rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Ndio kwao hukoMwakaleli kufanya nini tena kazi imeshamshinda Arudi kwao akalime
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kwao hukoMwakaleli kufanya nini tena kazi imeshamshinda Arudi kwao akalime
We Bwashee siku hizi huwa una points sana pamoja na ubaguzi wako na chuki kwa wanywa mbege😎Ni jambo jema
Huyu jamaa Jaffo alikuwa anamuogopa sana.
Nimeamini Wanawake wakiwezeshana wao kwa wao Wanaweza!
Things have fallen apart.Mbona jaffo alikua anawaogopa sana wakurugenz halafu ummy mwalimu anawatumbua vizuri tu?..
Ni jambo jema
Huyu jamaa Jaffo alikuwa anamuogopa sana.
Nimeamini Wanawake wakiwezeshana wao kwa wao Wanaweza!
Mbona jaffo alikua anawaogopa sana wakurugenz halafu ummy mwalimu anawatumbua vizuri tu?..
Jaffo ajiangalie na huko alipo.
akitoka hapo ataenda kulima
Uchunguzi wetu zaidi umebaini kwamba Mtukufu Mwakabibi ndiye DED mwenye rekodi ya kiburi na kujimwabafai kupita yeyote tangu nchi hii ipate uhuru wake 1961 , alinunua gari la kutembelea la gharama kubwa (470mil) bila utaratibu na wala kujali lolote , tuhuma hizi hazifahamiki zilikopotelea .
Si unaona dj mpya anavyopiga ngoma kali kali....anaweza asipende ngoma yakeUna uhakika hawakuwa watoto pendwa wa jiwe?
na huku kusini wamejaa wa mitindo hiyooNa Yule aliejenga nyumba ya milioni 800 mbona bado yupo??
Na wa Tanga mjini?
Mtayasema yote awamu hii daadazeki zenyu. Wakumlamba back hayupo tena. Bongo zenyu lazima zifanye kazi. #£&+@#£Jaffo ni mnenaji mzuri!
Hongera Ummy mwalimu, bado sasa tumbua wakurugenzi wafuatao, Tarime, chunya ,ikungi, bukombe, GeitaDc, arusha dc,arusha mjini, chalinze, mtama, kilosa, Bahi,karatu, babati, Kahama,igunga, simanjiro, siha, biharamulo, nyangwale. Na ninashauri Rais asiwateue wakurugenzi kwanza asubiri ufangio wa Ummy mwalimu upite ndipo ateue.Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi Wakurugenzi wawili.
Wa kwanza ni Nyangi Msemakweli wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Huyu katumbuliwa kwa ubadhirifu wake na usimamizi mbovu wa miradi ya Maendeleo pia alikuwa hana maelewano na Madiwani.
Wa pili ni Lusubilo Mwakabibi, Mkurugenzi wa Manispaa ya temeke. Huyu yeye katumbuliwa kutokana na kuwa na mwenendo usiofaa na matumizi mabaya ya Madaraka.
Mwakabibi ametumbuliwa kutokana na watu kumlalamikia kwa mwenendo usiofaa na matumizi Mabaya ya Madaraka, Ubadhirifu, usimamizi mbovu wa miradi ya Maendeleo Katika Manispaa ya Temeke.
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Ummy Mwalimu amewataka Wakurugenzi wote Nchini kuzingatia Mipaka yao ya kazi.
Soma hizi:
1) Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara
2) Wizara ya habari kuchunguza tukio la DED wa Temeke kuwaweka chini ya ulinzi waandishi kwa kufika kwenye kikao chake bila mwaliko
3) Wito: ITV isusie kutangaza taarifa zote za Manispaa ya Temeke mpaka pale DED Mwakabibi atakapotimuliwa
4) Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke aache kutisha na kufedhehesha Waandishi wa Habari
View attachment 1763482
View attachment 1763546
Unakimbilia wapi? Ni Mwakabibi na sio Mwakibinga. Mkiitwa misukule mnasema mmetukanwa.Huyu DED machachali mwenye kelele nyingi za kujifisia hatimae amesimamishwa kazi kwa kushindwa majukumu na ufisadi .
Mwakibinga ambaye alikuwa shabiki mkubwa wa jpm kiasi yeye na mkewe wote kupewa u-DED alijaa tuhumu za ufisadi na ulevi was madaraka huku akionekana kupambana zaidi na DC Gondwe muda wote
View attachment 1763510
Team mwendazake ile inatokom
Wa Kahama yupo kwenye orodha ya kuondolewaAsije akamsahau na wa manispaa ya Kahama ,kwa mda alioachwa nao kutuligishia hilo gari inatosha saana
Hawezi kumuondoa wa Tanga mjini kwa sababu alimbeba Oct 2020.Na Yule aliejenga nyumba ya milioni 800 mbona bado yupo??
Na wa Tanga mjini?
Yule Mwakibibi ana kofia mbili. Hivyo ataendekea na kazi za Idara. Ndiyo maana jeuri imemjaaIle arobaini ya Mwakabibi ndio imefika.
Ummy siyo wa kubebwa. Katika walioshinda kihalali ni pamoja na Ummy.Hawezi kumuondoa wa Tanga mjini kwa sababu alimbeba Oct 2020.
Huyu Mwakibibi lazima atakuwa mtu mjinga sana.Huyo mkurugenzi wa Temeke kwa namna alivyokuwa anaendesha ofisi ni sahihi kutumbuliwa.
Malalamiko juu yake yalikuwa mengi sana, shida sijui ilikuwa wapi kwa mamlaka yenye dhamana ya uteuzi kumtoa toka awamu ile ya hayati Magufuli.