Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 6,109
- 8,080
Unapofanya tukio jitahidi usiache alama, kama ndio hii naona picture file name ina namba za simu tunaweza anzia hapa kukutrace kwa kushirikiana na ubalozi wa SA na interpol.Ninahisi kuwa yeye ndiye mmiliki halisi ama ni mtu aliyekaa nayo kwa kipindi kirefu.
Hii hapa ni picha ya hiyo kitu ikiwa katika hali upya upya wake.
Na kuhusu hunted na spirits za wahanga wa hiyo Roho sidhani kwangu itakuwa changamoto as ninaikubali sana Nguvu ya Rozali[emoji16]