Umewahi kusalitiwa kwenye mapenzi, Ilikuaje?

Umewahi kusalitiwa kwenye mapenzi, Ilikuaje?

Nomadix

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2025
Posts
2,411
Reaction score
6,646
WanaMMU kwema, natumaini nyote hamjambo, kama hauko poa nakuombea uwe sawa, Amen!
Mapenzi Mapenzi Mapenzi

1000007154.jpg
Kwenye mahusiano huwa inatokea kusaliti na kusalitiwa kimapenzi wengine hadi wanafikia hatua ya kufumaniwa kabisa. Kucheat na kucheatiwa kupo nje nje kwa sasa, kwa sisi wanaume hii kitu inauma sana japo tunajifariji humu eti kuchapiwa kawaida, hamna ukawaida wowote tunajikaza tu kisabuni(simaanishi mambo yale ya sabuni haha)

1000007153.jpg

kuchapiwa kunauma sana kunauma hatari yani ukikumbuka unahisi kama upanga wa moto unapenyezwa moyo, unajikaza tu maana maisha inabidi yaendelee.

1. Umewahi kusalitiwa na mpenzi wako, ilikuaje?
2. Unaweza kumwamini tena mpenziwako uliemfumania?
3. Bila kujali mmeachana au mmerudiana, jeraha la kusalitiwa limepona au bado unaugulia kwa ndani?

"Is it better to have had a good thing(or person) and lost it, or never to have had it?
- Our Mutual Friend, Charles Dickens

Cc: Mapenzi
 
"Nilikuwa bado sijakuamini vizuri,nikatembea naye,ila kwa kuvaa mpira na ilikuwa mara moja tu,kiukweli mimi nakupenda sana wewe,yule wala sina mpango naye na wala sina mawasiliano yake" alisikika mdada mmoja akijitetea baada ya jamaa yake kubaini alitembea na kijana mmoja hivi wa mtaani....
 
"Nilikuwa bado sijakuamini vizuri,nikatembea naye,ila kwa kuvaa mpira na ilikuwa mara moja tu,kiukweli mimi nakupenda sana wewe,yule wala sina mpango naye na wala sina mawasiliano yake" alisikika mdada mmoja akijitetea baada ya jamaa yake kubaini alitembea na kijana mmoja hivi wa mtaani....
dah jamaa hapo unashangaa alijibu "usijali mpenzi ila usirudie tena nakupenda pia"
 
Hatari mwanawane...sii mchezo hiyo.
Alafu kalivyokuwa kasengeee eti mzabzab bado nakupenda. Kenge kabisa yule mwanamke
Me kuna ngedere moja ilinitongoza yenyewe tena kwa kuniletea mazawadi kibao kumbe yeye ndo style yake kutongoza wanaume, nakuja kusikia kamtongoza na mshkaji wangu na inahonga hatari.. ile kumchana atulize mapepe eti akasema nimrudishie zawadi zake zoote, ikala block! Walioana na mwamba sijui ilitulia ndoani au vp
 
Me kuna ngedere moja ilinitongoza yenyewe tena kwa kuniletea mazawadi kibao kumbe yeye ndo style yake kutongoza wanaume, nakuja kusikia kamtongoza na mshkaji wangu na inahonga hatari.. ile kumchana atulize mapepe eti akasema nimrudishie zawadi zake zoote, ikala block! Walioana na mwamba sijui ilitulia ndoani au vp
Haha ukachimba na zawadi za bibie dah mwanamke akinitongoza huwa namruka futi buku
 
Back
Top Bottom