Umewahi ziona hybrid cars hapa bongo? Je, zinastahimili changamoto mbalimbali? Wataalamu karibuni!

Umewahi ziona hybrid cars hapa bongo? Je, zinastahimili changamoto mbalimbali? Wataalamu karibuni!

Hybrid cars hazihitaji mafundi uchwara. Ila naamini miaka inavyokwenda watu wataanza kuzutumia hapa Tz.
Soon tutakuwa na dearships za kutosha za hizo kampuni kubwa kubwa. Hawa watasaidia saana kuboresha ufundi wa magari na upatikanaji wa vipuli. Ila kwa sasa ukinunua gari la kipekee imekula kwako.
 
Kuna Vits nimeona befoward ni hybrid na inatumia petrol, sasa haitanisumbua?

Ni ya mwaka ya 2000, hilo betri litakuwa zima kweli?
Kwa ushauri wangu achana nayo mkuu kama unapesa za kuunga unga hasa kipindi hichi cha anko magu..nakwambia hivyo coz ugonjwa mkubwa na hata wao huko nje wanaziuza kwasababu ya betri yaani shida sio kucharge ishu ni kwamba betri zinakufa.

Yaani zikishafikia kipindi haziwezi kuhifadhi sana moto ndio basi tena za kubadilisha na ujinga wake kwa wastani betri moja complete huwa na betri 30 zilizounganishwa series hapo betri moja au mbili zikuwa mbovu basi zinatia ubovu betri yote yakupasa ubadilishi hizo zilizokuwa majanga..

Lkn kwa kuwa magari mnaagiza nje mtashindwaje kuagiza betri?

Linunue tuu mkuu kufa kufaana kama suala la kuchaji tutafutane nimenunua mashine ya kuchajia na yakufanyia service ya bettry..
 
Soon tutakuwa na dearships za kutosha za hizo kampuni kubwa kubwa. Hawa watasaidia saana kuboresha ufundi wa magari na upatikanaji wa vipuli. Ila kwa sasa ukinunua gari la kipekee imekula kwako.
Sio kweli mkuu hayo magari hayana lolote la ajabu mbona mm nishakutana nayo sana na mpaka now naongea ofisini kwangu zipo 2 zote hybrid ..moja alphad na nyingine harrier chogo na zote zishatengemee ziko powa..labda utofauti na cha maana kikubwa ni kwenye gearbox tu basi coz kwenye gearbox ndani inaongezeka badala ya kuwa na converter basi yenyewe ina kuwa na motor na generetor..
 
Kwa ushauri wangu achana nayo mkuu kama unapesa za kuunga unga hasa kipindi hichi cha anko magu..nakwambia hivyo coz ugonjwa mkubwa na hata wao huko nje wanaziuza kwasababu ya betri yaani shida sio kucharge ishu ni kwamba betri zinakufa .yaani zikishafikia kipindi haziwezi kuhifadhi sana moto ndio basi tena za kubadilisha na ujinga wake kwa wastani betri moja complete huwa na betri 30 zilizounganishwa series hapo betri moja au mbili zikuwa mbovu basi zinatia ubovu betri yote yakupasa ubadilishi hizo zilizokuwa majanga..

Lkn kwa kuwa magari mnaagiza nje mtashindwaje kuagiza betri ??.

Linunue tuu mkuu kufa kufaana kama suala la kuchaji tutafutane nimenunua mashine ya kuchajia na yakufanyia service ya bettry..

Mkuu nimesoma comments zako zote hapa katika huu uzi, nimeona una discourage kabisa kuagiza hizi gari wakati huo huo nimeona unamwambia mtu battery ikifa aje kwako unazo na unafanyia service na kuna harrier chogo ushaitibu!! Hapo hapo unamwambia mtu agiza unafanyia service zote!

Which is which kwa upande wako??

Hebu toa neno moja tu ueleweke mkuu!!
 
1485430414299b65c7f9714f23921ddd.jpg
735cea3861781eec4d64b3a69b39e2bb.jpg

Hiyo Auris Hybrid ninayo haijawahi kusumbua nilienda nayo moshi kupitia bagamoyo nilitumia lita 25
Bei gani.. Ulinunua na milleage ngap
 
MKUU SIKUSHAURI kabisa ununue hizo gari sababu kubwa ni spea mm nishakutana nazo kama 7 hivi na zote mpaka kufikia kuharibika ni kisa kimoja 2.ile gari huwa ina kuwa na betri 2 ya kawaida mbele na nyuma kunakuwa na betri kubwaa ya hybrid .

tatizo huwalinakuwa betri ya haybrid ikiisha charge hapo ndio kwisha kazi.maana huwa inachajiwa na mashine maalum kwa wenzetu ukiingia kwenye vituo vya kujazia mafuta huwa kunakuwa na cable kwaajili ya kucharge betri kuna soket unachomeka kama unajaza mafuta vile.

mm nilitegemea TOYOTA tanzania labda wangekuwa na hizo mashine lkn hakuna betri ya hybrid ikiisha basi gari haiwezi kuwaka tena.kuna gari tulihangaika nayo sana kujaribu kucharge hizo betri kwa njia ya kucharge cell moja moja tukafika kwenye gari tukaweka ikazunguka mara moja tuu na zikaenda down.

na hata hivyo wataalam wakutengeneza hizo gari nao ni shidaa.
mm nashangaa sijui kwa nn toyota wasingekuwa wanaendesha mafunzo kwa mafundi wanao taka kujiendeleza ili iwe rahisi mafundi kurekebisha gari zao??

mfano now gari za D4 zinaonekana kama kimeo sana wakati sio kweli kbs badala ya kufundisha watu jinsi ya kuzirekebisha wao wapo kimyaa tuu.

kwanza tanzania hakuna chuo cha kufundisha ufundi huko VETA ukienda wanafundisha magari ya mwaka 70 huko unafundishwa starter ya 109 rand rover?? hahahahahha
Mkuu LEGE maelezo mazuri but naomba tuweke record sawa hapa.

1)Gari za hybrid hapa bongo zipo nyingi e.g. Prius, Harrier, Crown etc zina hybrids za kutosha.

2) Gari ya Hybrid ina Engine ya kawaida kabisa na betri kubwa ya pili(ziada) inayo-power motor kwa ajili ya kusukuma gurudumu so huwa vinapokezana.

3) Hauwez kucharge hybrid car kutumia mfumo wa charger ya nje bila ufundi kidogo. TESLA pekee ndo zinachargiwa hvyo na ni full electric.

4) Hybrid hauwezi ukaendesha gari mpaka battery ikadrain to zero, usually battery-motor inatumika kwny initial acceleration kuipa nguvu engine au ukiwa unacruise kwny mwendo mdogo lakini hybrid zote zimewekewa control huwa zinaswitch from battery to full engine charge ikishuka sana so hautakaa udrain charge mpaka zero ni ngumu sana. Mara nying battery inacharge kw kutumia regenerative braking(ukiwa unabrake) na itazima mafuta tu yamekata sio battery.

5) Gari hybrid zina mfumo stable sana and hazijatengenezwa kutiwa tiwa spanner garage. Nyingi zina uwezo wa kujifanyia self-diagnosis na kukupa results hapo kwny screen.

6)Mafundi ni kweli mkuu wako wachache lakin pia wanaziogopa because hawataki kujifunza utaalam mpya. CFAO Motors na Toyota Tanzania wana wababe wa hizi gari wa kutosha in case imezingua Acha watu wanunue usiwatishe, bongo ziwe nyingi because electric cars ndo the future, ulaya na marekani wako mbali kwny hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli mkuu hayo magari hayana lolote la ajabu mbona mm nishakutana nayo sana na mpaka now naongea ofisini kwangu zipo 2 zote hybrid ..moja alphad na nyingine harrier chogo..na zote zishatengemee ziko powa..labda utofauti na cha maana kikubwa ni kwenye gearbox tu basi coz kwenye gearbox ndani inaongezeka badala ya kuwa na converter basi yenyewe ina kuwa na motor na generetor..
Safi saana. Wewe utakuwa serious na kazi. Mafundi wengi wanazingua aise. Unakwenda na gari la 2001 wanaliita new model. Mwisho wa siku wanaishia kukuharibia tu.
 
Mkuu LEGE maelezo mazuri but naomba tuweke record sawa hapa.
1)Gari za hybrid hapa bongo zipo nyingi e.g. Prius, Harrier, Crown etc zina hybrids za kutosha.
2) Gari ya Hybrid ina Engine ya kawaida kabisa na betri kubwa ya pili(ziada) inayo-power motor kwa ajili ya kusukuma gurudumu so huwa vinapokezana.
3) Hauwez kucharge hybrid car kutumia mfumo wa charger ya nje bila ufundi kidogo. TESLA pekee ndo zinachargiwa hvyo na ni full electric.
4) Hybrid hauwezi ukaendesha gari mpaka battery ikadrain to zero, usually battery-motor inatumika kwny initial acceleration kuipa nguvu engine au ukiwa unacruise kwny mwendo mdogo lakini hybrid zote zimewekewa control huwa zinaswitch from battery to full engine charge ikishuka sana so hautakaa udrain charge mpaka zero ni ngumu sana. Mara nying battery inacharge kw kutumia regenerative braking(ukiwa unabrake) na itazima mafuta tu yamekata sio battery...
Hahahahaha mkuu mm siwatishi nasema ukweli wa lile ninalolifaham..toyota ni wauza spare niamini mm mzee ..nishafika kote huko toyota na cifao hakuna motor mafundi wote wa umeme wa toyota nawafaham na namba zao ninazo kuna kipindi nilikuwa natafuta sana chargi yakuchajia hizo betri nilikosa ikabidi niyengeneze ya kwangu yakienyeji nikafanikisha nilichokuwa nahitaji kukifanya gari ikawaka fresh tuu..

Nikakutana na gari ya pili ikiwa down kabisa ikanibidi niagize charger ya kuchajia. Ugonjwa mkubwa wa hizo gari ni betri maana hybrid battery zipo 30 zimeunganishwa series na moja inakuwa na 7.5 mpaka 9.kadhaaa hapo inategemeana na aina ya gari.ambazo ukijumlisha unapata kuanzia 260 kwenda juuu.

Sasa kama betri moja ina 7.5V unshindwaje kuchaji??.

Ugonjwa mwingine mkubwa ni inverter cooling motor ikifa hiyo gari inazingua sana mwishowe betry zinakwenda down..
 
Mkuu LEGE maelezo mazuri but naomba tuweke record sawa hapa.
1)Gari za hybrid hapa bongo zipo nyingi e.g. Prius, Harrier, Crown etc zina hybrids za kutosha.
2) Gari ya Hybrid ina Engine ya kawaida kabisa na betri kubwa ya pili(ziada) inayo-power motor kwa ajili ya kusukuma gurudumu so huwa vinapokezana...
Mkuu hembu nambie hiyo namba 3 yako why unasema haiwezekani?? Au wamaanisha plug in ?? Kama ndivyo hivyo ni kweli lkn unaweza charge kwa moja moja au zote hata kwa chaji ya kawaida ya kutengeneza.na hizo betri huwa hazifi zote bali mbili au tatu ndio huwa majanga na kwakuwa zimeungwa series basi hapo ndio huwa majanga makubwa zaidi
 
Mkuu nimesoma comments zako zote hapa katika huu uzi, nimeona una discourage kabisa kuagiza hizi gari wakati huo huo nimeona unamwambia mtu battery ikifa aje kwako unazo na unafanyia service na kuna harrier chogo ushaitibu!! Hapo hapo unamwambia mtu agiza unafanyia service zote!

Which is which kwa upande wako??

Hebu toa neno moja tu ueleweke mkuu!!
Hahahaha mkuu maintanance ya hybrid car nigarama sana..hata kama zinatibika kwanza changamoto kubwa zaidi ni spare..hapa bongo hakuna spare kabisaa za hybrid car..hasa zikiharibika upande wa hybrid ingawa uhalibikaji wake mkubwa ni betri na betri sio yote bali ni piec chache.

Nasema watu wasiagize coz hali zetu zinafahamika coz hata magari 80% tunaagiza magari chakavu toka nje na hayo magari mengi yanakuwa yashaharibika au fikia kwenye kuharibika ndio maana wanaziuza..lkn kama mtu unanunua 0km haina shida sana.
 
We ni muongo sijawai ona. Nani alikwambia Prius ina Plug in? Inahtaji sehem ya kuchaji?

Ebu kajielimishe sana kuhusu hizi gari ndio uje udanganye watu hapa
Mkuu twende taratibu ..najibu kwa kile ninachokifaham labda nikuulize gari nyingi za toyota hazina plug IN hasa zile zitumiazo mafuta na umeme lk. Kwa gari itumiayo umeme tuu lazima iwe na plug in na hata nyingi zenye umeme na mafuta zina plug in pia.wew unabisha kuwa betri hazichajiwi labda nikuulize je ikitokea cell moja ya betri imekufa na kusababisha nyingine kwenda down itakuwaje?? Gari ndio imekufa?? Kwasababu gari haina plug in??.jibu ni hapana.

Ili uweze kuwa na hoja ya kubisha kwanza faham details za hiyo HV bettery je cell/pack/bettery moja ina volt ngapi?? So kama bettery ina volt 7.5 nakuendelea zipo nyingine zina volt 9.5 why ushindwe kuchaji??.ikiwa betery za 6V zinachajiwa why 7 na 9 zishindikane??..
Kuna mdau humu alikuwa anaitwa #transistor long time sana sijamwona alikuwa anafaa sana kuamua huu ubishi..

Mm ninachojua unatoa bettery unaifungua kwenye gari kwanza unapima bettery moja moja nakuandika pembeni bettery itakayokuwa chini ya 7v weka pembeni lkn itakayo kuwa chini ya 5v badilisha au charge na discharge kama mara 5 then i test uone kama bado iko powa au laa..
So nashangaa sana mnapo bisha kuwa hazichajiwi...wakati ukienda google kuna video kibao za kutest charge na kupima hv battery..

Okey kwa urahisi zaidi tafuta wale watu wenye drone sijui wanaziita huwa zinakuwa na bettery za kuchaji waulize charger za bettery zao pia waweza kutumia.
 
100% mkuu, we jiulize kama lazima upate pakuchaji hybrid zilizopo bongo wanachaji wapi. Prius sio electric hybrid system ni hydralic hybrid. Haihtaji plus in

Ina bettry inajichaji kwa mfumo wa brake nk na inapokuwa haijaingage umeme inatumia mafuta kama kawaida
Ni sawa na Honda insight, Civic hybrid nk nk
Mkuu sipingani na ww lakini unasahau kuwa asilimia 90 ya watanzania wanatumia used car.hakuna anayenunua gari 0km na kibayazaidi hali au maisha yetu yakuunga unga pia nichangamoto nyingine..

Gari hizi nyingi huuzwa huku kwetu zikiwa betri zake zishakuwa mbovu ndio maana wenyewe wanaziuza ni kama ilivyo kwa mazda rx8 ukitembelea km flani lazima ubadilishe engine ndio maana wajanja wa nje wanapo ona km zinakalibia huziuza. So na hybrid pia ndivyo ilivyo mkuu..sasa kama gari betri yake mpya inafika 3M kwangu mm naona ni pesa nyingi sana.na kibaya zaidi gari hizo starting systerm yake hutegemea high voltage..so hv ikiwa low ndio huwezi kuwasha gari..

Swala la kuchaji ni kwamba gari inapotokea mistake ndogo au ikaharibika na ikawa haiwaki ww bila kujua ukapiga kama mara mbili 3 hivi mpaka bettery ikaenda down hapo ndio suala la kuchaji ndio hushika nafasi maana kama haina plug in basi lazima uchaji bety moja moja au mbili mbili ili uweze kuwashia gari baada ya hapo itajichaji kwenge gari..

Hizi gari zinahitaji umakini sana wakati sisi wabongo suala hilo ni sifuri kwetu..kuanzia kwenye coolant systerm inatakiwa usiweke maji ya kawaida coz rejeta ya highbrid ina motor ya kupooza inverter ukitumia maji ya kawaida unaua mota kwa kutu na mwishowe unaweza ua inverter/converter.

Kuna gearbox pia ni ya chain so inataka hydrolic nzuri sio za kuunga unga kitu ambacho kwa wabongo huwa hatuzingatii sana..
 
Back
Top Bottom