Omba yasikukute ya kufumania liveSijawah fumania live maybe sms
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Omba yasikukute ya kufumania liveSijawah fumania live maybe sms
Wee hujapenda badoSijawah fumania live maybe sms
Kusalitiwa inauma sana maumivu makali hata akiomba msamaha unamsamehe basi tu lakini akili haipo kwake tenamimi nilifumania SMS za jamaa amemmisi mpaka jamaa anaomba bibie wangu Amzalie mtoto,kumuuliza akapata hasira akaondoka
baadae ndo akarudi kuomba msamaha nilimwambia hatutaweza ishi pamoja tena.
maumivu yake acha kabisa huyu tulikuwa tunaishi mke na mume na tulikuwa na mtoto tayali.
Dub hatari....so huyo mtoto umwpima dna isje kuwa ni bao la mwanaume mwenziomimi nilifumania SMS za jamaa amemmisi mpaka jamaa anaomba bibie wangu Amzalie mtoto,kumuuliza akapata hasira akaondoka
baadae ndo akarudi kuomba msamaha nilimwambia hatutaweza ishi pamoja tena.
maumivu yake acha kabisa huyu tulikuwa tunaishi mke na mume na tulikuwa na mtoto tayali.
Sio kweli sijapata hiyo bahat na ikitokea nimepata Nina utulivu sana nakuacha Kwa heshima bila kukurahibia Kwa huyo mwingine akale maisha vizuri 😃Wee hujapenda bado
Njoo nikupende wee mrembo bwanaSio kweli sijapata hiyo bahat😃
hivi unajuaje umempenda mtu kuna mtoto wa mtu anasumbulia akili najiuliza nampenda au ndio nimemtamaniSio kweli sijapata hiyo bahat na ikitokea nimepata Nina utulivu sana nakuacha Kwa heshima bila kukurahibia Kwa huyo mwingine akale maisha vizuri
HahahNjoo nikupende wee mrembo bwana
Ebu mgegede mara tatu kama bado mzuri machoni pako basi huyo umempendahivi unajuaje umempenda mtu kuna mtoto wa mtu anasumbulia akili najiuliza nampenda au ndio nimemtamani
Sasa unaachaje deliboloz lako...lazima ulipambanie...hamna mwanaume wako peke yako u have to fight aise....usikae kizembeSio kweli sijapata hiyo bahat na ikitokea nimepata Nina utulivu sana nakuacha Kwa heshima bila kukurahibia Kwa huyo mwingine akale maisha vizuri 😃
Kila mtu ana namna anavofeel kujua amempenda au lah wanaume Huwa mnatamni kwanza mnakuja kupenda badae muda unavokwendahivi unajuaje umempenda mtu kuna mtoto wa mtu anasumbulia akili najiuliza nampenda au ndio nimemtamani
Actually Nina wivu na ninajitihada kutamni mtu atulie ila ikishindikana bas awe na adabu kidogo nisijue kumfumania maana yake kanivua vyeo vyote kwanza why nimfumanie asifiche ujinga wakeSasa unaachaje deliboloz lako...lazima ulipambanie...hamna mwanaume wako peke yako u have to fight aise....usikae kizembe
Hili nalo neno. Basi mie nitakuwa na adabu zote. Micheps hutakuja kuiona wala kuisikiaActually Nina wivu na ninajitihada kutamni mtu atulie ila ikishindikana bas awe na adabu kidogo nisijue kumfumania maana yake kanivua vyeo vyote kwanza why nimfumanie asifiche ujinga wake
Wewe utanambia hakuna Cha pekeyako 😂😂Hili nalo neno. Basi mie nitakuwa na adabu zote. Micheps hutakuja kuiona wala kuisikia
[emoji1787] ni katoto ka2000 mpaka shikamoo napewa haha ngoja nije nikafanyie hivo make kana msambwanda hatari sema mkuu nasita maana nikainnocent sana nikimwambie me sina future na wewe tuachane tu ataliaa wee atalia macho mekundu, ataniomba nimsamehe mwanzoni alikua anagoma kula tunda eti hadi ndoa ila akakubali ili nisimuache nampigia hesabu za kumchana b!kraEbu mgegede mara tatu kama bado mzuri machoni pako basi huyo umempenda