Umewahi shuhudia mtu akifa mbele yako ghafla na hukuamini?

Moshi miaka ya 1980s niliona vijana wawili wako kwenye bodaboda wanaongea kwa sauti kubwa tu, ile wamefika karibu na soko kuu wakauvaa mti, waliishia palepale

Miaka ya 1990s mbeya eneo la rrm kuna trafiki wawili walikuwa kwenye bodaboda wakaingia mtaroni, nilikuja sikia walifia palepale
 
Hakuna kufa kimasihara mkuu Mbwichichi huyo ndo tayari kafa.
 

Vituko vya mochwari
 
Demu alikuwa ameenda kuwanga
 
I can feel you,pole sana
 
Pole sana mkuu, imeniuma kama mimi ndio mzazi!!
 
Pole sana😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…