Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mtu atumie resources za umma kwa maslahi yake binafsi??
Kaazi kweli kweli
Kwamba wana bahatishaMuda wowote,Chali!
Je ni sawa mahakama kuwa na jela?Biblos inasema "HAKIKA KUFA MTAKUFA" Na wala hatupaswi kukiogopa kifo.
Wagonjwa wanaugua hospitalini na kushindikana mwishowe hufa. Ulitaka baada ya kifo hospital ifanye nini ?! Kama siyo kumhifadhi marehemu akisubiri utaratibu wa mazishi !!. Kifo kipo na ni kinyume cha uhai. Na vyote vinaenda pamoja.
Ufafanuzi zaidi tafadhaliBado lile somo la kwamba mgonjwa ni nje
Ukiingia reception unakua mteja wetu haujalielewa? Unauliza la mortuary
Unlike BVM human medicine we don't eat our patients ndo mana kuna mortuary
Ila hospitali za wanyama hazina mortuary sababu mgonjwa akimshindwa daktari anachinjwa analiwa nyama
Patient cure is customer lostUfafanuzi zaidi tafadhali
InterestingPatient cure is customer lost
Ila usiwaambie watu
Wana laza wagonjwa sometimes, tunguli zinapigwa usiku kuchaWaganga wa kienyeji ni outpatient.. ni sawa na Polyclinic.. huwa hazina Mortuary