Umewahi muona paka wa aina hii? Anaitwaje kwa Kiswahili?

Huyu paka anapatikana sana Africa, ikiwemo Tanzania. Kwa kiingereza anaitwa serval cat. Umewahi muona? Anaitwaje kwa kiswahili?

View attachment 2568245View attachment 2568246
Jangu lubhaka.
Ni paka wa kawaida tu sema baadhi ya jamii hasa kwetu Ujitani akizaliwa paka wa namna hii anafanyiwa figisu sana, yaani anakuwa na maisha ya mwituni huku nduguze wakinywa maziwa na asali hali inayopelekea kuwa adui mkubwa wa kuku, binadamu.

Nadhani kwa Kiswahili huyu ndo PAKA SHUME.
 
Ni jamii ya paka ila hawezi zaliwa nyumbani na paka wa kawaida huyo ni paka wa porini hafugiki kitahisi hana tofauti na chui p
 
Huko mikoani hawawezi kuwa na Paka Shume.
Paka Shume ni neno linatumika sana maeneo ya mikoa ya Pwani, Tanga na Dar es salaam.
Paka Shume ni kama Mbwa Koko. Huyo ni Paka wa Mwituni.
 
Ni jamii ya paka ila hawezi zaliwa nyumbani na paka wa kawaida huyo ni paka wa porini hafugiki kitahisi hana tofauti na chui p
Labda sikuzingatia umbo lake kwa maana ya ukubwa.
Lkn hata paka wa kawaida huzaa watoto wenye rangi za namna hii.
Kwetu nimewashuhudia sana wakizaliwa sema ndo hivyo ni lazima atimuliwe nyumbani.
 

Sio domestic cat huyo...

Hiyo mashine ni ya porini na wala si paka shume...

Huyo anaitwa mondo

 
Labda sikuzingatia umbo lake kwa maana ya ukubwa.
Lkn hata paka wa kawaida huzaa watoto wenye rangi za namna hii.
Kwetu nimewashuhudia sana wakizaliwa sema ndo hivyo ni lazima atimuliwe nyumbani.
Rangi sikupingi kabisa ila umbo huyu paka ni mrefu japo vyakula vyake ni vile vile mijusi ndege panya sungura wanyama wadogo wadogo hao hata kigamboni wapo japo kuwaona ni usiku mkali
 
Puma naye sio duma...

Duma huitwa Cheetah kwa kimombo...
Jamii hiyohiyo ila sio paka ni wanyama hatari sana hao.
Sema hawapendi kula bin adamu.
Mkuu nilipishana nae selous porini sana huko kaniangalia tu napita niko peke yangu sina hata silaha.
Angekua na nia mbaya angepiga meno ya kutosha, sijamsumbua hajanisumbua alikua kajilaza juu ya mti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…