MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
tuwape DP World waziendesheNadhani mortuary hazikupaswa kuwa sehemu ya hospital
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuwape DP World waziendesheNadhani mortuary hazikupaswa kuwa sehemu ya hospital
the idea ya kuwa na mortuary hospitalini ina presupposes acknowledgement of failure, very threateningHalafu kuna watu hufariki huko mtaani
Vipimo vya Postpartum huja kufanyiwa hospital (Mochwari) sie kila anaeenda mochwari alilazwa hospitali
Tuelewane hapo kidogo
Kwanini mipango miji wanatenga maeneo specific kwa makaburi?the idea ya kuwa na mortuary hospitalini ina presupposes acknowledgement of failure, very threatening
Not exactly...Patient cure is customer lost
Ila usiwaambie watu
Akili yako iko faster sana, napenda unavyo reason Mambo!!Ni mwendo wa kubinafsisha kila kitu, waziri wa Elimu nae atoe maagizo haya kwa walimu.
Ni mwendo wa kubinafsisha kila kitu, waziri wa Elimu nae atoe maagizo haya kwa walimu.
Uholela Huu Unatupeleka Pabaya SanaTunakoelekea askari nao wataruhusiwa kutumia bunduki zao kupiga dili.
Halafu Kuna watu huwa wanamuona Ummy kama mtu smart kichwani.Hakuna zezeta kama yuleUmmy awezi kufanya decision kutokana kichwani mwake,hayo mambo haya ruhusa LA Baraz LA Mawaziri kupitia Mwenyekiti wake SAMIA
Ni zaidi ya kosa, ni dhambi na uhaini kwa sekta za umma.Kosa kubwa sana hili
Kutumia jengo na vifaa tiba vilivyotokana na kodi ya wananchi kama private clinic tena?
Madaktari watazembea ili ukifika muda wa private clinic wapige pesa
Upuuzi wa mtu asisingiziwe Rais,huyu amerikoroga mwenyewe na sidhani kama litatekelezwa..Akili zote za mawazili zinaanza kufanana kiongozi wao, Rais wao.
Hawajali ndugu zao maskini watapata huduma wapi.
Hahahahah 😂😂Na sekta nyingine walione hili. Itolewe rukhusa kwa:
1. Polisi kutumia bunduki ktk makampuni ya ulinzi.
2. Walimu watumie madarasa kuendeshea tuition.
3. Maderva wa serikali watumie magari yao kubeba abiria jioni.
n.k