Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mbowe anakusanya kodi?Mbowe nae atanunua vifaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe anakusanya kodi?Mbowe nae atanunua vifaa
Kwa hiyo huo ujenzi alofanya kazi kubwa ni nani hasa?
1. JPM
2. Ummy
3. Kodi za wananchi.
Mbona kila mtu anavutia upande wake?
Unforgetable
Analo jimbo lake la magogoniTena anyamaze ameleta Corona alafu anataka ubunge, angoje wa kuteuliaa labda
Sent using Jamii Forums mobile app
Atafika oktober, aache mbwe mbwe.
Mwenzako huyo
Ahh jmn mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeniSisi wabongo hatupo vizuri kuchangamkia vitu into details, umeona keshasema "amejenga hospital na vituo vya afya nchi nzima". Kwa sisi watanzania that's more than enough kumpa ubunge, hatutakagi shida sisi. Terrible!!
Yes she is married with childrenHivi ana mume na familia?
HeheheTulia wewe ubunge anapata hata asinge fanya hayo ile shingo yake tu inatosha kuombea ubunge[emoji23]
Unatafuta weakness kwa nguvu sana...Ummy ni mtoto?
Mtunzieni heshma bhana
Atachaguliwa na wananchi wa Tanga wenye mapenz telee kwakeHuyu nani atamchagua labda tume
Aliyashinda mno machadema.Mtoto wetu wa Kitanga, Tumemlea wenyewe, Tumemkuza wenyewe, Tumemjenga wenyewe, Chaguo letu wenyewe, Sasa Tunamtuma Wenyewe akatuwakilishee Bungeni kwa mustakabali wa Maendeleo Ya Wana Tanga. #TUKUTANEKWENYEKUCHUKUAFOMU[emoji108]
#2020TangaYaUmmy
#BegaKwaBegaNaUmmy
#TangaYaKijani [emoji172]View attachment 1505285