Ummy Mwalimu awatumbua Mkurugenzi wa Temeke (Mwakabibi) na Mkurugenzi wa Sumbawanga (Msemakweli)

Ummy Mwalimu awatumbua Mkurugenzi wa Temeke (Mwakabibi) na Mkurugenzi wa Sumbawanga (Msemakweli)

Safi sana isiishie hapo account zake zichunguzwe pia,hata sura yake inaonyesha alivyo jeuri na mkorofi ila kichwani zero.
 
Watanzania inabidi kuwe soma la cheo ni dhamana lifundishwe mashuleni kuanzia primary mpk chuo kikuu.
 
Huyo Mwakababu sasa akauze gongo.
Nimefurahi haswaa[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]natamani aondolewe kabisa..shenzi huyuu!

Alisababisha mwl ajinyonge huyu! kamuingizia 70ml kwenye akaunti baada akamkana mkuu wa shule akajinyonga kuogopa kufungwa.
 
Nimefurahi haswaa[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]natamani aondolewe kabisa..shenzi huyuu!
Alisababisha mwl ajinyonge huyu!kamuingizia 70ml kwenye akaunti baada akamkana mkuu wa shule akajinyonga kuogopa kufungwa...!!
Duh kumbe ni muuaji. Kuna watu wakipewa vyeo wanajikuta miungu watu.
 
Daah maisha ni kutafuta na siyo kutafutana, huyo Mwakabibi alikuwa jeuri mno mpaka kajisahau kuwa yeye siyo mtumishi.

Hana sifa za kuwa kiongozi. Mbinafsi na mbabe kweli kweli. Kuwa afisa wa jumba kubwa sio kigezo cha kudharau watu wanaokulipa mshahara
 
Bwana Lusubilo Mwakabibi DED - TEMEKE, Amesimamishwa rasmi kupisha uchunguzi.

Ni aibu kwa maafisa wa TISS mnaoteuliwa kwenda kuongoza ofisi za Umma, mkageuka waharibifu. Kumbukeni viapo vyenu na miiko ya kazi yenu.
 
Mkuu kama
Bwana Lusubilo Mwakabibi DED - TEMEKE, Amesimamishwa rasmi kupisha uchunguzi.

Ni aibu kwa maafisa wa TISS mnaoteuliwa kwenda kuongoza ofisi za Umma, mkageuka waharibifu. Kumbukeni viapo vyenu na miiko ya kazi yenu.
Mkuu kama ulichokisema hapa ni kweli basi ni moja ya makosa makubwa yaliyofanyika katika nchi hii maana watu hao kuwapa nafasi hizi kumewafanya wasitimize majukumu yao ipasavyo badala yake walitimuza kwa kujipendekeza na upendeleo ili wapate teuzi.
 
Kwakweli kama kuna kitu kimenishangaza na hawa watu wa TISS ambao hayati aliwapendelea kuwateua kwenye nafasi nyingi nyingi.

Ni watu wa hovyo kabisa, wajuaji, wagomvi na wenye dharau.

Sasa muda ufike waendelee kuwekwa kwenye nafasi ambazo hazitowaotesha mikia na mapembe kama vile masijala, kufagia na ulinzi. Sio lazima uwe mkurugenzi au DC ndio uweze kukusanya taarifa Pumbavu kabisa.
 
Moderators unganisha uzi na ule wajana huyu ndio anakurupuka saa hizi.
 
Back
Top Bottom