Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Paka fulani hivi wa porini ana masikio marefu hivi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi kukutana nae mida ya saa 2 usiku nikiwa natoka SAUT Malimbe campus napanda zangu hostel za Darfur karibu Nsumba Sec. Kuna kile kipori pale kati wamo hawa wanyamaHuyu paka anapatikana sana Africa, ikiwemo Tanzania. Kwa kiingereza anaitwa serval cat. Umewahi muona? Anaitwaje kwa kiswahili?
View attachment 2568245View attachment 2568246
Nimekwambia ni jamii hiyo.Huyo sio Puma wala Duma. Acha uongo
Kaona mabosi wanatoka baru ye kaunga tu😅😅😅Ni kweli kuna siku paka wangu alishaleta nyoka mzima hapa home 😂😂 sasa sisi kuona ivo tukatoka nduki. Nae kuona tumetoka nduki nae akatoka nduki na kumuacha nyoka ndani😬😆 sasa sijui alikua anakimbia nn
[emoji28] ulitaka umwambie nini?Niliwahi kumuona anapita juu ya ukuta tukakutana uso kwa macho, nikamuita ule mlio anaoitwa paka alitoka ndukii, sijamuona tena hadi leo. Nilisikitika sana maana nilitaka tuongee japo kwa dakika kadhaa nimpe na chakula pia. 🥲
Kama unayo naomba...Huyu ndo star kwenye animation za series pussy in the boot.
Ana kipaji sana cha uigizaji.
Kama umecheki Pussy in the Boot, The Last Wish... Utaniambia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mmhhh kwa profile yako ya ku grind papuch lazima akuogope usijempa kazi asiyoiweza ndio maana akasepa
Bila picha hii comment ni batili...Jamii hiyohiyo ila sio paka ni wanyama hatari sana hao.
Sema hawapendi kula bin adamu.
Mkuu nilipishana nae selous porini sana huko kaniangalia tu napita niko peke yangu sina hata silaha.
Angekua na nia mbaya angepiga meno ya kutosha, sijamsumbua hajanisumbua alikua kajilaza juu ya mti
Natania,Kama unayo naomba...
Asante mkuu...Natania,
Ila kama ni mapenzi wa animation ipakue Puss In Boots The Last Wish
Na subtitle yake Subtitle
Nimekupa link za TheNetNaija maana hautatumia MBs nyingi kuipakua
Nyau pori aka chui mdogo😂Huyu paka anapatikana sana Africa, ikiwemo Tanzania. Kwa kiingereza anaitwa serval cat. Umewahi muona? Anaitwaje kwa kiswahili?
View attachment 2568245View attachment 2568246
🤣🤣🤣 we pita tu na hakakua kadogo ni puma mwenyewe kabisaBila picha hii comment ni batili...
Alisikika,
Jamaa mmoja wa afrika mashariki ya kati🤣🤣😂😂😂
Napita tu 🤚
Umenikumbusha nje ya madaJangu lubhaka.
Ni paka wa kawaida tu sema baadhi ya jamii hasa kwetu Ujitani akizaliwa paka wa namna hii anafanyiwa figisu sana, yaani anakuwa na maisha ya mwituni huku nduguze wakinywa maziwa na asali hali inayopelekea kuwa adui mkubwa wa kuku, binadamu.
Nadhani kwa Kiswahili huyu ndo PAKA SHUME.
Acha chai. Halafu Puma na Duma ni paka tofauti kabisa.Puma (duma)sio paka huyo anakutafuna mchana kweupe ukikutana nae anga zake.
Alafu kidwahili ndio nini?
Elimu, elimu , elimu
Sawa,nimekuelewa,zote ni pilipili.
Lakini hapo Mbwa na Dubu siyo jamii ya paka.Mbwa, Paka Simba, Chui, Duma, Tiger, Dubu, na wengineo kundi lao wanaitwa wanyama jamii ya paka. Hako kajamaa hapo hakana uwezo japo wakumkamata Digidigi.