Sio Puma na wala sio Duma hako ni jamii flani yao na hao kana umbo dogo tu kama la Mbwa kanaishi maporini misosi yake ni, ndege, panya, na fuko.Puma (duma)sio paka huyo anakutafuna mchana kweupe ukikutana nae anga zake.
Alafu kidwahili ndio nini?
Elimu, elimu , elimu