MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Mmatengo mmoja aliniteka nikapiga ruti ndefuDar to mbinga[emoji23],wamatengo noma[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmatengo mmoja aliniteka nikapiga ruti ndefuDar to mbinga[emoji23],wamatengo noma[emoji3]
Duh si mchezo,atokee mnyasa akuteke hutorudi kwenu[emoji2]Mmatengo mmoja aliniteka nikapiga ruti ndefu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] dhuuuu huyo nae alikuaDar to Babati, mara Mbili Nyakati tofauti na Nyakati zote namkuta ndio Anaanza period au yupo kati na Home nimeaga niko Interview siku mbili Mkoani. Maisha haya [emoji3][emoji1316]
[emoji23] poleeMwanza to Arusha na mbususu sikupata
Unahisi alikua anamaanisha nini, mi mbona bado sijaelewa?nilikuwa mshamba sana wala choo chenyewe sikuwa nakijua...
nilikuwa mshamba sana wala choo chenyewe sikuwa nakijua...
Na tuliosafiri kufata mikuyenge pia tunaruhusiwa kucomment hapa?
Mimi enzi hizo mama p ndio bado "kishikide" mtaani ndio kaanza kula nauli za watu, basi ndio nikaanza kumnyatia..
Mara anitumie text usiku nimelala eti "baby pole na kukoroma" kana kwamba aliniskia.
Kubwa kuliko yote ni ile siku nipo na mshua Home anataka kunipa maelekezo nipeleke mbao kwa baba bakari, mama p akanitumia text eti "baby njoo nikupe kitu"
Nikachomoka mbio kama mwizi anayefukuzwa na raia kakiona kituo cha polisi akajisalimishe..!
Kufika huko kidume nilishapitia ndomu njiani. Mixer mundende na alkasusu, nikamuuliza eeh "nipe baby ile mbuzi kagoma ndio nataka"
Mwenyewe akasema eti "Nilikuwa nataka nikupe mtungi wa gesi unisaide kubeba hadi kwa mangi"..
Nilifuata mkuyenge Arusha to Mtwara! Nikaachwa[emoji4]
alikuwa anataka nimzibue mtaro.....Unahisi alikua anamaanisha nini, mi mbona bado sijaelewa?
inawezekana....ila nilikuwa namkubari sana yule manzi...na hadi leo bado naamini kuwa ipo siku atarudi...japo najidanganya tuHii ndio sababu alikata mawasiliano.
Kwahiyo niga muda wa kuomba kazi unakua na miaka 26 ila muda wa kupeleka watu chooni unakua enzi za ujana?inawezekana....ila nilikuwa namkubari sana yule manzi...na hadi leo bado naamini kuwa ipo siku atarudi...japo najidanganya tu