THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
- Thread starter
-
- #81
Tunakujua una nongwa na cdm. Kipindi cha dhalimu ulitulia dhidi ya Cdm, kwakuwa ndio chama haswa yule mtu muovu alikuwa anadeal nacho. Kwa maneno marahisi ulifura wao kufanyiwa, hapo hata ww hakukupa furaha. Udini utakulostisha dogo.
..sheria ya vyama vya siasa imeweka masharti magumu sana kwa vyama vya siasa kuungana.
..nadhani unakumbuka jitihada zilizofanyika kuzuia ACT na CDM wasiungane, na wasifanye kampeni za pamoja, ktk uchaguzi wa 2020.
..pia naamini unafahamu kwamba Ukawa ilikuwa muungano wa vyama ambao ulikuwa hautambuliwi kisheria.
..zaidi umoja wa vyama vya siasa lengo lake kuu halitakiwi liwe kuiondoa CCM madarakani.
..Lengo la umoja linatakiwa liwe kuunganisha nguvu ktk kutetea maslahi ya wananchi ikiwemo haki zao za kiuchumi, kisiasa, na kijamii.
..Kwa sasa hivi inapendeza kuona vyama kadhaa vya siasa vinazungumzia KATIBA MPYA.
..Katika hili vyama vya siasa vinaweza kuratibu kampeni za pamoja kuwaelimisha wananchi kuhusu mapungufu ya katiba ya sasa hivi, na ubora wa katiba wanayopendekeza.
..Mwisho, sitashangaa kumuona Msajili wa vyama siasa akijitokeza kukemea na kukatisha tamaa juhudi zozote za vyama vya upinzani kufanya kazi pamoja. Na kukumbushia tu, Msajili wa vyama vya siasa, anateuliwa, na anawajibika kwa Raisi ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM.
Wapinzani unawaona wewe wako serious ni kina nani?
Mbatia mwaka jana anaenda Mbeya kuvuna wanchama wa CHADEMA, anapewa mpaka msafara wa polisi; ndio hao wa kuungana nao?
Zitto na chama chake pamoja na madhambi yote yaliyofanyika Zanzibar, leo wako serikali moja na Mwinyi; ndio hao wa kuungana nao?
Uujngane na Lipumba?Friends and Enemies,
Sikio la kufa haliskii dawa,tumekuwa wahanga wa siasa za majukwaani na mihemko kwa muda mrefu sana nchi hii tena zenye manufaa makubwa sana sana kimaslahi kwa wanasiasa,
Japo kama nchi tunahitaji chama cha siasa kituongoze hatuna jins kuendelea na siasa.
Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasiasa wengi nchi hii ni wachumia tumbo,wachache Sana wenye uzalendo.
Hawa wapinzan tulionao hawataki kuambiwa ukweli kuwa umoja ni NGUVU, na bila kuungana wasahau kuiondoa CCM madarakani.
Ona wanachokifanya sasa hivi, badala ya kujikita katika kuungana na kutengeneza umoja wameanzisha harakati za kudai katiba mpya kwa makundi makundi, wanasahau kwanza kuungana na kudai hiyo katiba kwa umoja wao wameanza kudharauriana wenyewe kwa wenyewe, kwa style hiyo wataepuka vip hila za divide and rule?
Hawana misingi na mikakati thabiti, hawa ni waganga njaa tu.
Kwa kuangalia issue ya wabunge wa viti maalum unapata jibu wangefanyaje.Chadema ingekuwa na position kama ya ACT wazalendo zanzibar,ingeunda serikali ya mseto au ingegoma??
Amechanganyikiwa na ugumu wa maishaAvatar ya mtoa mada inaonyesha ni mtu mwenye busara lakini anaandika utumbo!
Wewe umeunganisha nguvu? Why unadhani wapinzani pekee yao ndo wanapaswa waunganishe nguvu? Ungesema wananchi waunganishe nguvu. By the way CCM itatoka soon or later, kwa amani au kwa Shari.Sasa mkuu, utawezaje kuiondoa CCM bila kuunganisha nguvu zenu?
Huo ndo ukweli, ndiyo maana wenzenu kama kina Mashinji, Wilbroad Slaa hawa wote walikuwa makatibu wakuu wa chama wamewakimbia kwenda CCM.
Mmoja kala UDC mwingine ni balozi, wanaganga njaa zao.
Wengine kama Nasari, Waitara, Msando, Lijualikali, Covid 19 wamechagua njia hiyo hiyo kuganja njaa, kwani hamuoni huu ukweli?
Hamna macho? Hamfikiriii? Je, hamna akiliiii?
Muambiwe vip Ili muelewe
Kwani hoja ni kukataa kutoka ama kuungana?Sasa mkuu, bila kuungana wapinzan wa nchi hii wataweza vip kuidondosha CCM?
Mbowe ana miaka 17 yupo hatak kutoka.
Lipumba miaka zaid ya 17 yupo hataki kutoka.
Mbatia na wenzake hivyo hivyo,Mimi nakuambia hawa ni waganga Njaa tuh
Amechanganyikiwa na ugumu wa maisha
Lipumba, Zitto, Mrema, Shibuda ni wapinzani? labda Hashimu RungweNani aungane na nini? Akina Shibuda waliokuwa wanamfungia TL kufanya kampeni waungane na nani tena? Acheni utani wenu huo.
Ucjali mkuuHa ha ha,
Mkuu,unasema kwamba Nina njaa kali au?
Ha ha ha, nashukuru sana
Wewe umeunganisha nguvu? Why unadhani wapinzani pekee yao ndo wanapaswa waunganishe nguvu? Ungesema wananchi waunganishe nguvu. By the way CCM itatoka soon or later, kwa amani au kwa Shari.
Mkuu Joka Kuu,
Nimekusoma.
Unaungana na nani? ikiwa kwa mfano Chadema wanazunguka Nchi nzima kujenga Chama hao wengine wako twita wakisubiri teuzi watu wa hivyo unaungana nao ili iwejrFriends and Enemies,
Sikio la kufa haliskii dawa,tumekuwa wahanga wa siasa za majukwaani na mihemko kwa muda mrefu sana nchi hii tena zenye manufaa makubwa sana sana kimaslahi kwa wanasiasa,
Japo kama nchi tunahitaji chama cha siasa kituongoze hatuna jins kuendelea na siasa.
Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasiasa wengi nchi hii ni wachumia tumbo,wachache Sana wenye uzalendo.
Hawa wapinzan tulionao hawataki kuambiwa ukweli kuwa umoja ni NGUVU, na bila kuungana wasahau kuiondoa CCM madarakani.
Ona wanachokifanya sasa hivi, badala ya kujikita katika kuungana na kutengeneza umoja wameanzisha harakati za kudai katiba mpya kwa makundi makundi, wanasahau kwanza kuungana na kudai hiyo katiba kwa umoja wao wameanza kudharauriana wenyewe kwa wenyewe, kwa style hiyo wataepuka vip hila za divide and rule?
Hawana misingi na mikakati thabiti, hawa ni waganga njaa tu.
Sawa,lakin hao wengi walioenda kupokea teuzi ni kutoka kwenu,usisahau hiloUnaungana na nani? ikiwa kwa mfano Chadema wanazunguka Nchi nzima kujenga Chama hao wengine wako twita wakisubiri teuzi watu wa hivyo unaungana nao ili iwejr
Ukweli ni kuwa hata wakiungana wote hawawezi kuongoza nchi hii kwa mfumo wa kikatiba na kisheria uliopo. Huo ndiyo ukweli wenyewe na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Friends and Enemies,
Sikio la kufa haliskii dawa,tumekuwa wahanga wa siasa za majukwaani na mihemko kwa muda mrefu sana nchi hii tena zenye manufaa makubwa sana sana kimaslahi kwa wanasiasa,
Japo kama nchi tunahitaji chama cha siasa kituongoze hatuna jins kuendelea na siasa.
Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasiasa wengi nchi hii ni wachumia tumbo,wachache Sana wenye uzalendo.
Hawa wapinzan tulionao hawataki kuambiwa ukweli kuwa umoja ni NGUVU, na bila kuungana wasahau kuiondoa CCM madarakani.
Ona wanachokifanya sasa hivi, badala ya kujikita katika kuungana na kutengeneza umoja wameanzisha harakati za kudai katiba mpya kwa makundi makundi, wanasahau kwanza kuungana na kudai hiyo katiba kwa umoja wao wameanza kudharauriana wenyewe kwa wenyewe, kwa style hiyo wataepuka vip hila za divide and rule?
Hawana misingi na mikakati thabiti, hawa ni waganga njaa tu.
Friends and Enemies,
Sikio la kufa haliskii dawa,tumekuwa wahanga wa siasa za majukwaani na mihemko kwa muda mrefu sana nchi hii tena zenye manufaa makubwa sana sana kimaslahi kwa wanasiasa,
Japo kama nchi tunahitaji chama cha siasa kituongoze hatuna jins kuendelea na siasa.
Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasiasa wengi nchi hii ni wachumia tumbo,wachache Sana wenye uzalendo.
Hawa wapinzan tulionao hawataki kuambiwa ukweli kuwa umoja ni NGUVU, na bila kuungana wasahau kuiondoa CCM madarakani.
Ona wanachokifanya sasa hivi, badala ya kujikita katika kuungana na kutengeneza umoja wameanzisha harakati za kudai katiba mpya kwa makundi makundi, wanasahau kwanza kuungana na kudai hiyo katiba kwa umoja wao wameanza kudharauriana wenyewe kwa wenyewe, kwa style hiyo wataepuka vip hila za divide and rule?
Hawana misingi na mikakati thabiti, hawa ni waganga njaa tu.
Friends and Enemies,
Sikio la kufa haliskii dawa,tumekuwa wahanga wa siasa za majukwaani na mihemko kwa muda mrefu sana nchi hii tena zenye manufaa makubwa sana sana kimaslahi kwa wanasiasa,
Japo kama nchi tunahitaji chama cha siasa kituongoze hatuna jins kuendelea na siasa.
Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasiasa wengi nchi hii ni wachumia tumbo,wachache Sana wenye uzalendo.
Hawa wapinzan tulionao hawataki kuambiwa ukweli kuwa umoja ni NGUVU, na bila kuungana wasahau kuiondoa CCM madarakani.
Ona wanachokifanya sasa hivi, badala ya kujikita katika kuungana na kutengeneza umoja wameanzisha harakati za kudai katiba mpya kwa makundi makundi, wanasahau kwanza kuungana na kudai hiyo katiba kwa umoja wao wameanza kudharauriana wenyewe kwa wenyewe, kwa style hiyo wataepuka vip hila za divide and rule?
Hawana misingi na mikakati thabiti, hawa ni waganga njaa tu.
Unajichanganya Sana kudhani hapa unaongea na mwanaccm,
Mimi siyo mshamba wa kukaa nishabikie chama Cha siasa Cha aina yyte ile kama wewe,
Mimi kama nikitaka siasa lazima niingie ulingon na Nile manufaa ya hiyo siasa,na siyo niishie kufia zangu jela kama wewe mdude,au kumpotezwa kama Ben saa nane au alphonce mawazo,haya ni maisha na tunaish Mara MOJA tuh dunian hapa,
Usiwe fala ukachezeshwa ngoma usiyoijua na hawa ccm au chadema,
Jitambue