Umiliki silaha kinyume na sheria

Unapofanya tukio jitahidi usiache alama, kama ndio hii naona picture file name ina namba za simu tunaweza anzia hapa kukutrace kwa kushirikiana na ubalozi wa SA na interpol.
 
Circumstance Huwa zinaweza kukucompell. Ila nashauri nunua kihalali maduka ya hapa Nchini. Fuata utaratibu wa kupata kibali Cha kumiliki silaha. Maisha yatakuwa mubashara tu. Mkuu.
PATA halali Achana na haramu
Shida ni kwamba mzunguko na mkubwa hadi kuja kupewa na ninaweza nisiwe na sifa za kupewa.
Hii ninaipata bila kuangalia nina vigezo ama sina na zaidi ni pesa ndogo sana anahitaji ni kama vile ananipa kishikaji tu kwasababu ya ushikaji wetu.
 
Unapofanya tukio jitahidi usiache alama, kama ndio hii naona picture file name ina namba za simu tunaweza anzia hapa kukutrace kwa kushirikiana na ubalozi wa SA na interpol.
Ikiwa itakuwa hivyo basi kutakuwa na Cheni ndefu hadi kukamatwa kwangu. Kutoka SA hadi WAU ni mbali sana na Itakuwa imepita mikononi mwa watu wengi.. Fanya hivyo nafasi yako inavyokutuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…