Uchaguzi 2020 Ummy Mwalimu atangaza kugombea Ubunge Jimbo la Tanga mjini

Uchaguzi 2020 Ummy Mwalimu atangaza kugombea Ubunge Jimbo la Tanga mjini

Waziri wa Afya katika serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na chama cha Mapinduzi kupitia rais Magufuli ,Ummy Mwalimu wakati akihitimisha kujibu hoja za wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Afya amesema sasa ameiva na ameamua kuachana na ubunge wa viti maalum na sasa anaenda kugombea ubunge Tanga Mjini.

Ummy Mwalimu amesema anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kufanya kazi kubwa ya kujenga hospitali za wilaya na Zahanati kila tarafa nchi nzima .
Kwanini asigombee chato??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja tanga yote majimbo yote wagombee wanawake sababu wansume wengi Wa Tanga wamekaa kike kike kuanzia kujipodoa had I kudeka sihawahi on a wadekaji kama wanaume Wa Tanga

Bora tu washike ubunge wanawake lieweke moja

Wanawake Wa Tanga hawana Tabia za kudeka ni wachapa kazi ila wanaume Wa Tanga kwa kudeka na kujipodoa wanatisha na sio wachapa kazi kama
Wanawake

Nenda Ummy kagombee nakuunga mkono
 
Naunga mkono hoja tanga yote majimbo yote wagombee wanawake sababu wansume wengi Wa Tanga wamekaa kike kike kuanzia kujipodoa had I kudeka sihawahi on a wadekaji kama wanaume Wa Tanga

Bora tu washike ubunge wanawake lieweke moja

Wanawake Wa Tanga hawana Tabia za kudeka ni wachapa kazi ila wanaume Wa Tanga kwa kudeka na kujipodoa wanatisha na sio wachapa kazi kama
Wanawake

Nenda Ummy kagombee nakuunga mkono
Umetisha mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja tanga yote majimbo yote wagombee wanawake sababu wansume wengi Wa Tanga wamekaa kike kike kuanzia kujipodoa had I kudeka sihawahi on a wadekaji kama wanaume Wa Tanga

Bora tu washike ubunge wanawake lieweke moja

Wanawake Wa Tanga hawana Tabia za kudeka ni wachapa kazi ila wanaume Wa Tanga kwa kudeka na kujipodoa wanatisha na sio wachapa kazi kama
Wanawake

Nenda Ummy kagombee nakuunga mkono
Hahahaha
Inamaana wakina mwana FA ndiyo vile tena

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa Afya katika serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na chama cha Mapinduzi kupitia rais Magufuli ,Ummy Mwalimu wakati akihitimisha kujibu hoja za wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Afya amesema sasa ameiva na ameamua kuachana na ubunge wa viti maalum na sasa anaenda kugombea ubunge Tanga Mjini.

Ummy Mwalimu amesema anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kufanya kazi kubwa ya kujenga hospitali za wilaya na Zahanati kila tarafa nchi nzima .
She is capable of doing the work. Halafu sidhani kama wapiga fitna wana nafasi tena ya kumzuia
 
Waziri wa Afya katika serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na chama cha Mapinduzi kupitia rais Magufuli ,Ummy Mwalimu wakati akihitimisha kujibu hoja za wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Afya amesema sasa ameiva na ameamua kuachana na ubunge wa viti maalum na sasa anaenda kugombea ubunge Tanga Mjini.

Ummy Mwalimu amesema anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kufanya kazi kubwa ya kujenga hospitali za wilaya na Zahanati kila tarafa nchi nzima .
Hospitali ambazo hazina vifaa ndiyo amefanya maendeo?
 
Back
Top Bottom