LIKE
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 4,755
- 9,889
Huyu amevurunda na vifo vinavyoendelea 'one way or another' anahusika
Ni failure hastahili...hiyo credibility hana
Ni ujinga wa watz wa kudanganywa na wali na khanga ndio utakaomsaidia kushinda.
Alipaswa awe amejiuzulu hasa kwa namna wizara yake inavyosimamia kizembe afya ya wananchi..
Wanakufa mawaziri, wabunge, wasomi, matajiri, raia wa kawaida, malofa, wapumbavu na watoto..
Yupo anauza sura, hana uchungu
Ni failure hastahili...hiyo credibility hana
Ni ujinga wa watz wa kudanganywa na wali na khanga ndio utakaomsaidia kushinda.
Alipaswa awe amejiuzulu hasa kwa namna wizara yake inavyosimamia kizembe afya ya wananchi..
Wanakufa mawaziri, wabunge, wasomi, matajiri, raia wa kawaida, malofa, wapumbavu na watoto..
Yupo anauza sura, hana uchungu