Umewahi kusalitiwa na rafiki yako?

Umewahi kusalitiwa na rafiki yako?

Kuna jamaa yangu, kipindi Hiko nasoma SAUT

Alikuwa ni kama mdogo angu, ukizingatia nilimtangulia mwaka mmoja na hostel alipofikia Mimi ndo nilikuwa msimamizi wa hostel.

Basi bhana, siku moja akaja na rafiki zake wakike! Nikatokea kumuelewa mmoja!

Enzi hizo Bado Kijana, 😂 nikaamfukuzia yule manzi ila akanipa masharti, niache pombe ndo atanikubali! ... Sikuacha na alinikubali

Ila ki ukweli yule manzi alinisaidia Mimi kubadilika kitabia ... Sasa penzi likawa yanta yanta!

Ila si unajua kama watu wa pwani walinavyosema, kifimbo kikisimama hakiwezi kulala bila kucheza 😂.

Sasa nikashangaa yule manzi angu, anajua Kila ufuksa ninaofanya hasa akienda likizo! Nikasema ni nani huyu anavujisha Siri za Kambi?

Siku moja nikamwita dogo, tukaenda kunywa Kisha nikampa story ya uwongo juu ya yule manzi! Ambayo sikumpa mtu yoyote zaidi yake

😂 Asubuhi tu manzi anasema naskia ulisema Moja mbili tatu ... Nikamwambia nani kakwambia? Akagoma kusema!

Nikajua huyu dogo ndo frijii bovu langu.
Ulimfanya nini baada ya hapo 😅😅😅
 
Nimejifunza kuwa, wengi niliowaona ni marafiki kwa kawaida wala hawakuwa marafiki. Wengi wao walipaswa kupigwa block ya mambo yangu personal mapema mno. Wanawake tumejaa wivu hadi kwenye nyayo, ukiunganisha na majungu, umbea na undumilakuwili basi mambo ni taflani. sifanyi tena huo upuuzi, ni mwendo wa hello and goodbye. Sichukii mtu ila ni ngumu sana kwa sasa mtu kujua maisha yangu. Nawaachia tu venue ya assumption.
 
Nimejifunza kuwa, wengi niliowaona ni marafiki kwa kawaifa wala hawakuwa marafiki. Wengi wao walipaswa kupigwa block ya mambo yangu personal mapema mno. Wanawake tumejaa wivu hadi kwenye nyayo, ukiunganisha na majungu, umbea na undumilakuwili basi mambo ni taflani. sifanyi tena huo upuuzi, ni mwendo wa hello and goodbye. Sichukii mtu ila ni ngumu sana kwa sasa mtu kujua maisha yangu. Nawaachia tu venue ya assumption.
Aisee hii Dunia ni ngumu sana
 
Kumpa mtu mzigo wa kukutunzia siri ambayo wewe umeshindwa kuitunza hadi ukamuambia sio kitu kidogo. Na kiuhalisia ni wachache wanaweza

Kuna marafiki wapo real Ila friji mbovu na ukimuambia "hii nimekuambia wewe tu mtu wa kwanza" Ni sawa na kumuambia hii kitu ni exclusive yani breaking news. Ni kama umemuongezea msisimko wa kuisema

Halafu kuna ambao ni wengi, wanatunza siri Ila wakikosa vya kuongea na wapenzi wao. Unageuka topic
 
Kuna jamaa yangu, kipindi Hiko nasoma SAUT

Alikuwa ni kama mdogo angu, ukizingatia nilimtangulia mwaka mmoja na hostel alipofikia Mimi ndo nilikuwa msimamizi wa hostel.

Basi bhana, siku moja akaja na rafiki zake wakike! Nikatokea kumuelewa mmoja!

Enzi hizo Bado Kijana, 😂 nikaamfukuzia yule manzi ila akanipa masharti, niache pombe ndo atanikubali! ... Sikuacha na alinikubali

Ila ki ukweli yule manzi alinisaidia Mimi kubadilika kitabia ... Sasa penzi likawa yanta yanta!

Ila si unajua kama watu wa pwani walinavyosema, kifimbo kikisimama hakiwezi kulala bila kucheza 😂.

Sasa nikashangaa yule manzi angu, anajua Kila ufuksa ninaofanya hasa akienda likizo! Nikasema ni nani huyu anavujisha Siri za Kambi?

Siku moja nikamwita dogo, tukaenda kunywa Kisha nikampa story ya uwongo juu ya yule manzi! Ambayo sikumpa mtu yoyote zaidi yake

😂 Asubuhi tu manzi anasema naskia ulisema Moja mbili tatu ... Nikamwambia nani kakwambia? Akagoma kusema!

Nikajua huyu dogo ndo frijii bovu langu.
kwahio we na popoma mesoma saut siyo?
 
Watu wengi wamekuwa na marafiki wanaowaeleza Siri mbalimbali.

Siri hizo huweza kuwa za kimahusiano, kikazi na Mambo kama hayo.

Je uliwahi mueleza mtu Siri yako na ukaikuta kwa mtu mwingine kama ilivyo.

Ulichukua hatua gani?
Nilikuwa na rafiki yangu wa kufa na kuzikana anaitwa Rukia kipindi tunaishi Boko-Basihaya.
Nilimtambulisha kwa shemeji yake (mwanaume wangu) ila sijui walikutana wapi Rukia na mwanaume wangu, wakalalana na kupeana mimba.
Ni long story ila kiufupi tu ni kwamba Rukia na mwanae walifariki ajalini miaka 2 mbele na yule mwanaume mpaka leo sijui alipo maana imepita miaka 16 tangu tukio litokee.

Kwa walioishi Boko-Basihaya miaka ile karibu na grocery ya mama Junior mitaa ya kwa kina Kirumbi watakuwa wanakumbuka tukio hilo.

Watu wengi walisema kuwa mimi nilihusika na ile ajali.
Ila kuchukuliwa mwanaume na rafiki ambae lenu lilikuwa moja inauma sana.
Hapo ndipo nilipowajua waganga wa kulipiza visasi.
 
Nilikuwa na rafiki yangu wa kufa na kuzikana anaitwa Rukia kipindi tunaishi Boko-Basihaya.
Nilimtambulisha kwa shemeji yake (mwanaume wangu) ila sijui walikutana wapi Rukia na mwanaume wangu, wakalalana na kupeana mimba.
Ni long story ila kiufupi tu ni kwamba Rukia na mwanae walifariki ajalini miaka 2 mbele na yule mwanaume mpaka leo sijui alipo maana imepita miaka 16 tangu tukio litokee.

Kwa walioishi Boko-Basihaya miaka ile karibu na grocery ya mama Junior karibu na kwa kina Kirumbi watakuwa wanakumbuka tukio hilo.

Watu wengi walisema kuwa mimi nilihusika na ile ajali.
Ila kuchukuliwa mwanaume na rafiki ambae lenu lilikuwa moja inauma sana.
Hi ni thread ndani ya thread mkuu.
 
Hi ni thread ndani ya thread mkuu.
Yes, msiri wako na BFF wako anakuja kukusaliti kisa pesa, inauma sana.
Haya, kazikwa bila hata thumni mwilini.
Hapo ndipo nilipoanza kuwajua waganga wa kulipiza visasi.
 
Yes, msiri wako na BFF wako anakuja kukusaliti kisa pesa, inauma sana.
Haya, kazikwa bila hata thumni mwilini.
Hapo ndipo nilipoanza kuwajua waganga wa kulipiza visasi.
Dah inauzunisha sana!
karma is real.

kuna namna ungeiweka kidogo ingetoa funzo kwa wengi.
 
Back
Top Bottom