Umewahi kupigwa tukio gani kwenye mapenzi na huwezi kusahau mpaka leo?


mzee ungeuliwa unanywesha kiti ya watu k vant
 
Vitabu vitatu

Uchumi/utajiri
Biashara
Umasikini

Mwafrika alikua wakwanza kwenda kuchagua ,ghafla akakumbuka hakumwaga mkewe ,akaaga anakuja ,akajikutia kitabu Cha umasikini kimebakia
Nenda jukwaa la uchumi na usirudi tena hapa MMU

HIvi huwa hamuelewi mpo jukwaa gani?
 
Malizia kisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
🤣🤣 nmecheka kama fala
 
Kuna wanawake wamedata😄
 
Matako yake. Me ningemtukana.
 
Demu wa namna hiyo unamwambia tafuta mwenzako mkali na mzuri uje niwat*mbe threesome kila nikijisikia ndipo tuzungumzie msamaha kama haiwezekani nipotezee.
 
Asilimia kubwa ya wadada wakibongo wana element zakitapeli mtu anakusaidia vzuri tena kwa moyo mzuri wanamuona danga tena mtu ukishamtatulia shida zake anakuona Kama takataka na hivo unaweza shangaa hata hio simu hakudumu nayo kabsa
Halafu huko anapokwenda na komwe lake utadhani starter ya pantoni anaenda kukutana na mwamba anamtia mimba na anamtia pia na makofi na vipigo halafu anamletea mapichapicha kisha unakuta anakwenda sugua magoti makanisani akilia lia kwa MUNGU kwann anapitia magumu kumbe alipata mtu mwenye utu na moyo wa upendo na alikuwa tayari kumtreat vizuri na tayari kumuoa kwa ndoa ya heshima.

PUMBAVU SANA hawa watu wacha wapitie haya magumu wanayopitia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaaaaaaa
 
Reactions: EEX

Dah[emoji28][emoji28] nmecheka
 
Naunga hoja...
 
hasa hao wambulu ndo balaa tupu...
 
Yule mpuuzi aliniomba nauli ya goo endi ritani eti anaenda Dar kwenye Send-off ya mtoto wa shangazi yake, nikampa shilingi laki mbili , mbwa yule kumbe ni yeye ndio alikuwa anaenda kuolewa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah
 

njoo umaliziee hukuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…