Umewahi kushuhudia msela kabwela, kajamba nani, maisha Uswahilini ana date na mtoto mkali wa ushuani ?

Umewahi kushuhudia msela kabwela, kajamba nani, maisha Uswahilini ana date na mtoto mkali wa ushuani ?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Kiuhalisia haya mahusiano yapo tukiweka kando Bongo movie, bongo flava na ndumba ?

Tuweke kando madenti wa sekondari hawa kuwapata ni rahisi lakini kwa sheria za sasa ukiingia kichwa kichwa unapigwa mvua ya kutosha.

uliwahi kushuhudia ama wewe kuwa mhusika, mtoto mkali wa ushuani kadata na jamaa wa uswahilini anaendesha life lake kigeto geto

shuhuda kutoka kwa wadau


Ilinikuta hiyo.

Manzi nilikutana nayo coco beach, kipindi hiko pako hot sana. Ikaomba tuogelee wote, tukapiga mawimbi baadae nikaipotezea kwenda kubarizi ufukweni. Kumbe alikua ananifata nyuma nyuma. Tukakaa wote kwenye majani akaanza kujiongelesha vitu vingi vingi mm sina habari namjibu short and clear.

Mwisho nikaja kujua kama anakaa mtaa wa nyuma tu pale masaki, na ilikua amerudi likizo alikua anasoma form 6 huko peramiho girls. Akaniandikia namba yake ktk kikaratasi. Nikamwambia naishi kigetto getto kimara bonyokwa, nilishamalizaga chuo naskilizia michongo ya kazi ila kimaisha naunga unga sana. Tukaanza chatting ktk simu baadae akajitongozesha mwenyewe mwisho akawa demu wangu.

Alikua anaibuka maskani anapika pika, sometimes anatimba na misosi yao ya ushuani tunakula. Masela kitaa walikua wanagwaya sana. Pisi zilizokua zinaniletea miyeyu pale street zikaanza kuleta shobo mimi sina habari, uso wa mbuzi.

Dini zikaja kutuachanisha na kwao hawakutaka aolewe na mtu wa tofauti na dini yake. Imebaki story now!
 
Ilinikuta hiyo.

Manzi nilikutana nayo coco beach, kipindi hiko pako hot sana. Ikaomba tuogelee wote, tukapiga mawimbi baadae nikaipotezea kwenda kubarizi ufukweni. Kumbe alikua ananifata nyuma nyuma. Tukakaa wote kwenye majani akaanza kujiongelesha vitu vingi vingi mm sina habari namjibu short and clear.

Mwisho nikaja kujua kama anakaa mtaa wa nyuma tu pale masaki, na ilikua amerudi likizo alikua anasoma form 6 huko peramiho girls. Akaniandikia namba yake ktk kikaratasi. Nikamwambia naishi kigetto getto kimara bonyokwa, nilishamalizaga chuo naskilizia michongo ya kazi ila kimaisha naunga unga sana. Tukaanza chatting ktk simu baadae akajitongozesha mwenyewe mwisho akawa demu wangu.

Alikua anaibuka maskani anapika pika, sometimes anatimba na misosi yao ya ushuani tunakula. Masela kitaa walikua wanagwaya sana. Pisi zilizokua zinaniletea miyeyu pale street zikaanza kuleta shobo mimi sina habari, uso wa mbuzi.

Dini zikaja kutuachanisha na kwao hawakutaka aolewe na mtu wa tofauti na dini yake. Imebaki story now!
 
Tukiweka mazingira kando ya ndumba na wanafunzi wa sekondari hii kitu umewahi kuiona ?

uliwahi kushuhudia ama wewe kuwa mhusika ?

yani mtoto mkali wa ushuani kadata na jamaa wa uswahilini anaendesha life lake kigeto geto
ww ndio utuambie.
 
Ilinikuta hiyo.

Manzi nilikutana nayo coco beach, kipindi hiko pako hot sana. Ikaomba tuogelee wote, tukapiga mawimbi baadae nikaipotezea kwenda kubarizi ufukweni. Kumbe alikua ananifata nyuma nyuma. Tukakaa wote kwenye majani akaanza kujiongelesha vitu vingi vingi mm sina habari namjibu short and clear.

Mwisho nikaja kujua kama anakaa mtaa wa nyuma tu pale masaki, na ilikua amerudi likizo alikua anasoma form 6 huko peramiho girls. Akaniandikia namba yake ktk kikaratasi. Nikamwambia naishi kigetto getto kimara bonyokwa, nilishamalizaga chuo naskilizia michongo ya kazi ila kimaisha naunga unga sana. Tukaanza chatting ktk simu baadae akajitongozesha mwenyewe mwisho akawa demu wangu.

Alikua anaibuka maskani anapika pika, sometimes anatimba na misosi yao ya ushuani tunakula. Masela kitaa walikua wanagwaya sana. Pisi zilizokua zinaniletea miyeyu pale street zikaanza kuleta shobo mimi sina habari, uso wa mbuzi.

Dini zikaja kutuachanisha na kwao hawakutaka aolewe na mtu wa tofauti na dini yake. Imebaki story now!
Kwa kuna ubaya gani kama wewe ungebadili kimagumashi baada ndoa unarudi kanisani
 
Yap kuna jamaa yangu pale Mwanza alikuwa mla ngada na alikuwa anatoka na mtoto wa kitana watu wa mwanza wanamfahamu tajiri huyu na mla ngada hadi akamzalisha huyo binti
 
labda proffesor j

vick miaka 22 mtoto pekee familia ya kitajiri miaka hiyo :
siku hizi wameacha huo ujinga(hawataki shurba, madeko mengi,)

tafta tu hela
 
Mbona hizo zipo sana hata humu humu JF kuna mdada anamlea njemba moja alafu ndio inakuja kututukana kuwa inahela kumbe inalelewa. Ni bogas kiazi sana nakuangalia nakuzoom siku si nyingi utarudi kule machinjioni!
 
Ilinikuta hiyo.

Manzi nilikutana nayo coco beach, kipindi hiko pako hot sana. Ikaomba tuogelee wote, tukapiga mawimbi baadae nikaipotezea kwenda kubarizi ufukweni. Kumbe alikua ananifata nyuma nyuma. Tukakaa wote kwenye majani akaanza kujiongelesha vitu vingi vingi mm sina habari namjibu short and clear.

Mwisho nikaja kujua kama anakaa mtaa wa nyuma tu pale masaki, na ilikua amerudi likizo alikua anasoma form 6 huko peramiho girls. Akaniandikia namba yake ktk kikaratasi. Nikamwambia naishi kigetto getto kimara bonyokwa, nilishamalizaga chuo naskilizia michongo ya kazi ila kimaisha naunga unga sana. Tukaanza chatting ktk simu baadae akajitongozesha mwenyewe mwisho akawa demu wangu.

Alikua anaibuka maskani anapika pika, sometimes anatimba na misosi yao ya ushuani tunakula. Masela kitaa walikua wanagwaya sana. Pisi zilizokua zinaniletea miyeyu pale street zikaanza kuleta shobo mimi sina habari, uso wa mbuzi.

Dini zikaja kutuachanisha na kwao hawakutaka aolewe na mtu wa tofauti na dini yake. Imebaki story now!
Hao form 6 tena wa shule za girls kawaida sana mkuu lakini ni hatari kwa vyombo vya sheria.

kwa uhakika zaidi ni wale wanaomalizaga form 6, hapa unafaidi bila kuhofia sheria za madenti, mda ambao wapo kitaa ni kama miezi minne hivi kabla hawajaenda chuoni, yani huu mda inabidi umsasambue kweli kweli usilete masikhara, akili zao zote huwa zipo kwenda kuanza chuo kwahio inabidi umwambie we ulishamaliza chuo ni mzoefu, unampa stori za chuo, unamsaidia kuchagua chuo, unamfundisha kutumia computer, n.k. akishafika chuoni huyo hesabia sio wako tena
 
Ilinikuta hiyo.

Manzi nilikutana nayo coco beach, kipindi hiko pako hot sana. Ikaomba tuogelee wote, tukapiga mawimbi baadae nikaipotezea kwenda kubarizi ufukweni. Kumbe alikua ananifata nyuma nyuma. Tukakaa wote kwenye majani akaanza kujiongelesha vitu vingi vingi mm sina habari namjibu short and clear.

Mwisho nikaja kujua kama anakaa mtaa wa nyuma tu pale masaki, na ilikua amerudi likizo alikua anasoma form 6 huko peramiho girls. Akaniandikia namba yake ktk kikaratasi. Nikamwambia naishi kigetto getto kimara bonyokwa, nilishamalizaga chuo naskilizia michongo ya kazi ila kimaisha naunga unga sana. Tukaanza chatting ktk simu baadae akajitongozesha mwenyewe mwisho akawa demu wangu.

Alikua anaibuka maskani anapika pika, sometimes anatimba na misosi yao ya ushuani tunakula. Masela kitaa walikua wanagwaya sana. Pisi zilizokua zinaniletea miyeyu pale street zikaanza kuleta shobo mimi sina habari, uso wa mbuzi.

Dini zikaja kutuachanisha na kwao hawakutaka aolewe na mtu wa tofauti na dini yake. Imebaki story now!
Legend umeutendea haki uzi, watu mkifunguka hivi inapendeza
 
Back
Top Bottom