Umoja wa Mataifa Nchini watoa tahadhari kuja kwa Tundu Lissu

Umoja wa Mataifa Nchini watoa tahadhari kuja kwa Tundu Lissu

Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Duh kumpiga risasi mumpige, na bado mnamdhihaki... Aisee Hamna moyo nyie
 
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Futa kauli yako kijana...kama hufuti basi nakuambia mwaka hauishi wewe ndiyo utakuwa kiwete!!

Ulimi huumba... na mwana kuli findi....
 
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Sawa wewe mwenye uhakika wa kuishi. Hicho ni kiburi cha uzima ndugu. Nachoweza kukukumbusha cha uhakika ni kuwa hata wewe dk 10 zijazo huna uhakika wa kuwa hai ama hata wa afya uliyonayo sasa
 
Ila huyu Lissu bwana sijui alizariwaje lakini utakuta hata waliotumwa kuzuia mapokezi yake nao wameenda kumpokea
 
Una roho nyeusi kama shetani..
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
 
tupo hapa viunga vya Lumumba tangu saa 11 alfajiri.
jana tulidhani ni geresha za mitandaoni tu lakini tulivosikia Lissu yupo Addis yaani watu ni jambajamba tu hapa. hatuamini macho wala masikio yetu wenyewe yaani.

namcheki hapa Chaku macho yamekwiva kama amekula ngada vile!
 
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Kiwete baba yako lepwelepwe wewe ni mtoto wa kusingiziwa mama yako alicheza “rafu “ na jirani yenu pumbavu
 
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Kuna sababu gani ya kutumia lugha mbaya kama hii?
 
Back
Top Bottom