Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Ooh dear nakupenda pia [emoji847].... ni kweli napenda sana Wanyama, nimeweka chombo cha maji nje kwa ajili ya ndege wote kunywa maji, paka usiku najua wanaranda randa hunywa maji pia, najisikia faraja nikiona ndege hadi kunguru wakinywa maji niliyowawekea.Nakupenda,,,,hongera Kwa kupenda wanyama