Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Upo sahihi, ukishaishi porini ni lazima uishi kwa mapambano ili usife, tabia hubadilika kulingana na mazingira,Ni kweli anafugika.
Kilicho7bisha mimi kugundua kuwa zile tabia za mwituni hutokana na kugeuzwa kuwa adui tulimpuuzia mmoja akaishi tu nyumbani,alikuwa vyema tu km wengine,mlinzi,muaminifu na msafi pia. Sema zile imani zetu dhidi ya paka wa rangi hizi ndizo upelekea na wao kubadili mienendo ili waishi.
I wish nimpate mmoja niishi nae[emoji7]