Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]ubaya ubwela kusindikwa apo ashatembezewaMimi Kuna demu wangu tumeachana juzi,. Nilimkuta na mshikaji wangu jioni anamsindikiza dukani sijui Kama alikula Ila nilihakikisha naaribu kote na tumemkosa wote Bora tu
Daah hata nguvu cna, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]anza kusimulia yako sasa
Aaah 😁 ukifikiria ule utamu ampe mwingine ndio unachizika. Bora usiyemjua[emoji1787][emoji1787]ubaya ubwela kusindikwa apo ashatembezewa
Ukute zawad zenyewe ni boksa(sio pikpki),vest, Soksi akienda mbali sana kobazHaha ukachimba na zawadi za bibie dah mwanamke akinitongoza huwa namruka futi buku
Matapeli wakubwa, halafu wewe sasa unachowapa, utamu, pesa ya kusuka kila week, kodi ya pango, mavazi,gesi,bando-kila siku 2000/=,...hapo mama hajaumwa, mjomba hajameza shoka kijijini kwao, chipsi sijaweka hapo[emoji1787]kumbe wote tunapewa hizihizi
[emoji3]kwamba kameza shoka, kwa hali hii ndio maana wanaume tunaishi miaka michacheMatapeli wakubwa, halafu wewe sasa unachowapa, utamu, pesa ya kusuka kila week, kodi ya pango, mavazi,gesi,bando-kila siku 2000/=,...hapo mama hajaumwa, mjomba hajameza shoka kijijini kwao, chipsi sijaweka hapo
Uhai unachangiwa na hasara nyingine kumbuka mfano mawazo,woga,hofu,hasira ,uchumiHakuna hasara kubwa zaidi ya uhai vingine vyote hivyo ni illusion tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aya lamba glucose ulete hio story
duh noma sana watu mnapigwa matukio tena kisilence mwendo wa kunyatiamiaka hyo ya 2011 chuo fulan nilikuwa na manzi mmoja kutoka ufipan, alikuwa n mzuri yule dem sana, siku moja simu yake iliharibika akanletea nimpeleke kwa fundi mimi tena sterring wa kihindi chap bila shida,..sasa jion naipekua pekua nakuta conversation na jamaa aliyewai ntambulisha ni binamu yake, mixer kumwambia yule mwamba "nivumilie baby huyu namuacha mda si mrefu"
Utawaacha wangapi? Ni kukomaa tuSio kweli sijapata hiyo bahat na ikitokea nimepata Nina utulivu sana nakuacha Kwa heshima bila kukurahibia Kwa huyo mwingine akale maisha vizuri 😃