Umoja ni nguvu: Wapinzani nchi hii bila kuungana wasahau kushika Dola

Umoja ni nguvu: Wapinzani nchi hii bila kuungana wasahau kushika Dola

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
16,950
Reaction score
13,527
Friends and Enemies,

Sikio la kufa haliskii dawa,tumekuwa wahanga wa siasa za majukwaani na mihemko kwa muda mrefu sana nchi hii tena zenye manufaa makubwa sana sana kimaslahi kwa wanasiasa,

Japo kama nchi tunahitaji chama cha siasa kituongoze hatuna jins kuendelea na siasa.

Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasiasa wengi nchi hii ni wachumia tumbo,wachache Sana wenye uzalendo.

Hawa wapinzan tulionao hawataki kuambiwa ukweli kuwa umoja ni NGUVU, na bila kuungana wasahau kuiondoa CCM madarakani.

Ona wanachokifanya sasa hivi, badala ya kujikita katika kuungana na kutengeneza umoja wameanzisha harakati za kudai katiba mpya kwa makundi makundi, wanasahau kwanza kuungana na kudai hiyo katiba kwa umoja wao wameanza kudharauriana wenyewe kwa wenyewe, kwa style hiyo wataepuka vip hila za divide and rule?

Hawana misingi na mikakati thabiti, hawa ni waganga njaa tu.
 
Nimekaa kiti Cha mbele kabisa nasubiri comments

Sasa mkuu, bila kuungana wapinzan wa nchi hii wataweza vip kuidondosha CCM?

Mbowe ana miaka 17 yupo hatak kutoka.

Lipumba miaka zaid ya 17 yupo hataki kutoka.

Mbatia na wenzake hivyo hivyo,Mimi nakuambia hawa ni waganga Njaa tuh
 
Nani aungane na nini? Akina Shibuda waliokuwa wanamfungia TL kufanya kampeni waungane na nani tena? Acheni utani wenu huo.
Sasa mkuu, utawezaje kuiondoa CCM bila kuunganisha nguvu zenu?

Huo ndo ukweli, ndiyo maana wenzenu kama kina Mashinji, Wilbroad Slaa hawa wote walikuwa makatibu wakuu wa chama wamewakimbia kwenda CCM.

Mmoja kala UDC mwingine ni balozi, wanaganga njaa zao.

Wengine kama Nasari, Waitara, Msando, Lijualikali, Covid 19 wamechagua njia hiyo hiyo kuganja njaa, kwani hamuoni huu ukweli?

Hamna macho? Hamfikiriii? Je, hamna akiliiii?

Muambiwe vip Ili muelewe
 
Kuungana itakuwa ngumu kwa sababu kila mtu anaangalia maslahi ya tumbo lake na familia yake. Mwaka 2015 wapinzani walijaribu kujenga umoja na upinzani wa kweli na kuupa jina la ukawa.

Lakini baadae CCM kupitia kwa mwenyekiti wao na raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania wakati huo na nguli wa siasa za aina zote yan za majitaka na za kistaarabu, ikaja kuutibua umoja ule kwa kumpa mkakati mh Lowassa aende kule kugombea urais.

Kwa vile waligundua mwenyekiti wa chama kimoja kikuu cha upinzani wakati ule anatamaa ya pesa kama vile fisi aonapo mfupa, basi wakatumia udhaifu huo wa mwenyekiti wa chama hicho kikuu kufanikisha mpango wao kwa kumjaza vijiela vya uongo ili atumie ubavu na ushawishi wake kumpenyeza Lowasa kwenye nafasi ya uraisi ili kupata mwanya wa kuusambaratisha umoja ule.

Na kweli mbinu zile zilifanikiwa kwa malipo madogo tu waliyompa mwenyekiti huyo, na baada ya hapo kila mtu anajua kilichotokea. Baada ya mipango kukamilika na CCM kushinda, Lowasa akarudi kwa waliomtuma na mwenyekiti akabaki na akiba kidogo ya kile alichopewa.

Mechi kwisha. Hii ndo siasa bwanah!
 
Tatizo ni akina Mahera, TISS, Mutungi, Sirro. Tatizo ni katiba. Siyo vyama kutokuungana. Usiwe mjinga.

Hata wakiungana na vyama vya Kenya, Malawi, Uganda, Rwanda, bado haiwasaidii. Jamana Printers watatoa makaratasi ya ziada kwa ajili ya CCM kujiwekea tiki. Mahera atamtangaza CCM kashinda.
Sasa mkuu,utawezaje kuiondoa CCM bila kuunganisha nguvu zenu?

Huo ndo ukweli,ndiyo maana wenzenu kama kina Mashinji,wilbroad Slaa hawa wote walikuwa makatibu wakuu wa chama wamewakimbia kwenda ccm,

Mmoja kala UDC mwingine ni balozi,wanaganga Njaa zao,

Wengine kama Nasari,waitara,msando,lijualikali,Covid 19 wamechagua njia hiyo hiyo kuganja Njaa,Kwan hamuoni huu ukweli?

Hamna macho?hamfikiriii??je hamna akiliiii?

Muambiwe vip Ili muelewe
 
Katiba ya Sasa ilitungwa enzi za chama kimoja. Mambo yamebadilika Sasa. Waliopo madarakani wanaona katiba mpya itawabana ndo maana wanajibaraguza..
 
Friends and Enemies,

Sikio la kufa haliskii dawa,tumekuwa wahanga wa siasa za majukwaani na mihemko kwa muda mrefu Sana nchi hii Tena zenye manufaa makubwa sana sana kimaslahi kwa wanasiasa,

Japo kama nchi tunahitaji chama Cha siasa kituongoze hatuna jins kuendelea na siasa,

Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasiasa wengi nchi hii ni wachumia tumbo,wachache Sana wenye uzalendo ,

Hawa wapinzan tulionao hawataki kuambiwa ukweli kuwa umoja ni NGUVU,na bila kuungana wasahau kuiondoa CCM madarakan,

Ona wanachokifanya sasa hivi, badala ya kujikita katika kuungana na kutengeneza umoja wameanzisha harakati za kudai katiba mpya kwa makundi makundi, wanasahau kwanza kuungana na kudai hiyo katiba kwa umoja wao wameanza kudharauriana wenyewe kwa wenyewe,kwa style hiyo wataepuka vip hila za divide and rule?

Hawana misingi na mikakati thabiti, hawa ni waganga Njaa tuuh
Low reasoning observation, CDM won the 2020 election only that it was stolen by those in power.
 
Kuungana itakuwa ngumu kwa sababu kila mtu anaangalia maslahi ya tumbo lake na familia yake. Mwaka 2015 wapinzani walijaribu kujenga umoja na upinzani wa kweli na kuupa jina la ukawa.

Lakini baadae CCM kupitia kwa mwenyekiti wao na raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania wakati huo na nguli wa siasa za aina zote yan za majitaka na za kistaarabu, ikaja kuutibua umoja ule kwa kumpa mkakati mh Lowassa aende kule kugombea uraisi.

Kwa vile waligundua mwenyekiti wa chama kimoja kikuu cha upinzani wakati ule anatamaa ya pesa kama vile fisi aonapo mfupa, basi wakatumia udhaifu huo wa mwenyekiti wa chama hicho kikuu kufanikisha mpango wao kwa kumjaza vijiela vya uongo ili atumie ubavu na ushawishi wake kumpenyeza Lowasa kwenye nafasi ya uraisi ili kupata mwanya wa kuusambaratisha umoja ule.

Na kweli mbinu zile zilifanikiwa kwa malipo madogo tu waliyompa mwenyekiti huyo, na baada ya hapo kila mtu anajua kilichotokea. Baada ya mipango kukamilika na CCM kushinda, Lowasa akarudi kwa waliomtuma na mwenyekiti akabaki na akiba kidogo ya kile alichopewa.

Mechi kwisha. Hii ndo siasa bwanah!
Asante sana Mkuu,

So to say, hawa jamaa wanacheza na akili zetu au wanaganga Njaa zao?
 
Low reasoning observation, CDM won the 2020 election only that it was stolen by those in power.
How opposition won that election comrade?

Election it's true that was rigd off, but voters turn over was extremely very minimal, walishindaje?
 
Tatizo ni akina Mahera, TISS, Mutungi, Sirro Tatizo ni katiba. Siyo vyama kutokuungana. Usiwe mjinga.

Hata wakiungana na vyama vya Kenya, Malawi, Uganda, Rwanda, bado haiwasaidii. Jamana Printers watatoa makaratasi ya ziada kwa ajili ya CCM kujiwekea tiki. Mahera atamtangaza CCM kashinda.
I am telling you, bila kuungana ni kama mnatwanga maji kwenye kinu tu
 
Back
Top Bottom