Ummy Mwalimu: Ruksa Madaktari kutumia hospitali za Serikali kama private clinic baada ya muda wa kazi

Utaelewaaaaa tu

Ova
 
Mlipenda zama za ..... zinalejea kwa kasi-ile nidhamu aliyokuwa ameanza kuijenga Magufuli katika utoaji wa huduma ya afya sasa inakwenda kutoweka
The pharma Industry, wanatumia Kila njia kuhakikisha Kuna sustainable customers. Baadhi yetu ama kwa kujua ama kutojua tunafanya maamuzi ya kutimiza hii ajenda ya hii industry!!!

Jambo hili linatekelezeka kirahisi kwa sababu pesa inakuwa mbele zaidi ya utu!
 
Ambacho hamjaelewa wengi kama si wote ni kwamba hospital ya serikali ni saa 24 huduma, kwahiyo huduma zitendelea kama kawaida,

Aliyeruhusiwa ni daktari, yaani badala ya kuhangaika kwenda private basi aendelee tu hapo hapo, kwahiyo pataekwa mfumo na utaratibu mzuri kwa ajili lengo ni kuhudumia wananchi

Hivi daktari huyo huyo akitoka hapo si anakwenda private za wahindi huko? Si pia anaweza kukushauri umfate huko? Ndio maana ya hili
Acheni mihemko
 
🙄
 
Zina mtosha mwenyewe, halafu anaenda kabidhiwa uhai wa watu.
 
Tafakari unachoandika.
 
Vifaa atatumia vya kwake au hospital 🤔🤔 kama ni vya hospital daktari anaechukua zamu atatumia vya kutokea wapi🤔🤔 vipi kuhusu na vitanda vitatosha kweli 🤔🤔, alipaswa kuchukua tahadhali kubwa kutokana na waswahili kua ni watu wa Dili Sana wanaweza Waka chelewesha huduma ili wapige pesa baada ya muda wa kazi kuisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…