Umewahi kuwa na Mahusiano ya kimapenzi na Mchawi? ilikuwaje?

Umewahi kuwa na Mahusiano ya kimapenzi na Mchawi? ilikuwaje?

Afadhali ww ulitaka kugegeda dem mchawi, mimi niligegeda dem kumbe mganga sasa siku moja akataka hela nikamwambia njoo chukua alipokuja nikamgegeda halafu nikazingua sikumpa hela aisee nilipigwa biti hilo sitakaa nisahau.
 
Mchawi hana alama bhana. Wewe umekutana na mtu anaejilinda dhidi ya wachawi wa hapo kijijini na yeye mwenyewe mwepesi tuu ndo mana anajilinda
Chalii ana kaubwege fulani hivii cha kipuuzi puuzii!!!"""Eti Fire fire fire!!!Fire waist
 
Kuna limama flani mtaani inasemakana ni mchawi watu wote wanajua ivo, pale kwake ana kiduka bar siku moja usiku narudi mtaani niko mitungi nakaribia home naona pale pako wazi nikasema ngoja nipitie moja ya kunizimisha nikalale nafika nakuta yuko peke yake kavaa night dress anajiandaa kufunga, nikamwambia acha nipige moja nisepe akanipa nikapiga tarumbeta nikamwambia niongeze nyingine ila ili usiboeke na mbu na ww kula moja akachukua yake tukawa tumekaa tunapiga stori sijui ilikuaje nikajikuta nishaanza kulipapasa naona nalo limetulia tu zungusha mkono kila mahali halina noma nika mwambia ongeza bia nyingine moja moja likaleja aliporudi ndio akaamia kabisa nilipokaa nikalipiga finga za kutosha likasema ngoja nifunge kabisa akafunga tukawa tumekaa nje tunamalizia bia nikaomba **** akawa kama anachomoa nikakaza akasema tutafanyia wapi? Nikamwambia njoo nikampeleka kwenye banda lake analofugia ng'ombe nikainamisha nikapeleka nyama muda kidogo anadai amechoka ageuke kifo cha mende likalala pale chini nikakamua hadi kukojoa ile anainuka naona kumbe pale chini kulikua na mavi ya ng'ombe kajipakaza mgongoni akaanza kujifuta mimi pandisha suruali mbele hadi leo huwa tunaangaliana tu kama hamna kiichowahi kutokea hata salamu yenyewe kwa shida sana, nikagundua hata wachawi wanatombeka
 
Nyie acheni tu wakuu kila nikikumbuka natamani kulia mwenzenu


Niliwahi kuingiza ikatoka imevaa ilizi ( irizi) yaani kama vile kacha mkononi

Najuta sana mimi kumtongozs yule malaya
 
Pole sna mkuu
20230331_231747.jpg
 
Mkuu kila siku huwa nawaza kuleta huu mkasa lakini huwa naona kama vile watu watadhani ni chai. Ila hii dunia ina mambo aisee.
Mkuu funguka kidogo hope tutajifunza kitu
 
Me nshawah kua na mtoto wa mganga alikua mtu mmoja poa sana sema ndo hivo nature ina tutenganisha nimekula sana nyama za mbuzi plus makuku ya kafara i was deep in love with her
Mwisho ikawaje
 
Afadhali ww ulitaka kugegeda dem mchawi, mimi niligegeda dem kumbe mganga sasa siku moja akataka hela nikamwambia njoo chukua alipokuja nikamgegeda halafu nikazingua sikumpa hela aisee nilipigwa biti hilo sitakaa nisahau.
🤣🤣🤣🤣So ukampa?
 
Mbembe ya mwenge umenikumbusha. Turunya nayo ni self lakini nilijuta kukaa mwenge siku 2. Dar ni shida tupu.
 
Kuna limama flani mtaani inasemakana ni mchawi watu wote wanajua ivo, pale kwake ana kiduka bar siku moja usiku narudi mtaani niko mitungi nakaribia home naona pale pako wazi nikasema ngoja nipitie moja ya kunizimisha nikalale nafika nakuta yuko peke yake kavaa night dress anajiandaa kufunga, nikamwambia acha nipige moja nisepe akanipa nikapiga tarumbeta nikamwambia niongeze nyingine ila ili usiboeke na mbu na ww kula moja akachukua yake tukawa tumekaa tunapiga stori sijui ilikuaje nikajikuta nishaanza kulipapasa naona nalo limetulia tu zungusha mkono kila mahali halina noma nika mwambia ongeza bia nyingine moja moja likaleja aliporudi ndio akaamia kabisa nilipokaa nikalipiga finga za kutosha likasema ngoja nifunge kabisa akafunga tukawa tumekaa nje tunamalizia bia nikaomba **** akawa kama anachomoa nikakaza akasema tutafanyia wapi? Nikamwambia njoo nikampeleka kwenye banda lake analofugia ng'ombe nikainamisha nikapeleka nyama muda kidogo anadai amechoka ageuke kifo cha mende likalala pale chini nikakamua hadi kukojoa ile anainuka naona kumbe pale chini kulikua na mavi ya ng'ombe kajipakaza mgongoni akaanza kujifuta mimi pandisha suruali mbele hadi leo huwa tunaangaliana tu kama hamna kiichowahi kutokea hata salamu yenyewe kwa shida sana, nikagundua hata wachawi wanatombeka
Duuh watu mna roho ngumu
 
Mwisho ikawaje
Tuliachana kwasabab ya umbali kwasabb nilikua nasoma chuo nilivomaliza nkaondoka alikua hana shida yule bint watu walikua wanamuogopa ila me chemistry ziliendana ila kuna siku alipandisha majini lakini alipoa baadae alikua ananiambia vitu ving af baadh vinatokea kweli Hakuna ubaya wowote ulotokea
 
Back
Top Bottom