Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
hongera mkuuMtoto katoka Wellington New Zealand hadi Bongo Darisalama kipande ya salasala kunifuata Mimi, hapo ni baada ya mjinga mmoja kuniita Mwanaume Suruali sina lolote! kanifitini huyo ili niachishwe kazi, akafanikiwa, punde nikaondoka na Mamaaa kitu Wellingtone Mpaka kesho nikazama mazimaa, tena na hii COVID naomba iwe hivihivi! hakuamini ujumbe kuupata alidhani nataka sifa, anasota na Mtoto, kazi kapigwa yeye chini!
Anatamani iwe ndotoMtoto katoka Wellington New Zealand hadi Bongo Darisalama kipande ya salasala kunifuata Mimi, hapo ni baada ya mjinga mmoja kuniita Mwanaume Suruali sina lolote! kanifitini huyo ili niachishwe kazi, akafanikiwa, punde nikaondoka na Mamaaa kitu Wellingtone Mpaka kesho nikazama mazimaa, tena na hii COVID naomba iwe hivihivi! hakuamini ujumbe kuupata alidhani nataka sifa, anasota na Mtoto, kazi kapigwa yeye chini!
Ajali kazini bahariaMoro kwenda moshi afu nikaambukizwa kisonono "Maamaae,"
Dah pole sana mkuu, kumbuka kutumia kinga siku zoteMoro kwenda moshi afu nikaambukizwa kisonono
Hiki kipande kirefu mkuu.Dar to Nairobi
Mwamba Shy pale kuna mbususu za hatariMwanza to shinyanga nmeenda sanaa.kila nikienda naopoa mtoto mwingine wa kuni fanya nmuandalie safari ..sema vitoto vya kulee havina mambo mengi
Arusha to mbeya [emoji28][emoji28] nikasema sio mbaya nibadili laza ya vitoto vya MUST,
Ata sio kupenda kisawa sawa mwingine ni uroho wetu tu
Mwamba iringa to Mtwara duh! Unamoyo Safar ya siku mbili kabsaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Nilifanya Kutoka Iringa hadi Mtwara nilimla yule mtoto wa Chuo alhamisi mpaka Jpili nikarudi zngu Iringa J3 asubuhi.
Ilibidi nifanye ivyo maana alikula sana Viela Vyangu.Mwamba iringa to ntwara duh! Unamoyo Safar ya siku mbili kabsaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Asante.. NimejifunzaAjali kazini baharia