Umoja Party walikuja kuzima harakati halali

Umoja Party walikuja kuzima harakati halali

Ndio hivo Samia na Lissu wote hawampendi JPM na ndio watakaogombea so wewe endelea kupiga kelele Mitandaoni ila hamna utakachobadilisha
Kwa Imani, Mungu aweko mbele na nyuma yao na awape kibali na tunawaombea! Lakini usisahau pia hili! Mungu anamfahamu vizuri Raisi wetu 2025 na siyo wewe!

Jambo ambalo unapaswa ulijue kuhutuhusu!

Mimi ni Mimi na wewe ni wewe! Uwerevu na ujinga wako haunihusu Mimi, vilevile kwako
 
Natamani sana kije chama kitakachokiri na kufuata falsafa za JPM, kimuenzi katika harakati zake, kifanye siasa kama za Dr Mwinyi kule Zanzbar, mbona tutakielewa sana..
Wala hakutahitaji kuwa na viongozi wakali sana kama JPM, maana ile ilikuwa kazi maalum, wafanye tu km ananvyofanya Dr Mwinyi.. lakini kisifanye makosa ya kukaribisha vinasaba vya watu toka CCM ambao wameonyesha kuwa na chuki na JPM, wananchi wanawafahamu na hawataki kuwaona katika siasa.

Wananchi tuliowengi haturidhiki na namna viongozi wa siasa wanavyosajisahaulisha kulitaja jina la JPM kwa mazuri yake.
AU watuambie wazi bas iwapo katika misaada tunayopokea sasa ipo yenye masharti ya kuhakikisha jina la JPM halitajwitajwi km jina la kuenzi harakati zake kipindi cha utawala wake..
Mkuu siasa ndio zipo hivo, kipindi Cha JPM mlimtukana sana JK kuwa hakuna alilofanya.... Wakati wa JK Nako walimsakama Mkapa kwa ufisadi na ubinafsishaji. Hata Samia akitoka utaona watakavyoibua uozo wake.

So muache kulialia mkubaliane na uhalisia wa mambo. JPM ndio hivyo Tena
 
Twende taratibu..... Yaani mgombea akiwa lIssu alafu CCM akagombea Samia (maana fomu itaprintiwa Moja) je magufuli factor inaingiaje hapo??

Yaani mama akimtolea povu mwendazake na Lissu akimtolea povu mwendazake nani atakaye anguka kwa kumpuuza JPM?!

Tuanzie hapo.
Wote wataanguka hao na hautaamini, labda katiba mpya isipatikane, yaani ni hivii hawapendwi.
 
Kwa Imani, Mungu aweko mbele na nyuma yao na awape kibali na tunawaombea! Lakini usisahau pia hili! Mungu anamfahamu vizuri Raisi wetu 2025 na siyo wewe!

Jambo ambalo unapaswa ulijue kuhutuhusu!

Mimi ni Mimi na wewe ni wewe! Uwerevu na ujinga wako haunihusu Mimi, vilevile kwako
Mnamuingiza Mungu wa Nini kwenye uhuni wenu wa kuiba kura? 2025 mgombea ni Samia maana huko kwenu hakuna anayeruhusiwa kuchukua fomu so msijitie moyo kabisa kuwa Kuna mabadiliko. Shibuda alitimuliwa kwa kutaka fomu 2010, membe kafukuzwa kwa kutaka fomu 2020 ndio muujiza Gani utafanyika 2025 ilihali mpaka siku ya uchaguzi Bado ni amiri jeshi mkuu na Mwenyekiti?
 
Mkuu siasa ndio zipo hivo, kipindi Cha JPM mlimtukana sana JK kuwa hakuna alilofanya.... Wakati wa JK Nako walimsakama Mkapa kwa ufisadi na ubinafsishaji. Hata Samia akitoka utaona watakavyoibua uozo wake.

So muache kulialia mkubaliane na uhalisia wa mambo. JPM ndio hivyo Tena
Kulialia ndo kunafanana na kule kusema kwamba, Mimi na wewe ni watu 2 tofauti? Ijapokuwa sote ni binadamu

Wewe huwezi kuwa Mimi na Mimi siwezi kuwa wewe! Usinilazimishe nione kama unavyoona wewe!

Narudia tena! JPM kwangu mimi ndiye raisi bora aliyewahi kutokea Tanzania! Na huu msimamo hauondolewi kwa peremende na au asali yoyote na hata kwa kejeli zozote mitandaoni

Ni ujinga mtu aanze kuona wenye msimamo kama huu wangu eti wamepotoka! Upotovu huohuo, unakuwa sehemu ya waliokinyume na mtazamo huu
 
Mnamuingiza Mungu wa Nini kwenye uhuni wenu wa kuiba kura? 2025 mgombea ni Samia maana huko kwenu hakuna anayeruhusiwa kuchukua fomu so msijitie moyo kabisa kuwa Kuna mabadiliko. Shibuda alitimuliwa kwa kutaka fomu 2010, membe kafukuzwa kwa kutaka fomu 2020 ndio muujiza Gani utafanyika 2025 ilihali mpaka siku ya uchaguzi Bado ni amiri jeshi mkuu na Mwenyekiti?
Fikira zako zidumu ijapokuwa unaakili nzito!

Nimesema! Kumtaja na ama kusema 2025 atakuwa Samia tena, ni sawa kwa kuwa ni namba! Lakini mwenye kujua hili na kulithibitisha ni Mwenye kuiona hiyo 2025, Tunawaombea uhai na afya kwa wote wenye nia hiyo,

Lakini ibaki kusema kuwa, 2025 Mungu anamjua Rais wetu
 
Kulialia ndo kunafanana na kule kusema kwamba, Mimi na wewe ni watu 2 tofauti? Ijapokuwa sote ni binadamu

Wewe huwezi kuwa Mimi na Mimi siwezi kuwa wewe! Usinilazimishe nione kama unavyoona wewe!

Narudia tena! JPM kwangu mimi ndiye raisi bora aliyewahi kutokea Tanzania! Na huu msimamo hauondolewi kwa peremende na au asali yoyote na hata kwa kejeli zozote mitandaoni

Ni ujinga mtu aanze kuona wenye msimamo kama huu wangu eti wamepotoka! Upotovu huohuo, unakuwa sehemu ya waliokinyume na mtazamo huu
Wala hakuna aliyekulazimisha ila nimekueleza ukweli tu kwamba hata Samia akitoka atatukanwa zaidi ya JPM na hizo ndio siasa zetu. So usianze kulialia wakati mlishangilia kipindi JPM anatumbua majipu huku matusi juu kwa JK
 
Fikira zako zidumu ijapokuwa unaakili nzito!

Nimesema! Kumtaja na ama kusema 2025 atakuwa Samia tena, ni sawa kwa kuwa ni namba! Lakini mwenye kujua hili na kulithibitisha ni Mwenye kuiona hiyo 2025, Tunawaombea uhai na afya kwa wote wenye nia hiyo,

Lakini ibaki kusema kuwa, 2025 Mungu anamjua Rais wetu
Kwamba watakufa Marais wawili madarakani? Mnajidanganya..... Mgombea ni Samia you can take it to the bank. So kazi kwako umchague fisadi au Chadema hutaki hama nchi
 
Wala hakuna aliyekulazimisha ila nimekueleza ukweli tu kwamba hata Samia akitoka atatukanwa zaidi ya JPM na hizo ndio siasa zetu. So usianze kulialia wakati mlishangilia kipindi JPM anatumbua majipu huku matusi juu kwa JK
Matusi uliyomtukana JPM ndo yako wapi eti!
 
Kwamba watakufa Marais wawili madarakani? Mnajidanganya..... Mgombea ni Samia you can take it to the bank. So kazi kwako umchague fisadi au Chadema hutaki hama nchi
Kwa ulichochangia hapa! Nimegundua kwamba, unasumbuliwa na age!
 
Muda ukifika utajua
Mbowe Jana kazungumza kwamba vyama vimebaki viwili tu, yaani kampongeza JPM kwa "kusaidia" kufuta vyama uchwara!!

Kama unadhani ACT au Umoja kitaweza itisha CCM basi unajidanganya. Membe yukwapi?
 
Kwa ulichochangia hapa! Nimegundua kwamba, unasumbuliwa na age!
Yeap I'm young but I'm not stupid.... Watu walipotaka fomu 2020 mliwashambulia kumbe hamkujua Mme set precedence mbaya. Sasa 2025 fomu itachukuliwa Moja kma JPM na mkipinga yatawakuta ya Mpina!!
 
Yeap I'm young but I'm not stupid.... Watu walipotaka fomu 2020 mliwashambulia kumbe hamkujua Mme set precedence mbaya. Sasa 2025 fomu itachukuliwa Moja kma JPM na mkipinga yatawakuta ya Mpina!!
Yeap I'm young but I'm not stupid.... Watu walipotaka fomu 2020 mliwashambulia kumbe hamkujua Mme set precedence mbaya. Sasa 2025 fomu itachukuliwa Moja kma JPM na mkipinga yatawakuta ya Mpina!!
Tatizo akili yako inaona kile haipaswi ikiaminj
 
Hujaelewa alichosema jamaa. Amesema nchi ilikuwa kama bwawa lililojaa viumbe vya kila aina na kila kimoja kiliishi kwa staili yake.

Mbowe alijua sheria za mazingira lakini alikiuka makusudi kwa kuendeleza mashamba mita chache kutoka chanzo cha maji kwa kuwa aliamini yupo juu ya sheria na hakuna watakaomgusa. Uamuzi wa kuharibu mashamba utaokoa vizazi na vizazi. Juzi hapa ukame ulipozidi tuliona watu wanatafuta wachawi wanaolima mashamba makubwa kwenye vyanzo vya maji.

Suala la Lissu la kulobby na watu waliokuwa na mgogoro na serikali kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo halikubaliki popote duniani. Lissu ye aliamini anapambana na Magufuli, wakati Magufuli ye alikuwa anapambana kwa ajili ya taifa lake. Suala la Lissu libaki hivyo hivyo. Lissu anachopaswa kufahamu ni kuwa kuna haki na sheria ila dunia nayo ina kanuni zake.
Kata mzizi wa fitina...!.Kama kuna ushahidi kwamba Lissu alikuwa analobby na hao watu wasiolitakia mema Taifa letu tupe sisi tulio gizani...!

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Hujaelewa alichosema jamaa. Amesema nchi ilikuwa kama bwawa lililojaa viumbe vya kila aina na kila kimoja kiliishi kwa staili yake.

Mbowe alijua sheria za mazingira lakini alikiuka makusudi kwa kuendeleza mashamba mita chache kutoka chanzo cha maji kwa kuwa aliamini yupo juu ya sheria na hakuna watakaomgusa. Uamuzi wa kuharibu mashamba utaokoa vizazi na vizazi. Juzi hapa ukame ulipozidi tuliona watu wanatafuta wachawi wanaolima mashamba makubwa kwenye vyanzo vya maji.

Suala la Lissu la kulobby na watu waliokuwa na mgogoro na serikali kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo halikubaliki popote duniani. Lissu ye aliamini anapambana na Magufuli, wakati Magufuli ye alikuwa anapambana kwa ajili ya taifa lake. Suala la Lissu libaki hivyo hivyo. Lissu anachopaswa kufahamu ni kuwa kuna haki na sheria ila dunia nayo ina kanuni zake.
We jamaa ni kilaza kweli!! Kwahiyo Lissu aliye lobby ndio alistahili kifo ila Mwanyika aliyeisababishia serikali hasara ya zaidi ya Trillion 300 ndio ana haki sio tu ya kuishi ila akapewa na ubunge kabisa!!

Ila hii nchi Kuna watu sijui mna akili za wapi. Ufisadi wafanye CCM lawama kwa Lissu? Mna matatizo ya akili sio kidogo
 
Kuna mantiki inapotoshwa kuhusu Chadema na kulamba asali, hasa nichukulie mfano wa viongozi wakuu wawili wa chama hicho, Lissu, na Mbowe.

Nikianza na Mbowe, huyu tunatambua fika madhila yote aliyofanyiwa wakati wa JPM, kuanzia wakati ule DC wa Hai akiwa Mnyeti, huyu alihakikisha anaharibu mashamba ya Mbowe kwa namna alivyopenda, ajabu JPM akampa Ukuu wa Mkoa kama zawadi kwa kazi aliyofanya.

Akaja DC Sabaya, huyu nae alifanya uharibu kwa asset za Mbowe kwa makusudi, tena kinyume cha sheria, alivamia hoteli ya Mbowe usiku akiwa na silaha, akaharibu mashamba yake kwa visingizio tofauti, inawezekana huyu nae alikuwa anakaribia kupewa zawadi ya Ukuu wa Mkoa, kama sio Mungu "kuingilia kati".

Kuonesha Magufuli alivyokuwa na hasira na chuki kwa Mbowe, hata asset zake nje ya Kilimanjaro kama Club Billicanas hazikuachwa salama..

Tukija kwa Lissu, lile shambulio dhidi yake, risasi zaidi ya kumi na sita, lililomuacha na kilema cha maisha ni mfano tosha, hawa watu wanastahili kufidiwa kwa maumivu waliyosababishiwa na utawala uliopita, na wakifanyiwa hivyo, huko sio kulambishwa asali kama wengi mnavyodai, wale wamepewa haki zao, huu ndio uhalisia wa mambo.
Unajua kujenga hoja ila likija suala la Lissu na Mbowe au Chadema sijui kwanini unajitoa ufahamu hapa ndipo unanishangaza
 
Hujaelewa alichosema jamaa. Amesema nchi ilikuwa kama bwawa lililojaa viumbe vya kila aina na kila kimoja kiliishi kwa staili yake.

Mbowe alijua sheria za mazingira lakini alikiuka makusudi kwa kuendeleza mashamba mita chache kutoka chanzo cha maji kwa kuwa aliamini yupo juu ya sheria na hakuna watakaomgusa. Uamuzi wa kuharibu mashamba utaokoa vizazi na vizazi. Juzi hapa ukame ulipozidi tuliona watu wanatafuta wachawi wanaolima mashamba makubwa kwenye vyanzo vya maji.

Suala la Lissu la kulobby na watu waliokuwa na mgogoro na serikali kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo halikubaliki popote duniani. Lissu ye aliamini anapambana na Magufuli, wakati Magufuli ye alikuwa anapambana kwa ajili ya taifa lake. Suala la Lissu libaki hivyo hivyo. Lissu anachopaswa kufahamu ni kuwa kuna haki na sheria ila dunia nayo ina kanuni zake.
Shida tumejaa UNAFKI. Ni nchi gani mtu aina ya Lisu anaweza fanya upuuz aliokua anafanya kipindi cha Makinikia na akabaki salama?Tumejaa SIASA uchwara kiasi kutoona Lisu ni msaliti.
 
Back
Top Bottom