Tetesi: Ummy Mwalimu kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM kuziba nafasi ya Kinana

Sauti za kike ZINACHOSHA.
 
Ummy Mwalimu kwangu ndio best canditade wa Uwaziri Mkuu awamu ijayo. Atafika mbali yule dada.

Hapa sina track ya kusindikizia uzi, ila Dj tuondoe na YOPE ya DIAMOND

Dj, plee dat ting
Jamani jamani Ummy huyu huyu ?
 
Muuaji anapewa kitengo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…