Umoja wa Ulaya (EU) walaani tukio la kushambuliwa Mbowe jijini Dodoma

Ipo siku Tanzania tutakuwa kama china.tutaacha kupangiwa cha kufanya na hawa vilopolopo.yani kama kwao hawana matatizo vile.proud to be JPM and Tanzania
 
EU hawa hawa naowajua?,,jamaa wajinga sana,,,bora angesema ji ping au putin,,
Wazungu sio wa kuamini,,ni wachochezi
 
Kwani huyu kashambuliwa au kaanguka kwenye ngazi baada kupiga moja mbili nadhani EU wangefanya uchunguzi kabla kutoa haya matamshi.
 
Nawaona maccm yanafurushwa kutoka madarakani
 
Sikio la kufa halina ubani
 
Hiyo inaitwa jino kwa meno
 
Nimefurahi
 
Mwisho wenu umetimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…