Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Aiseee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho ndio kinachofuataWawanyime mikopo na misaada na kuwawekea vikwazo wao na familia zao.
Kesho utawasikia EU wametoa msaada na kupongeza juhudi za jpm.Mtanyooshwa dadeekiii
Unaamnisha Mbowe karithi hiyo tabia?Hizo ndiyo akili zenu mnazo fundishwa lumumba? Like son like father!
Mabeberu wanaanzia mbali sana,mwamba kashambuliwa kwenye starehe zake wanaanza ' is an attack against democracy' upumbavu mtupuEU WALAANI KUSHAMBULIWA KWA FREEMAN MBOWE
Viongozi wa Jumuiya ya Ulaya nchini Tanzania watoa kauli ya Pamoja juu ya shambulio dhidi ya Freeman Mbowe "Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa upinzani katika Bunge la Tanzania Freeman Aikaeli Mbowe,
=======
Joint Statement by the European Union Heads of Mission in Tanzania on the attack against Mr Freeman Mbowe, national Chairman of CHADEMA and leader of the opposition in the Tanzanian Parliament.
“Mr Freeman Mbowe, national Chairman of CHADEMA and leader of the opposition in the Tanzanian Parliament, was attacked by unknown assailants on Tuesday 9 June while returning home in Dodoma. Mr Mbowe suffered several injuries and is receiving treatment at the hospital.
The European Union Heads of Mission in Tanzania express their sympathy to Mr. Freeman Mbowe and wish him a speedy recovery.
Every attack against a representative of the institutions of the United Republic of Tanzania, whatever his/her political affiliation, is an attack against democracy. With general elections only a few months ahead of us it is essential to let democracy take its course and ensure all conditions to full participation in credible and transparent elections.
The European Union Heads of Mission trust that the authorities will successfully investigate and bring the perpetrators to justice.”
Joint Statement by the European Union Heads of Mission in Tanzania on the attack against Hon. Freeman Mbowe
I doubt whether full and satisfying investigation will be carried out. The investigating authority have their own findings in the pockets. They have already indicated that the attack is not politically motivated. Let us wait to see while keeping our fingers crossed.The European Union Heads of Mission trust that the authorities will successfully investigate and bring the perpetrators to justice.”
Hapa kama vile pamenikonga moyo
You are not serious. This is a joke. It is a complacent argument and biased observation.Penye ukweli uongo hujitenga. Ni hapo ukweli wa shambulio la Mbowe saa 7 ya usiku, kuamkia leo, utapotolewa, ndipo na la Lissu kuwa bayana. Baada ya tukio la Mbowe, taarifa za viongozi wake, kwa umma, zikawa za kisiasa, kumbe nyuma yake kuna ukweli tofauti - ulevi na ulijari. Subira yavuta heri.
You are also not serious for considering an observation biased and the argument complacent when circumstances of the incedence raises questions from what is reported by his "viongozi", who want the public to believe that he was attacked because of political motives!!!You are not serious. This is a joke. It is a complacent argument and biased observation.