Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
Daah!! wikiii..3Kwa sisi wanamume hilo jambo huwa linawezekana na isiwe ajabu sana, nimeshawai kukaa wiki tatu bila ya kuoga kule machimboni kulikuwa na uhaba mkubwa wa maji.
Hapana
nyie wadada najua haipiti hata siku 1!Kwann sasa?
Kweli Leo nimeambiwa you are the most beautiful lady in the whole world dah nikabaki nazima Zima chargernyie wadada najua haipiti hata siku 1!
enhe! Kwani gent?Kweli Leo nimeambiwa you are the most beautiful lady in the whole world dah nikabaki nazima Zima charger
Sisi tulipiga wiki mbili za kibabeTuko zetu (maeneo flani hivi) leo siku ya 9 bila kuoga! Kwakweli hii hali iko kibabe zaidi, japo sijaona tatizo lolote kutokana halii hii. Je wewe umeshakaa hata 3dys? kuna tatizo lolote ulipata? Ulijisikiaje?
leo siku ya kumi! Hakuna vya kuumwa hapaHujiskii kuumwa?
Sisi tulipiga wiki mbili za kibabe
nataka nibonyeze pa kucheka ni wapi?!Mimi kuanzia nipo mdogo ratiba yangu kuoga ni baada ya siku 3 na ni usiku tu,siku nikioga
Huyo mwamba nilimuona katika picha aisee!Yupe mzee wa india alimaliza miak 50 hajaoga nyie mnajadili siku 3??
Tumia browser kama opera au chrome unabonyeza thanks bila kuachia zitatokea emojisnataka nibonyeze pa kucheka ni wapi?!