Uchaguzi 2020 Ummy Mwalimu atangaza kugombea Ubunge Jimbo la Tanga mjini

Uchaguzi 2020 Ummy Mwalimu atangaza kugombea Ubunge Jimbo la Tanga mjini

Kumbe ruksa kutangaza eeeh, kuna Rafiki yangu mkubwa anataka kugombea Dodoma mjini. Ngoja naye nimwambie ajimwage
 
Waziri wa Afya katika serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na chama cha Mapinduzi kupitia rais Magufuli ,Ummy Mwalimu wakati akihitimisha kujibu hoja za wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya wizara ya afya amesema sasa ameiva na ameamua kuachana na ubunge wa viti maalum na sasa anaenda kugombea ubunge Tanga mjini.

Ummy Mwalimu amesema anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kufanya kazi kubwa ya kujenga hospital za wilaya na Zahanati kila tarafa nchi nzima .

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana. Atashinda kwa kishindo
 
Ajikite kwenye mapambano dhidi ya Corona kwa sasa. Hizo siasa zipo tu muda ukifika atafanya.
 
Hivyo vituo vya afya na zahanati vimejengwa wapi na wapi?

Watuletee taarifa ya utekelezaji tuione kisha tufatilie tujiridhishe kama ni kweli au siyo.

Mfano nataka kujua kama kijiji cha Kwamagome kule Handeni walishajengewa kituo cha afya au Zahanati?

Maana tangu Uhuru hadi leo wamekuwa wakihangaika kwenda kupata huduma mbali sana !


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kwakweli, msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mimi nikikutanagq na picha yake uwa naangalia shingo yake zaidi ya dk 10


Sent from my iPhone using JamiiForums
Unashangaa zile round/bangili
kweli mizuka imetofautiana
 
Waziri wa Afya katika serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na chama cha Mapinduzi kupitia rais Magufuli ,Ummy Mwalimu wakati akihitimisha kujibu hoja za wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya wizara ya afya amesema sasa ameiva na ameamua kuachana na ubunge wa viti maalum na sasa anaenda kugombea ubunge Tanga mjini.

Ummy Mwalimu amesema anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kufanya kazi kubwa ya kujenga hospital za wilaya na Zahanati kila tarafa nchi nzima .

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana waziri Ummy, mwanamke akiwezeshwa anaweza, wewe ni mwanamke unajua umuhimu wa hospitali kwa wanawake, wagonjwa wanao kuja hospitalini kwa kila siku wengi ni wanawake na wototo, lakini pia jaribu kuwa hodari kutangaza hali halisi ya corona Tanzania bila kujali amri toka juu ili uwe shujaa zaidi, nafasi unayo na umepewa itumie ili utoke.
 
Aombe Mungu na alivyo kibonge asipate Corona ili lengo lake litimie ,maana Ni kibonge
 
Waziri wa Afya katika serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na chama cha Mapinduzi kupitia rais Magufuli ,Ummy Mwalimu wakati akihitimisha kujibu hoja za wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya wizara ya afya amesema sasa ameiva na ameamua kuachana na ubunge wa viti maalum na sasa anaenda kugombea ubunge Tanga mjini.

Ummy Mwalimu amesema anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kufanya kazi kubwa ya kujenga hospital za wilaya na Zahanati kila tarafa nchi nzima .

Sent using Jamii Forums mobile app
Atatoboa?
 
Waziri wa Afya katika serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na chama cha Mapinduzi kupitia rais Magufuli ,Ummy Mwalimu wakati akihitimisha kujibu hoja za wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya wizara ya afya amesema sasa ameiva na ameamua kuachana na ubunge wa viti maalum na sasa anaenda kugombea ubunge Tanga mjini.

Ummy Mwalimu amesema anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kufanya kazi kubwa ya kujenga hospital za wilaya na Zahanati kila tarafa nchi nzima .

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mapema sana kujisifia kwa kazi alizozifanya. Kati ya Leo mpaka Baraza la mawaziri litakapovunjwa kuna muda mrefu sana hapa katikati, lolote linaweza kutokea.
 
Waziri wa Afya katika serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na chama cha Mapinduzi kupitia rais Magufuli ,Ummy Mwalimu wakati akihitimisha kujibu hoja za wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya wizara ya afya amesema sasa ameiva na ameamua kuachana na ubunge wa viti maalum na sasa anaenda kugombea ubunge Tanga mjini.

Ummy Mwalimu amesema anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kufanya kazi kubwa ya kujenga hospital za wilaya na Zahanati kila tarafa nchi nzima .

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha mwanaFA!
 
Hivi kutangaza nia kipindi kama hiki pia amepewa maagizo kutoka juu?

Kuna watanzania wanamtetea huyu dada eti anapewa maamuzi kutoka juu!
 
Back
Top Bottom