FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Paka mwitu wapo species nyingi sana, hiyo ni moja wapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanakuwaga na mikia mirefu kuliko paka wa nyumbani na pia ni warefu zaidi.. macho yao usiku ukiwamulika na tochi yanang'aa zaid ya paka wa nyumbani.Kuna siku moja wakati tunasafisha shamba nilikutana na watoto wameterekezwa watoto wa mondo, wakati bado nina tafakari nikiwa nina wasi kuingia territory ya mnyama chui au duma bila tahadhari wakawa wamefika watu kadhaa, bila hata kuuliza hawa vijana walikula rungu za kutosha wale watu wakidai weshaibiwa sana kuku zao so wamemkomesha mama yao aliewaterekeza hawa watoto, ni moja ya jamii ya wanyama wenye kisasi na binadamu sana
huyu anaitwa Mondo mmoja ya mapaka pori matata sana kwenye mawindo kwa umahiri wakeHuyu paka anapatikana sana Africa, ikiwemo Tanzania. Kwa kiingereza anaitwa serval cat. Umewahi muona? Anaitwaje kwa kiswahili?
View attachment 2568245View attachment 2568246
Mkuu ni elimu tu na kutokujua mambo ndiomaana kaandiKa hivo[emoji1787][emoji23].. jamaa kaandika sirias kabisa kama vile anachokisema ni sahihi[emoji23].Wewe ni mwongo. Huyo mnyama wa porini anazaliwaje nyumbani? Isitoshe ni miongoni mwa wanyama wasioonekana hovyo. MWONGO MKUBWA WEWE.
Chai ni kitu gani?Acha chai. Halafu Puma na Duma ni paka tofauti kabisa.
Mtaani utotoni alikuwepo mmoja wa hivi. Na kweli aligeuka adui wa binadamu, vyakula na mifugo midogo midogo, alisumbua sana.Jangu lubhaka.
Ni paka wa kawaida tu sema baadhi ya jamii hasa kwetu Ujitani akizaliwa paka wa namna hii anafanyiwa figisu sana, yaani anakuwa na maisha ya mwituni huku nduguze wakinywa maziwa na asali hali inayopelekea kuwa adui mkubwa wa kuku, binadamu.
Nadhani kwa Kiswahili huyu ndo PAKA SHUME.
Usidhani. Hilo ndo jina lake halisi = PAKA SHUME.Jangu lubhaka.
Ni paka wa kawaida tu sema baadhi ya jamii hasa kwetu Ujitani akizaliwa paka wa namna hii anafanyiwa figisu sana, yaani anakuwa na maisha ya mwituni huku nduguze wakinywa maziwa na asali hali inayopelekea kuwa adui mkubwa wa kuku, binadamu.
Nadhani kwa Kiswahili huyu ndo PAKA SHUME.
Kabla ya vita kuanza ni lazima mkazibe matundu ya vichuguu vya karibu. Nilikwaga mwenyekiti wa kamati hii zamani zile. Ikitokea akaingia ndani ya kichuguu,basi matundu mengine yatazibwa,Linabaki 1,unakokwa moto kupitia hilo tundu,pilipili kichaa bila kusahaulika alafu ilo tundu linazibwa pia. Hatorudi tena.Mtaani utotoni alikuwepo mmoja wa hivi. Na kweli aligeuka adui wa binadamu, vyakula na mifugo midogo midogo, alisumbua sana.
Iliundwa kamati ya vijana pamoja na mbwa kadhaa, ile vita ilikuwa balaa sanaa, maana wale mbwa kwanza aliwakalisha vibaya sana, alivimba wote tulisogea pembeni ila mwisho wa siku mwanaharamu yule alipelekwa anapostahili baada ya battle kali sana
Badili jina Kwanza ndiyo yo uongee na Mimi.Wewe ni mwongo. Huyo mnyama wa porini anazaliwaje nyumbani? Isitoshe ni miongoni mwa wanyama wasioonekana hovyo. MWONGO MKUBWA WEWE.
Huyo ni paka wa porini anaitwa ServalJangu lubhaka.
Ni paka wa kawaida tu sema baadhi ya jamii hasa kwetu Ujitani akizaliwa paka wa namna hii anafanyiwa figisu sana, yaani anakuwa na maisha ya mwituni huku nduguze wakinywa maziwa na asali hali inayopelekea kuwa adui mkubwa wa kuku, binadamu.
Nadhani kwa Kiswahili huyu ndo PAKA SHUME.
Jamaa muongo muongo. Huyo ni Serval ni paka pori ambae ni adimu kuonekana hovyo.Wewe ni mwongo. Huyo mnyama wa porini anazaliwaje nyumbani? Isitoshe ni miongoni mwa wanyama wasioonekana hovyo. MWONGO MKUBWA WEWE.
KimeumanaNakupenda,,,,hongera Kwa kupenda wanyama
YeahKimeumana