Ummy Mwalimu awatumbua Mkurugenzi wa Temeke (Mwakabibi) na Mkurugenzi wa Sumbawanga (Msemakweli)

Ummy Mwalimu awatumbua Mkurugenzi wa Temeke (Mwakabibi) na Mkurugenzi wa Sumbawanga (Msemakweli)

Huyo mkurugenzi wa Temeke kwa namna alivyokuwa anaendesha ofisi ni sahihi kutumbuliwa.
Malalamiko juu yake yalikuwa mengi sana, shida sijui ilikuwa wapi kwa mamlaka yenye dhamana ya uteuzi kumtoa toka awamu ile ya hayati Magufuli.
 
Aisee,
kumbeba wazir tamisemi anaweza kuwasimamisha kazi wakurugenz[emoji848]

Sikuwai kuskia jaffo akifanya hivi miaka yote alokaa tamisemi
 
Swahili_Times_on_Instagram:_“Waziri_wa_TAMISEMI,_Ummy_Mwalimu_amemsimamisha_kazi_Mkurugenzi_wa...jpg


Waziri wa Tamisemi Mh Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke , Lusubilo Mwakabibi

Anatuhumiwa kwa ubadhilifu , usimamizi mbovu wa miradi na mwenendo usiofaa .

Uchunguzi wetu zaidi umebaini kwamba Mtukufu Mwakabibi ndiye DED mwenye rekodi ya kiburi na kujimwabafai kupita yeyote tangu nchi hii ipate uhuru wake 1961 , alinunua gari la kutembelea la gharama kubwa (470mil) bila utaratibu na wala kujali lolote , tuhuma hizi hazifahamiki zilikopotelea .
 
View attachment 1763550

Waziri wa Tamisemi Mh Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke , Lusubilo Mwakabibi

Anatuhumiwa kwa ubadhilifu , usimamizi mbovu wa miradi na mwenendo usiofaa .
Hivi Mwakabibi alikuwa hajajuwa kuwa Rais wa sasa ni SSH ambaye hataki ubabe, ufisadi na kushirikiana na Wana habari?
Pole Mwakabibi
 
View attachment 1763550

Waziri wa Tamisemi Mh Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke , Lusubilo Mwakabibi

Anatuhumiwa kwa ubadhilifu , usimamizi mbovu wa miradi na mwenendo usiofaa .
Huu ndio utawala bora unavyotakiwa, kiongozi akijichanganya tu, anasimamishwa kupisha uchunguzi, kama hana shida, anarudi, sio Meko, yeye mtu akifanya ujinga mkilalamika sana, anachofanya ni kumsifia , hadharani, na kuufunga mjadala!!kama yule DC, wa hai kweli jamani!!??
 
Ni mkurungezi temeke ndugu mwakabibi na was sumbawanga
Kupisha uchunguzi juu ya tuhuma za ufisadi


Source Mwananchi
 
View attachment 1763550

Waziri wa Tamisemi Mh Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke , Lusubilo Mwakabibi

Anatuhumiwa kwa ubadhilifu , usimamizi mbovu wa miradi na mwenendo usiofaa .

Uchunguzi wetu zaidi umebaini kwamba Mtukufu Mwakabibi ndiye DED mwenye rekodi ya kiburi na kujimwabafai kupita yeyote tangu nchi hii ipate uhuru wake 1961 , alinunua gari la kutembelea la gharama kubwa (470mil) bila utaratibu na wala kujali lolote , tuhuma hizi hazifahamiki zilikopotelea .
Hivi alikuwa na unasaba na Jiwe, maana kiburi hiki kina Godfather anakisimamia and most likely ni Jiwe by those past days. Amekisajau kuwa Jiwe kafa
 
Huyo mkurugenzi wa Temeke kwa namna alivyookuwa anaaendesha ofisi ni sahihi kutumbuliwa.
Malalamiko juu yake yalikuwa mengi sana, shida sijui ilikuwa wapi kwa mamlaka yenye dhamana ya uteuzi kumtoa toka awamu ile ya hayati Magufuli.
Aliemteua alipenda style yake .....ikampa jeuri zaidi ...asubiri uchunguzi
 
Huyo mkurugenzi wa Temeke kwa namna alivyookuwa anaaendesha ofisi ni sahihi kutumbuliwa.
Malalamiko juu yake yalikuwa mengi sana, shida sijui ilikuwa wapi kwa mamlaka yenye dhamana ya uteuzi kumtoa toka awamu ile ya hayati Magufuli.
Huyu alikuwa Kakonko kabla ya kepelekwa Temeke. Yupo hovyo mno. Uchunguzi inafaa uanzie Kakonko.
 
Back
Top Bottom