Umewahi kushindwa kufanya mapenzi ukiwa na mpenzi wako chumbani, uliamua nini baada ya hapo?

Umewahi kushindwa kufanya mapenzi ukiwa na mpenzi wako chumbani, uliamua nini baada ya hapo?

Yule mtoto alikua kwanza ni wale wa kuvaa majuba na niqabu..

Nikamshawishi shawishi atoke chuo aje hom kupika.
Nikamwambia nipo na kaka tu akawa anaogopa ogopa ila akaja..
Mida anayofika ilikua jioni na mi nikamwambia njo utalala weeeh ilikua changamoto ila nilimwambia hutolala na mimi utalala chumba chako..


Akakubali akachukua boda chap akatinga pale, weee usiku huo kwanza akavua yale manguo nguo yake.. mtoto alikua mashaallah alafu mweupeee peee...

Sasa mda wa kulala umefika mi nikatangulia maghettoni mapema kabisa. Sasa yeye mda huo akaanza kuniuliza kuwa anataka kulala vipi ni wapi..?

Nikamwambia njoo huku nilipo. Mda huo anakuja mimi nilikua nipo bize na ramani zangu..

Yeye akajitupa ananiambia mimi nataka kulala tunafanyaje sasa..
Nikamwambia wee lala mi nina kazi zangu hapa namalizia.

Oooh anaanza kulalamika ety mara nataka private bana sijui hili mara lile..

Basi nikasema we lala nikimaliza kazi natoka.. akakubali nikazima taa nikawasha ile ya mwanga hafifu nikajifanya nipo bize...

Sasa nikaleta utoto wa kutaka kujifunika na yeye aiseeeee wakuu aligoma kwanza alisema nitaenda kulala sebuleni au wewe ondoka hapa..

Wakuu nililazimisha sana lakini wapi an alikua kawaka mno.
Nikamwambia maneno ya kiutu uzima sasa.. so ulikuja hapa kujichoresha au.... Niliwaka na mimi mpaka mtoto akapoa...

Ila ile siku wakuu sikufanya kitu mi huwa naishiwa nguvu mapema mtu akisema sitaki..
Bora angesema SIJI #yupo humu humu View attachment 3071820
dah, pole sana,

sasa alivyoondoka hukujila au hukujifanya mwenyewe kwa hasira kwa kuchukua sheria mkononi?🐒
 
Mie nilitoka kula Manzi mmoja siku mbili mfululizo.. sasa wakati nimerudi home nikapokea ujumbe mfupi kwamba (Main Chick) emenimiss na hawezi vumilia lazima aje Home.

Basi nikaweka visababu vingi lakini wapii.

Baadae kdg Mtoto akaingia, tukapiga stories tu mida inasogea mtoto akaingia bafuni kuweka mambo sawa.

Mie muda huo nawaza leo itakuwaje maana nimeikeshea kwa siku 2 mfululizo mpk bao likawa halitoki (upepo tuu).

Basi bhana.. ikabidi nitumie mbinu za kule CUBA na PUERTO RICO.. nakumbuka nilitumia muda mwingi sana kuitafuta chumvi kule uvinza mpk mtoto akafika vishindo vya kutosha ndio na mm sasa kujitutumua kdg niingize mti ngozi dk za jionii.. nikala kimoja na yeye akawa kaachia bao 3 basi mrembo akawa shwaaari kbs.

Nikawa nakwepa kuendelea tena.. ila aliniuliza swali dogo tu.. "kwanini Shahaw za leo sio nzito"
 
Mie nilitoka kula Manzi mmoja siku mbili mfululizo.. sasa wakati nimerudi home nikapokea ujumbe mfupi kwamba (Main Chick) emenimiss na hawezi vumilia lazima aje Home.

Basi nikaweka visababu vingi lakini wapii.

Baadae kdg Mtoto akaingia, tukapiga stories tu mida inasogea mtoto akaingia bafuni kuweka mambo sawa.

Mie muda huo nawaza leo itakuwaje maana nimeikeshea kwa siku 2 mfululizo mpk bao likawa halitoki (upepo tuu).

Basi bhana.. ikabidi nitumie mbinu za kule CUBA na PUERTO RICO.. nakumbuka nilitumia muda mwingi sana kuitafuta chumvi kule uvinza mpk mtoto akafika vishindo vya kutosha ndio na mm sasa kujitutumua kdg niingize mti ngozi dk za jionii.. nikala kimoja na yeye akawa kaachia bao 3 basi mrembo akawa shwaaari kbs.

Nikawa nakwepa kuendelea tena.. ila aliniuliza swali dogo tu.. "kwanini Shahaw za leo sio nzito"
ukamjibuje sasa hilo swali?🐒

dah! kwahiyo ukajificha chumvini kificha uhalifu wako? dah kama El Chapo vile 🐒
 
kama mshauri wa masuala ya malezi, mahusiano, uchumba na ndoa ninapata shuhuda, ninaona kwa macho, nimeskia kwa maskio hali, visa na mikasa ya vijana wa kike na kiume wanavyokumbana navyo kwenye harakati hizo za mahusiano uchumba na pengine ndoa,

nikaona sio mbaya kushare kwa uchache humu jukwaani [emoji205]
Duh kumbe we pia ni mashauri wa masuala hayo,mi nikajua umebase kwenye uchawa garmah.
 
hii imetokea wife alikuja likizo dar imeisha likizo yake nimesafiri nae mkoa anaofanyia kazi.
usiku wangu wa kwanza ugenini na uchovu wa safar, nilidhamiria la mkwezi then ndio nilale, hamadi gemu ya simba hii hpa ikawa hakuna namna.
mzunguko umeisha km siku 5 hivi mbele kipigwe waapi, mwisho wa siku nikamuambia hapa tulale washanikarbisha wenyeji tutaonana alfajiri ila ule usiku ulikuwa mrefu asikuambie mtu jambo la kushukuru alfajiri nikaamka na mbili saaafi
 
Threads na mada za Mh. Mbunge wa viti maalumu mtarajiwa huyo. Hapa taifa limepata hasara.
ukinifuatilia kwa karibu kwa makini bila negativity ama mihemko, japo najua huna utafaidika na kunufaika pakubwa mno juu ya ufahamu na uelewa wa kutosha juu ya masuala ya malezi, mahusiano, uchumba na ndoa by professional...

si hivyo tu,
bali pia in actions but also practically by professional masuala ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa ni balaa zaid aise, mbona utafurahi gentleman 🐒
 
ukinifuatilia kwa karibu kwa makini bila negativity ama mihemko, japo najua huna utafaidika na kunufaika pakubwa mno juu ya ufahamu na uelewa wa kutosha juu ya masuala ya malezi, mahusiano, uchumba na ndoa by professional...

si hivyo tu,
bali pia in actions but also practically by professional masuala ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa ni balaa zaid aise, mbona utafurahi gentleman 🐒
Sijasoma comment wala uzi wako maana najua umeandika pumba tu we fisi wa kijani.

Jitahidi kuficha uchi wa akili yako itakupendeza kuliko kuanika tupu ya akili yako hadharani.😀😃😁😆
 
Sijasoma comment wala uzi wako maana najua umeandika pumba tu we fisi wa kijani.

Jitahidi kuficha uchi wa akili yako itakupendeza kuliko kuanika tupu ya akili yako hadharani.😀😃😁😆
kumbe ni jamaa wa mihemko, kutukana na kuporomosha matusi??🐒

ushauri wangu wa kitaalamu kwako, ikiwa kuporomosha matusi mazito mazito yanakusaidia kupata usingizi vyema na kutatua changamto ya fikra ulonayo, basi ni vizuri ukazidisha juhudi zaid katika kutukana na kuporomosha matusi mazito zaid,

itakusaidia sana hiyo na utatoboa maisha kirahisi sana 🐒
 
Back
Top Bottom