Umewahi kuwa na Mahusiano ya kimapenzi na Mchawi? ilikuwaje?

chai
 
🤣🤣🤣🤣Mkuu itoshe kusema ww ni komandoooo
 
Huyo huyo Jonh mboyo nafkiri anajina la raisi wa Rwanda humu.
 
Chai tena ya moto
 
Me nshawah kua na mtoto wa mganga alikua mtu mmoja poa sana sema ndo hivo nature ina tutenganisha nimekula sana nyama za mbuzi plus makuku ya kafara i was deep in love with her
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo mzinzi akamkemea mchawi kwa jina la Yesu.
 
Chai tembele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…