliwe, wakati nataka nianze kukimbia moja wao alinipiga na kitu kama ubao, nilivyofika geto nilikuwa na kanundu kwa mbali, walinifukuza kidogo ila kwa mbio nilizotoka naona walisanda huku wakinisindikiza na matusi mazito ila nashukuru niliwakwepa.
😂😂Jiite ata sky sungusungu/mgambo
 
Kanuni zangu za kutembea usiku

1.kutembea kama mm ndo mwizi.....yaan ukikutana na mm nahakikishaww ndo unahama barabara kunihofia
2.kutembea bila vitu vya thaman au pesa ndefu
3.kuvaa viatu vitakavyonisaidia kufunguka (kukimbia ) pale mambo yatakapokuwa siyo mambo
Hyo ndo kanuni muhim tena kama njia unayopita kuna wahun mbele vua kabisa shat weka begani tembea kwa kutuna uku ukijiongelea kwa nguvu kibabe Zaidi tena mwendo nao tembea wa kibaharia na ukipita Kwny kona usijitokeze mzimamzima ikibidi inamisha kichwa kidogo alaf pita apo unaweza kwepa roba ya Koo.
 
Yaaani wewe ni baka baka kabisaaa😝
Mi ni kibaka ninaekushawishi kabisa nakuambia kifo ni kibaya nikikuuwa sahivi na haujatubu utakuwa umefanya nini sasa!! Yani ufe kwa mateso halafu uende mbinguni hata ujakaa vizuri unaambiwa nenda kule kunakovuka Moshi..😂
Haya unakufa halafu unamalengo hujatimiza! Kuna watu wanahitaji fahari ya uwepo wako bado Kuna malengo ulitaka uwatimizie!. Hata kabla sijaendelea ushavua na Pichu na umeshaloa unasema tu "taratibu Sasa"..🤣🤣
 
Na mimi niseme

ilikua siku kuu ya eid kama juzi, around mida ya alasir nikaenda peke yangu fukwe furani basi nikapunga upepo na kushangaa shangaa kando kando ya fukwe

Along the way nikakuta na mdada tukanza kupiga story mbili tatu na kuchezea maji akanizoea na hadi akanipa begi na simu nimshikie, Haikuchukua muda Polisi wakaanza kutawanya watu pale tukasepa mdogo mdogo hao hao na ice cream zetu mkononi,

Tukafika sehem bado maeneo yale ya beach tuka kaa na kula story tena ilikua ni pemben tuu ya barabara watu wanapita wengi tuu, badala ya kusimama na kusepa sisi tumesimama na tukaeendelea kupiga soga na kucheka cheka pale

Wakat giza imeingia, Hapo watu wamepungua sana gafla nikaona watu wawili wanakuja kwetu haraka haraka, kumbe walikua vibaka wakanivamia mimi mmoja akatoa kijipanga kidogo dogo akanikwida t-shirt kwenye purukushani nikaanguka chini nika ikalia ile simu ya yule mdada yang wakasepa nayo ilikua mfuko wa mbele na lile begi la yule mdada wakachukua mule kulikua na vitenge, dawa na vitu vingine vidogo

Hatua kadhaa kama mita 10 muda ule kulikua na wamasai (walinzi) wanatembea wanakuja tulipo sisi na wale vibaka walipishana nao, wamasai walipofika na wakatuuliza maana there was unrest situation pale yule dada alikua analia, nikawaambia rafiki hapa tumeibiwa mmoja akasema kuna jamaa wamepita na begi wanakimbia nikiwaambia ndio hao hao wakaniambia si mngepiga makelele tungewakamata wale.

Wale masai wakajaribu kuangalia huku na huku hawakuona dalili ya vibaka wale kubakia maeneo yale.

Tukaagan na masai tukaondoka pale lakini yule mdada alikua kachoka kweli na kunyong'onyea, tukaenda kula and after some time tukasahau majanga na nikamsindikiza mpaka jirani na anapoishi hapo around Saa nne usiku
 
Mwaka 2004 natoka zangu mjini kuelekea home. Mjini daladala zikawa hakuna, bahati nikapata la Mabibo nikajisemea kimoyomoyo, ngoja nipande hili nitaunganisha Manzese la Kimara. Kufika manzese nikaona nikashukie CCM Kona ya Mabibo. Ile nashuka nikaona nipate bia mbili pale Rambo bar, wengi mtaikumbuka ilikua na Malaya wengii. Basi bwana nikapata siti pale nje na kuahiza safari ya baridi huku nikivizia daladala za Kimara. Nikipata bia za kutosha na simu yangu ya sony mlio polyphonic.
Ile nimelaza bia zangu nikaona pale kituoni Kuna watu Kama watano hivi. Nikaona na Mimi niungane nao tusubiri daladala. Kumbe wote vibaka. Aisee ilenafika kituoni sekunde nyingi nilijikuta nimelimwa mtama Niko chini Sina simu na mituko yoye iko nje.
Kipindi kile surualizilikuana mifuko ya Siri. Hivyo hakiba yangu nyingi hawakuiona. Baada ya kunipora huku mmoja amenikaba Koo wakaondoka. Nilivyo cheki hakiba yangu ipo nilirudi Tena Rambo na kuagiza beer nikiwa pale nje. Na wenyewe baadae walirudi kituoni wakaniona na gida bia. Naona Sasa walijiandaa kikamilifu. Nami nilitoa pesa na kuzihesabu nikiwa pale nje kwenye taa wazione Kisha nikaingia kwenye taxi.
We jamaa comedian
 
Mwaka 2004 natoka zangu mjini kuelekea home. Mjini daladala zikawa hakuna, bahati nikapata la Mabibo nikajisemea kimoyomoyo, ngoja nipande hili nitaunganisha Manzese la Kimara. Kufika manzese nikaona nikashukie CCM Kona ya Mabibo. Ile nashuka nikaona nipate bia mbili pale Rambo bar, wengi mtaikumbuka ilikua na Malaya wengii. Basi bwana nikapata siti pale nje na kuahiza safari ya baridi huku nikivizia daladala za Kimara. Nikipata bia za kutosha na simu yangu ya sony mlio polyphonic.
Ile nimelaza bia zangu nikaona pale kituoni Kuna watu Kama watano hivi. Nikaona na Mimi niungane nao tusubiri daladala. Kumbe wote vibaka. Aisee ilenafika kituoni sekunde nyingi nilijikuta nimelimwa mtama Niko chini Sina simu na mituko yoye iko nje.
Kipindi kile surualizilikuana mifuko ya Siri. Hivyo hakiba yangu nyingi hawakuiona. Baada ya kunipora huku mmoja amenikaba Koo wakaondoka. Nilivyo cheki hakiba yangu ipo nilirudi Tena Rambo na kuagiza beer nikiwa pale nje. Na wenyewe baadae walirudi kituoni wakaniona na gida bia. Naona Sasa walijiandaa kikamilifu. Nami nilitoa pesa na kuzihesabu nikiwa pale nje kwenye taa wazione Kisha nikaingia kwenye taxi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom