Umewahi kuswekwa lockup(selo), Unakumbuka nini?

Pole mkuu ila naamini mtu yeyote anaweza kupitia sekeseke hyo ktk maisha aidha kwa kuteleza kidogo au hata kwa kusingiziwa. Ni muhim sometimes tukajiandaa kwa vitu km hivi
 
Nshalala Central Arusha Kituo Kidogo Kaloleni Pia Arusha Ilifika Kipindi Police Wakiniona Wananiacha Tu Mitaa Ya Shivaz Sikosekani Wakikamatwa Nami Nimo Maromboso Nililala Siku Moja Ila Saivi Nshakua Yashapita Sitaki Hata Kukumbuka.
Inabid weekend ijayo tuende shivaz mkuu, show zote nitalipia-si buku 10 tu per show?😀😀😀
 
Kesi kubwa useme alikula tigo kinguvu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu hyo ilikuja coz plc walisema hii kesi ni madai,kufika kwa pilato hana ushahid bwana pilato akashauri myamalize kindgu, nikakataa maana alishanijaza gesi balaa, plto kauliza kwann unamuacha nikamjb ananilazimisha kula ndogo[emoji57] [emoji57] [emoji57] na kesi ikaishia hpo!!!!!!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hyu jmaa vyeeeepe ametumwa mnarefusha uzi kwenda wp??[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Sijui juu sijui chini..hii chitchat sijui kwanini watu wanashindwa elewa.

Ukinikuta jukwaa la siasa au MMU nakuwa serious kuchangia mada ila mkuu angalia maana ya chit-chat
 
Nikisikia ninatafutwa na polisi ninahama mji kabisa, nilikaa masaa 8 nilichoka kulala, kukaa na hata kusimama nilikosa uhuru wa kufanya ninachotaka nilijutia kosa na sitaki kurudi tena selo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…