Mtimkavuorg
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 655
- 527
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila lenye kheri dada Ummy,hata mimi 2025 nitagombea Kawe .
Muda wa kutangaza NIA kwa CCM UMEFIKA?
Mzee Mangula jitokeze UWAKEMEE.
Apo huwa wanatutukana walipa kodi!Kwa hiyo huo ujenzi alofanya kazi kubwa ni nani hasa?
1. JPM
2. Ummy
3. Kodi za wananchi.
Unforgetable
Mbona ccm wamezingua toka uhuru na bado walikuwa wanachaguliwa?Vizuri!!! Kwa Tanga nahesabu Tiari umepita.
Yule mjing..a Mussa wasasa amezingia sana,kwahiyo ningumu wapinzani kuaminika tena
Sent using Jamii Forums mobile app
japo comment yako inachekesha lakini pia bado inafikirisha mno. Maana anavyojinadi kama vile ana mkataba na Mungu hasa kwa halili tete iliyopo sasa.Atafika oktober, aache mbwe mbwe.
Unaogopa nitakuwa tishio kwa Halima Mdee. Hakuna uzee kwenye Ubunge kwanza ndo kwanza nitakuwa na 39 yrs old. Bado mbichi kabisa.Kawe ndio wanataka mijizee?
Yule mdigo mussa mbaruku aende akalime mihogo sijawahi msikia ata bungeni akachangia madaVizuri!!! Kwa Tanga nahesabu Tiari umepita.
Yule mjing..a Mussa wasasa amezingia sana,kwahiyo ningumu wapinzani kuaminika tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wabunge wa ccm wanagonga meza tu !Eti amejenga hospitali na zahanati nchi nzima, she must be very rich.
Ndio sound anayoenda kuwapiga jamaa zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe akigawa barakoa kwa wananchi huwa hugogi meza?Halafu wabunge wa ccm wanagonga meza tu !
Not the right time for thatWaziri wa Afya katika serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na chama cha Mapinduzi kupitia rais Magufuli ,Ummy Mwalimu wakati akihitimisha kujibu hoja za wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya wizara ya afya amesema sasa ameiva na ameamua kuachana na ubunge wa viti maalum na sasa anaenda kugombea ubunge Tanga mjini.
Ummy Mwalimu amesema anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kufanya kazi kubwa ya kujenga hospital za wilaya na Zahanati kila tarafa nchi nzima .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamkamate kwanza TrumpHuyu ni wa kukamata na kuweka ndani aeleze kwanini watz wanakufa kwa ugonjwa unaozuilika.
Kwa hiyo huo ujenzi alofanya kazi kubwa ni nani hasa?
1. JPM
2. Ummy
3. Kodi za wananchi.
Unforgetable
Kwa hiyo huo ujenzi alofanya kazi kubwa ni nani hasa?
1. JPM
2. Ummy
3. Kodi za wananchi.
Unforgetable