Ashasembeko
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 225
- 910
- Thread starter
-
- #21
Duh kumpiga risasi mumpige, na bado mnamdhihaki... Aisee Hamna moyo nyieWatu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Upo sahihiHakuna shida kumpokea mtanzania mwenzetu shida ipo kumpokea mwanachadema, mbona Mwinyi alipokelewa kwa kishindo.
Ujinga gani?Akamatwe tu! Ujinga alioufanya ndo mwisho wake
Alisikika mlevi mmojaOktoba itakuwa mwisho wa CCM iwe mvua iwe jua
Futa kauli yako kijana...kama hufuti basi nakuambia mwaka hauishi wewe ndiyo utakuwa kiwete!!Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Nani huyoJamaa ndo basi tena, Urais atausikia kwenye TV tu
Sawa wewe mwenye uhakika wa kuishi. Hicho ni kiburi cha uzima ndugu. Nachoweza kukukumbusha cha uhakika ni kuwa hata wewe dk 10 zijazo huna uhakika wa kuwa hai ama hata wa afya uliyonayo sasaWatu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
@mod1 hizi comment msije sema hatukuwaambia...Kiwete in mamako na mwenyekit wako anaenzika lofa
so, what? msituharibie siku aisee, mkasubilie huko kwenu
Kwao ni hapa - Tanzaniaso, what? msituharibie siku aisee, mkasubilie huko kwenu
Jamaa ndo basi tena, Urais atausikia kwenye TV tu
Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Kwao ni hapa - Tanzania
tupo hapa viunga vya Lumumba tangu saa 11 alfajiri.
Kiwete baba yako lepwelepwe wewe ni mtoto wa kusingiziwa mama yako alicheza “rafu “ na jirani yenu pumbavuWatu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Kuna sababu gani ya kutumia lugha mbaya kama hii?Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati.
Si Tundu wa dereva atakae kamatwa leo, Lisu atakatwa siku ya kesi yake, ambapo wadhamini watajitoa, na sababu ameruka dhamana, ndio itakuwa point ya kumuweka ndani kiulaini hadi uchaguzi upite. Serikali wala haina haraka na kiwete huyo. So acheni kujisumbua.
Jamaa ndo basi tena, Urais atausikia kwenye TV tu