J4 ndo wanatangaza Makamu mwenyekiti?Mmmmm.m tusubiriiiii J4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
J4 ndo wanatangaza Makamu mwenyekiti?Mmmmm.m tusubiriiiii J4
Bado unayo pesa ya fidia kupitisha bomba la mafuta lililotokea Hoima Uganda ?!!Wa Chongolieni [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
Hii ndiyo kashfa aliyo nayo?Ameshajifungua
Necessary technical skills zipi ulitaka awe nazo ili kuingoza wizara? Ameshindwa wapi? how?Huko ndio kunako mfaa wapachikane wanavyoweza.
Shida inakuja pale watu kama hawa wanapopewa wizara muhimu halafu wao wenyewe hawana necessary technical skills.
Na kuzipata hizo nafasi wanatumia majungu kwenye harakati zao kuwaaribia wataalamu inakera sana.
Vinginevyo huko ndani ya CCM no one cares Ummy wanampa nafasi gani au hata wakitaka kumpa uwaziri tena no one cares, lakini sio sehemu sensitive za maisha yetu kama wizara ya afya.
Shida zaidi afya wametutolea Ummy na kutuletea Jenista (sina shida ya yeye kuwa waziri) lakinj kwanini iwe sehemu ya kuchezea maisha yetu.
MaCCM yanadharau sana peaneni nafasi huko chamani kwenu we don’t care anymore lakini wizara technical zinahitaji wataalamu.
Pathetic CCM
Kwani alijifunga?Ameshajifungua
Uzi tayariSiku chache kabla ya Rais Samia Suluhu Hassani kumtimua Ummy Mwalimu kwenye nafasi ya waziri wa Afya alipata kusema kwenye kikao kimoja baada ya Ummy kumwaga sifa lukuki kwa Rais kuwa ukitaka jambo lako lisemwe vizuri basi mwambie Ummy Mwalimu akusemee.
Baada ya kauli hiyo siku chache mbele Rais akafanya mabadiliko madogo ya baraza lake la mawaziri wakamuweka pembeni Ummy mwalimu.
Rais amefanya hivyo makusudi tu ili baadaye aweze kumteua Ummy Mwalimu kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Abdulrhaman Kinana ambaye aliomba kupumzika kutokana na umri wake kuwa mkubwa.
Soma Pia:
Utafiti uliofanywa na mwaandishi wa makala hii umabaini kuwa Rais ana imani kubwa na Ummy mwalimu kutokana na kuwa msemaji mzuri hivyo amempunzisha kwenye baraza la mawaziri makusudi ili baadaye apendekeze jina lake kuwa makamu mwenyekiti wake kwa kuwa Ummy ni msemaji mzuri.
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
- Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
Comassava
Bado niliuliza swaliKwani alijifunga?
Gender balance itakataa labda mwakani 2025 baada ya mwanaume kuwa Rais wa awamu ya saba.Siku chache kabla ya Rais Samia Suluhu Hassani kumtimua Ummy Mwalimu kwenye nafasi ya waziri wa Afya alipata kusema kwenye kikao kimoja baada ya Ummy kumwaga sifa lukuki kwa Rais kuwa ukitaka jambo lako lisemwe vizuri basi mwambie Ummy Mwalimu akusemee.
Baada ya kauli hiyo siku chache mbele Rais akafanya mabadiliko madogo ya baraza lake la mawaziri wakamuweka pembeni Ummy mwalimu.
Rais amefanya hivyo makusudi tu ili baadaye aweze kumteua Ummy Mwalimu kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Abdulrhaman Kinana ambaye aliomba kupumzika kutokana na umri wake kuwa mkubwa.
Soma Pia:
Utafiti uliofanywa na mwaandishi wa makala hii umabaini kuwa Rais ana imani kubwa na Ummy mwalimu kutokana na kuwa msemaji mzuri hivyo amempunzisha kwenye baraza la mawaziri makusudi ili baadaye apendekeze jina lake kuwa makamu mwenyekiti wake kwa kuwa Ummy ni msemaji mzuri.
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
- Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
Comassava
Shida sio wewe ila chuo ulichosoma.wewe kiazi sana aisee, yaani kuelezea to hizo challenges ndiyo umejiona ni exceptional? Challenges zinaweza zikawepo popote hata kwenye mafanikio, ndiyo maana hata kama inatibu vizuri kwa viwango vya juu bado watengenezaji wanatakiwa waweke side effect ya dawa yoyote ile. So kwa namna unavyoikosoa bima ya afya you seem too young to Tango, kwa misingi iliyopelekea kuanzishwa na hadi ikaanzishwa, ulitarajia ikupe matokeo gani? Hiyo ilisha fail kabla haijaanza na kama ukosiaji tulishaufanta wakati ule. yeyote atakayejivika ujuaji wa kuleta ukosoaji sasa huyo ni mdandiaji wa treni kwa mbele.
Kuonekana najua chochote kuhusu health management issues, hilo siyo lengo langu hapa, hongera kwako unayetaka tujue kuwa unajua yote kuhusu health management.
Ushauri wangu kwako, jisome upya halafu ukajiangalie kama kweli una uwezo wa kukosoa ukaeleweka. Hata kwenye muendelezo naona bado unakuja vilevile na blanket critism zako. Ngoja nikuache ulivyo
Wewe na huyo mwenzako inaonekana hamjapoteza ndugu na jamaa kizembe hospitali za umma (through medical negligence).Ummy ajue vyote hivyo na Katibu mkuu afanye kazi gani.. Ummmy alifanya kazi yake vizuri sana..na katika mawaziri waliyoiweza Wizara ya afya Ummy ni mmojawapo...Haya mengine unayooongea Waziri anashauriwa tu na wataalamu lukuki waliopo wizarani... Na kwa maoni yangu pamoja na kwamba ajasomea medicine..alikuwa anaeleweshwa anashika na kuwa na "overleaf understanding"..Ukisema alikuwa hatoshi unaongozwa na chuki na si kitu kingine.
So, hii inadhihirishavkwamba you are emotional. kuna namna nilitamani kukuelewesha namna ya kufanya submission zako ila nilijizuia, kumbe nilikuwa sahihi, hauwezi uka reasoni namna ambaye yupo emotionally carriedWewe na huyo mwenzako inaonekana hamjapoteza ndugu na jamaa kizembe hospitali za umma (through medical negligence).
Kwa hiyo hili lililetwa na Ummy? au ni changamoto imekuwepo nchini kwa miska nenda rudi?Na pengine amfikirii hiko siku unaweza kujikuta umepelekwa hapo ukiwa hoi bin taabani. Survival yako ni quality of medical intervention and care services utakayopewa. Sasa hayo mambo yana regulations zake ambazo management wana jukumu la kusimamia.
Unaringanisha na wakati gani ambapo vyote hivyo vilikuwepo?Na kwa sasa medical negligence Tanzania ipo juu only that hakuna independent audit regulator, hakuna utaratibu wa ku-record medical errors (kama nchi zilizoendelea),
Nilikwambia kwamba hoja zako ni too general. Ningekuona mtu makini na unayeielewa public health vizuri kama unge exclude baadhi ya magonjwa na kuelezea kwa nini hayo baadhi yana hui utaratibu huku mengine yakiwa hayana. Sababu si kweli kwamba hakuna utaratibu huo kwa magonjwa yote.hakuna utaratibu wa kuelezea madhara ya hizo errors kwa wagonjwa na watu wangapi wamepoteza maisha, hakuna utaratibu wa kuweka policy na training improvement ya kupunguza errors, new practice regulation.
So, tatizo la human behaviour and altitude lipo kwa Waingereza tu, ikija bongo tatizo ni Ummy???Ni hivi hospitali za umma ni majanga kama umewahi kutibiwa nchi nyingine. NHS ya uingereza ambayo kwa miaka kadhaa imeongoza kama best health services duniani bado on average kwa mwaka watu 700 wanapoteza na wapo kwenye continuous improvement ya kupunguza hilo tatizo ugumu ni human behaviour and attitudes.
Ummy!!??Sasa Tanzania je watu wangapi wanapoteza maisha through medical error na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa.
Madaktari, siyo Ummy tena!!?You think ugomvi wangu na mapoyoyo wasio na uwezi kuwekwa afya ni personal na watu nisio wajua; mimi napigania maslahi yangu sijui lini wala muda Lakini inaweza tokea siku nikajikuta kwenye mikono ya madaktari wa umma na kufa yangu au kupona ni wao.
Muhimu ni kuona mtu anaepambana kuhakikisha management zinaongeza umakini kwenye kusimamia miongozo ya utoaji huduma za afya na kulinda rasimali.
Alikuwa vocal lakini utendaji uli paralize, sababu kilichofuatavilikuwa ni kutunishiana misulu ya kitaaluma kwamba waziri anasema mimi nilikuwa Mkurugenzi wa Tiba, hivyo hamuwezi kunidanganya wala kuniambia kitu, wakati huyu anasema ukurugenzi wenyewe ulikuwa vile, ngoja tumuonyeshe. Halafu service audit za kufanyika kwa mujubu wa miongozi wakati investment hakuna huo ni uwendawazimu. unafanya service investment wakati sector na deficity ya staffs baada ya wengi kuondolewa kazini na hapohapo ajira zikiwa zimesimamishwa? una audit ili upate nini?Wengi wenu mlikuwa amumuelewi Dorothy Gwajima akiamua kuwapiga service audit au inventory audit ya papo kwa hapo wakijaribu kumuongea kitu alipokuwa naibu katibu mkuu TAMISEMI mnaona kama vile mbwembwe, wakati anaonyesha uozo na usipokuwa mtaalamu wanakuongopea kirahisi tu.
ofcourse it is a joke, a very funny joke indeed.Kwenye vichwa vyenu you think this is a joke ni kumchukia mtu tu au kuleta ushabiki wenu wa kitoto kwa kufikiria ulaji. Ummy Mwalimu aliiweza afya are people being serious right now.
Ummy kama Waziri wa Afya ni nini wajibu wake kisheria na kisera kwenye Wizara? Yaani unataka mwanasiasa ndio afanye kazi za Wataalamu wa management za Afya? Hao watu si wapo? Wameajiriwa Kwa kazi gani ikiwa Waziri ndio atatakiwa kuyajua hayo?Shida sio wewe ila chuo ulichosoma.
Ukufundishwa tofauti ya dicription writing and analytical writing.
Analysing and evaluation of an argument is based on underpinning theories of the subject matter.
Wewe una foundation knowledge ya maswala.
Binafsi ndio maana nikauliza awali hivi wanafunzi wa afya wakitaka kuandika report guideline (regulations za ku-justify) point zao wanazitoa wapi iwapo hiyo miongozo aipo online.
Sasa kuelewa depth ya mtu kama you know who (sitaki kumtaja jina lake) kwa poyoyo kama wewe ni ngumu.
Unaandika ujinga mtupu kutoka kichwani kwako, shida ni elimu uliyopitia ambayo aikukufundisha uwezi kujiandikia tu vitu kutoka kichwani.
Na mijadala ya afya theoretically are based on laws and regulations za afya and aspects of management., Huko kwenye NHIF arguments are based on finance justification.
Unatumia muda mwingi kwenye kichwa chako kutoa description ya mambo, tofauti na actual arguments za kujibiwa on merit.
Mnajazana ujinga sana humu, mada nyingine ukikutana na wapuuzi wenzako wanakupa like hata mia.
Lakini mjinga mtupu unaenipotezea muda kujadili mambo ambayo uelewa wako mdogo sana, zaidi ya kujititimua tu lakini huna unachojua kuhusu maswala ya usamamizi wa afya.
My god the nonsense I had to endure reading your post god knows.
Spare a thought kwa wachingiaji wenzako..So, hii inadhihirishavkwamba you are emotional. kuna namna nilitamani kukuelewesha namna ya kufanya submission zako ila nilijizuia, kumbe nilikuwa sahihi, hauwezi uka reasoni namna ambaye yupo emotionally carried
Kwa hiyo hili lililetwa na Ummy? au ni changamoto imekuwepo nchini kwa miska nenda rudi?
Unaringanisha na wakati gani ambapo vyote hivyo vilikuwepo?
Nilikwambia kwamba hoja zako ni too general. Ningekuona mtu makini na unayeielewa public health vizuri kama unge exclude baadhi ya magonjwa na kuelezea kwa nini hayo baadhi yana hui utaratibu huku mengine yakiwa hayana. Sababu si kweli kwamba hakuna utaratibu huo kwa magonjwa yote.
So, tatizo la human behaviour and altitude lipo kwa Waingereza tu, ikija bongo tatizo ni Ummy???
Ummy!!??
Madaktari, siyo Ummy tena!!?
Alikuwa vocal lakini utendaji uli paralize, sababu kilichofuatavilikuwa ni kutunishiana misulu ya kitaaluma kwamba waziri anasema mimi nilikuwa Mkurugenzi wa Tiba, hivyo hamuwezi kunidanganya wala kuniambia kitu, wakati huyu anasema ukurugenzi wenyewe ulikuwa vile, ngoja tumuonyeshe. Halafu service audit za kufanyika kwa mujubu wa miongozi wakati investment hakuna huo ni uwendawazimu. unafanya service investment wakati sector na deficity ya staffs baada ya wengi kuondolewa kazini na hapohapo ajira zikiwa zimesimamishwa? una audit ili upate nini?
ofcourse it is a joke, a very funny joke indeed.
Ukosiaji wako hauonyeshi tatizo bali unaficha matatizo. ulichoandika kwenye comment hii it's real joke sababu umehama kabisa kwa Ummy na sasa unalaumu system. wizara ina wataalam, ndiyo hao wanaofanya na kufanyiwa service audit, ndiyo hao wanaoandaa miongozo na kila kitu, hao ulikuwa hautaki kuwagusa bali Ummy.
Mimi nasisitiza, Ummy amejitahidi sana, ila alikuwa na Changamoto zake tena za kijinga kabisa ambazo zinahitaji common sense kidogo tu. Siku za karibuni amezingua zaidi, ni kama alishachoka au alizidiwa nguvu, sababu pale Wizara/Seckta ya afya huko nchini ni sehemu ina cartels kuliko sekta yoyote ile, hata kwenye madawa ya kulevya na mafuta/nishati hakuna cartels kama waliopo pale afya, afya kuna Mafia wasioimbwa.
Inadaiwa huyo Ummy kwa sasa ni mjamzito kama kweli, mwambie siku zikifika aende kuzalia kwenye Zahanati huko Tanga. Kama unaamini kaweka huduma ambayo ni standard on quality nationwide.Ummy kama Waziri wa Afya ni nini wajibu wake kisheria na kisera kwenye Wizara? Yaani unataka mwanasiasa ndio afanye kazi za Wataalamu wa management za Afya? Hao watu si wapo? Wameajiriwa Kwa kazi gani ikiwa Waziri ndio atatakiwa kuyajua hayo?
Unapenda sana watu wajue kuwa unajua.Spare a thought kwa wachingiaji wenzako..
Mfano nimekwambia tatizo la medical negligence juzi tu kulikuwa na mada jukwaa la habari kwa malalamiko ya ndugu, binti yao alivyopoteza maisha na kichanga chake kwenye kituo cha afya kisa uzembe wa manesi.
Bado kuna changamoto za ‘medical errors’, wewe uelewa wako kwa maelezo ya quite clearly uelewi. Sasa kuanza kukuelezea practice errors, diagnosis errors, medication errors; vyanzo vyake in details ni vingi sana.
Nimekupa mfano wa health services ambayo imekuwa rated first duniani mara ya mwisho kuandika report za mambo ya afya kwa upande wangu ilikuwa kama 2021. By that time NHS imeshika hiyo nafasi kwa miaka mitano mfululizo.
Sasa upewi tu hiyo tuzo ili uweze kutoa huduma bora inataka strict adherence to health and medics regulation na regular services appraisals ndio maana kuna records hata za medical errors.
Wizara ina jukumu la kuboresha huduma sasa kama waziri mwenyewe ni clueless hata kituo zahanati kinavyitakiwa kuwa managed watu wanajifia huko anaweza kweli kupambana kumaliza matatizo ya negligence (nani kachukuliwa hatua kwa kifo cha kizembe Kibaha) unadhani tatizo ni nurse tu; hapo shida mpaka incharge, matron kama yupo.
Ni hivi acheni kuongelea mambo ambayo usimamizi wake in practice amuelewi technical skills za ku-manage kuanzia wizarani mpaka kwenye Zahanati.
Afya ni sector pekee duniani ambayo ni hierarchical sera na miongozo ya practice inaanzia wizarani kwa ushauri wa profesional bodies hakuna ubunifu kwenye services delivery zaidi ya kufuata taratibu. Sasa hujui taratibu zenyewe unawezaje kuona matatizo or even trouble shoot problem.
Yaani JF unaweza kuta mtu anabishania jambo ambalo hana ufahamu nalo kabisa anatoa tu vitu kutoka kichwani chake.
Sehemu kubwa ya miongozo ya afya inatolewa na wataalamu wake au taasisi za kimataifa.Unapenda sana watu wajue kuwa unajua.
Prof. Mwakyusa ndiye Waziri mwenye taaluma ya afya aliyefanikiwa katika Wizara hiyo, wengine wote wamezidiwa na Ummy.
kingine kinachonifurahisha umerudi pale nilipotaka, unalaumu zaidi mfumo na watendaji wake wakati awali ulimlaumu zaidi Ummy.
Unapotolea mfano wa nchi kama Uingereza na Ulaya bila shaka unaringanisha na mifumo yenu, not Ummy.
Ummy mjamzito? Miaka 51? 😂😂Inadaiwa huyo Ummy kwa sasa ni mjamzito kama kweli, mwambie siku zikifika aende kuzalia kwenye Zahanati huko Tanga. Kama unaamini kaweka huduma ambayo ni standard on quality nationwide.