Umoja wa Mataifa Nchini watoa tahadhari kuja kwa Tundu Lissu

Umoja wa Mataifa Nchini watoa tahadhari kuja kwa Tundu Lissu

Una roho nyeusi kama shetani..
wala.sikuandika.kwa nia au roho mbaya, ila ndio ukweli. Tatizo wengi wenu ni wazito kufikir. Hujiulizi kwanini serikali imeweka pingamizi la wadhamini wake kujitoa? unahisi nini.? wamefanya hivyo ili kusitokee vurugu wakati wa kumkamata hapo airport au nyumbani kwake. Ila wana uhakika kuwa ataenda kusikiliza kesi zake, hapo ndipo watakapo muweka ndani na kumnyima dhamana kwa kisingizio kuwa alikimbia dhamana.
Jaribuni kufikiri nje ya box jamani.
 
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Kiwete ni akili zako mkuu,
Ukiwete si wa miguu
Ukiwete ni wa akili kama zako.
Akili zako zinahitaji usaidizi wa Magongo ili ziweze kujuwa choo kiko wapi na tundu la kuwekea haja iko wapi.
CCM inawafanya watu waikiri kama wewe ,
Akili Kiwete
 
tupo hapa viunga vya Lumumba tangu saa 11 alfajiri.
jana tulidhani ni geresha za mitandaoni tu lakini tulivosikia Lissu yupo Addis yaani watu ni jambajamba tu hapa. hatuamini macho wala masikio yetu wenyewe yaani.

namcheki hapa Chaku macho yamekwiva kama amekula ngada vile!
Na baba ubaya naye yukoje mida hii?
 
wala.sikuandika.kwa nia au roho mbaya, ila ndio ukweli. Tatizo wengi wenu ni wazito kufikir. Hujiulizi kwanini serikali imeweka pingamizi la wadhamini wake kujitoa? unahisi nini.? wamefanya hivyo ili kusitokee vurugu wakati wa kumkamata hapo airport au nyumbani kwake. Ila wana uhakika kuwa ataenda kusikiliza kesi zake, hapo ndipo watakapo muweka ndani na kumnyima dhamana kwa kisingizio kuwa alikimbia dhamana.
Jaribuni kufikiri nje ya box jamani.
Wacha ujuha alikimbia lini kesi? Nguruwe wa Lumumba mbona mko hivyo?
JamiiForums-1364449287~2.jpg
 
Wacha ujuha alikimbia lini kesi? Nguruwe wa Lumumba mbona mko hivyo?View attachment 1518480
Haina haja ya matusi kaka, mbona mimi sijakutukana, kama umeshindwa kujadiliana na mtu ni bora ukae kimya coz si kila kinachoandikwa kitakufurahisha na tuna akili na maoni tofauti so kubari kutokubariana.
Nimeandika amekimbia kesi sababu ya wadhamini kutaka kujitoa wao wakisema jamaa ameshapona ila hataki kurudi. Na yeye mwenyewe alithibitisha hilo kwa kusema kuwa maisha yake yapo hatarini akirudi so anahitaji kuhakikishiwa ulinzi na usalama wake. Kwa lugha nyepesi amekimbia hata kufikia wadhamini kuomba kujitoa. Sasa kosa lipo wapi hapo? au kichwa chako kinashindwa kuchanganua mambo? Na ndio maana niliandika kuhusu kukamatwa na sio ugonjwa wake, coz wengi wenu akili zenu fupi mnahisi tundu atakamatwa airport. Serikali inajua kabisa ikifanya itakuwa imefanya kosa kubwa sababu hakuna kibari cha mahakama cha kukamatwa kwake. Njia pekee ya kumshika ni katika kesi zake tu kwa kumfutia dhamana. Think deep kichwa chwa panzi wewe.
 
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Kwama LISSU ni kiwete hakika ni vile tu huna mpododo ungekuwa nawo ningekupeleka kwa mpalange
 
Kiwete ni akili zako mkuu,
Ukiwete si wa miguu
Ukiwete ni wa akili kama zako.
Akili zako zinahitaji usaidizi wa Magongo ili ziweze kujuwa choo kiko wapi na tundu la kuwekea haja iko wapi.
CCM inawafanya watu waikiri kama wewe ,
Akili Kiwete
Kiwete ni utopolo uliko kwenye kichwa chako coz unafikiri small. Unahisi tundu leo atakamatwa, imekula kwenu coz serikali hawana kibari cha mahakama cha kumkamata so wanasubiri kumfutia dhamani kwa sababu ya kukimbia kesi. So maandalizi yenu ya fujo jamaa wameyajua na kuyaepuka, wana msubiri mahakamani tu.
 
Haina haja ya matusi kaka, mbona mimi sijakutukana, kama umeshindwa kujadiliana na mtu ni bora ukae kimya coz si kila kinachoandikwa kitakufurahisha na tuna akili na maoni tofauti so kubari kutokubariana.
Nimeandika amekimbia kesi sababu ya wadhamini kutaka kujitoa wao wakisema jamaa ameshapona ila hataki kurudi. Na yeye mwenyewe alithibitisha hilo kwa kusema kuwa maisha yake yapo hatarini akirudi so anahitaji kuhakikishiwa ulinzi na usalama wake. Kwa lugha nyepesi amekimbia hata kufikia wadhamini kuomba kujitoa. Sasa kosa lipo wapi hapo? au kichwa chako kinashindwa kuchanganua mambo? Na ndio maana niliandika kuhusu kukamatwa na sio ugonjwa wake, coz wengi wenu akili zenu fupi mnahisi tundu atakamatwa airport. Serikali inajua kabisa ikifanya itakuwa imefanya kosa kubwa sababu hakuna kibari cha mahakama cha kukamatwa kwake. Njia pekee ya kumshika ni katika kesi zake tu kwa kumfutia dhamana. Think deep kichwa chwa panzi wewe.
Wewe utakuwa mgeni huko Lumumba mbona akina kibajaji na kitoyota ambao mnawaheshimu sana ndo wana midomo michafu utadhani choo cha soko la Tandale?
 
Kwa kweli mimi naomba wamkamate ili waingie kwenye mtego wa kumeza ndoana kichwa kichwa. Waingereza wanasem to "swaloow line, hook and sinker"!!

Una semaje wewe mbuzi pori unamdharau kamanda unasema kiwete uwongozi umekaa kimya na sisi tukijibu kwa dharau kama hizo na mwenyekiti wako tukamletea dharau basi uwongozi nao ukae kimya wasitafungie
 
Kwama LISSU ni kiwete hakika ni vile tu huna mpododo ungekuwa nawo ningekupeleka kwa mpalange

Si kukosea kusema hivyo coz jamaa ni mlemavu na hilo sio tusi.
  1. bubu : ( dumb, mute )
    mtu asiyeweza kuongea
  2. chongo :
    mtu mwenye jicho moja
  3. gumba :
    mwenye nundu mgongoni
  4. kibogoyo :
    mtu asiye na meno
  5. kigugumizi :
    mtu mwenye shida ya kutamka maneno
  6. kilema :
    mtu aliyelemaa miguu na mikono - asiyeweza kutembea wala kushika chochote
  7. kipofu : ( blind )
    mtu asiyeweza kuona.
  8. kiwete :
    mtu aliyelemaa miguu. asiyeweza kutembea
  9. kiziwi : ( deaf )
    mtu asiyeweza kusikia.
  10. matege :
    mwenye miguu iliyopinda
  11. punguani :
    mtu asiyekuwa na akili timamu
 
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Hujafa hujaumbika
 
Kiwete ni utopolo uliko kwenye kichwa chako coz unafikiri small. Unahisi tundu leo atakamatwa, imekula kwenu coz serikali hawana kibari cha mahakama cha kumkamata so wanasubiri kumfutia dhamani kwa sababu ya kukimbia kesi. So maandalizi yenu ya fujo jamaa wameyajua na kuyaepuka, wana msubiri mahakamani tu.
hivi unaakili kweli toka lini lissu akakimbia kesi? hata mkienda wanachama wote nchi nzima hamuwezi kumshinda lissu mahakamani sasa akimbie nini?
 
Wewe utakuwa mgeni huko Lumumba mbona akina kibajaji na kitoyota ambao mnawaheshimu sana ndo wana midomo michafu utadhani choo cha soko la Tandale?
hao ni wao sio mimi. Na si kila anaye jadili kitu hapa akiwa opposite na mawazo yako si ccm au cdm. Sinaga akili za kushikiwa kama wafuasi wengi wa vyama vyenu vya ccm, cuf, cdm act, nk. Nafikiri kwa akili zangu. Nimekupa maoni yangu kwa jinsi ninavyoona mimi. Wengi hamjiulizi kwa nini serikali imeweka pingamizi la wadhamini wa lisu kujitoa? hawataki kuingia kwenye mtego wa vurugu mkuu. Wanataka wamuweke ndani kwa sheria tena kwa kumnyima dhamana kitu ambacho cdm hawawezi kukasirika ila watakwenda kisheria na ndio muda unaporushwa hadi uchaguzi unaisha. Nyie mbona mnashindwa kufikiri jamani?
 
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Embu kaa kimya kwanza hujui lolote.
 
hivi unaakili kweli toka lini lissu akakimbia kesi? hata mkienda wanachama wote nchi nzima hamuwezi kumshinda lissu mahakamani sasa akimbie nini?
Kama hajakimbia kwanini wadhamini wake wanataka serikali imkamate na wao kujitoa?
Usiandike kwa ushabiki, fuatilia vitu vilivyo.
Haya wewe mwenye akili niambie kwanini wadhamini wanataka kukitoa na kuiomba serikali imkamate?
Hakuna asiyejua lilomkuta Lisu na silishabikii kama binadamu. Ila baada ya kumaliza matibabu hakurudi kuendelea na kesi zake, ndio tafsiri ya kukimbia kesi inapokuja.
 
Kama hajakimbia kwanini wadhamini wake wanataka serikali imkamate na wao kujitoa?
Usiandike kwa ushabiki, fuatilia vitu vilivyo.
Haya wewe mwenye akili niambie kwanini wadhamini wanataka kukitoa na kuiomba serikali imkamate?
Hakuna asiyejua lilomkuta Lisu na silishabikii kama binadamu. Ila baada ya kumaliza matibabu hakurudi kuendelea na kesi zake, ndio tafsiri ya kukimbia kesi inapokuja.
Mlivyodhania sio ilivyokuwa Mungu ni WA wote na mwisho WA maji ni tope.
 
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Hahahha... Mabwana zake Lisu watakuwa wamepata aibu kuona democrasia iliyotamalaki!

Kwanza Lisu sasa hivi ni Teath less dog hakuna mtu atahanagaika nae,!

Watu wapo wanapanga mikakati ya ushindi wa kwenye box la kura siyo huo wa kukimbizana hapo Airport.

Na hapo ccm imeshawapiga bao tayari maana hakuna tena cha kuongelea zaidi ya dunia kuona democrasia iliyotawala wakati wa kuwasili kwa Lisu!

Ukiwa na akili lazima ujue ni kula na kipofu kwamba hutakiwa kumshika mkono.
. Simple like that yani.. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Wewe ni mfu kama yalivyo mawazo yako
 
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Mambo mengine unaweza ukashabikia lakini si ukiwete na umauti,wanasema hujafa hujaumbika na hakuna haijuaye kesho.
 
Back
Top Bottom