Ukraine 🇺🇦 imeivamia Russia 🇷🇺!,anyway siwezi bishana nawe kuhusu hili, nchi yangu inakabiliwa zaidi na maadui UJINGA, UMASIKINI, MARADHI na cousin wao Rushwa, na mpaka wangu na Mozambique ninataka kuusafisha once for all
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukraine 🇺🇦 imeivamia Russia 🇷🇺!,anyway siwezi bishana nawe kuhusu hili, nchi yangu inakabiliwa zaidi na maadui UJINGA, UMASIKINI, MARADHI na cousin wao Rushwa, na mpaka wangu na Mozambique ninataka kuusafisha once for all
BEI BEI ???!Yes mkuu ila unapoambiwa kitu nawe fanya utafiti maana any story ina two sides, soma hii Mozambique imeshapeleka meli moja Europe ikiwa na LNG, na sasa inajaza ya pili, Ukraine pamoja ipo vitani bado inategemewa kwa kutoa msaada wa chakula!,Tanzania ipo peace bado tunaagiza ngano kutoka Ukraine
I tried kukusoma zaidi ya 10× to understood ulikua una maanisha nini,nimeshindwa but it's ok shame on me!BEI BEI ???!
Kwanza acheni kuvitaja vinchi vyenu vya hovyo.. Hata kama tunasema Ukraine ni mdogo sana kwa Russia lakin kuvitaja vinchi vyenu kubalance hali ya Ukraine ni kuikosea heahima ukraine.
Ukraine alikuwa nazalisha Gigawatts za umeme ukalinganisha na kanchi kanakozalisha MW 200 ni kuiosea adabu Ukrainia.. Tutafute mfano mwingine!!...
Hata kama Zele ni comedian hafai kulinganishwa akili na kina Kagame cjui...
Twendeni kimataifa zaidi
Ha ha ha haaa..I tried kukusoma zaidi ya 10× to understood ulikua una maanisha nini,nimeshindwa but it's ok shame on me!
Kwahiyo ukweli ni kwamba Urusi ipo Kyiv na Zelensky yupo Manzese sio?Hata zile taarifa za Ukrain kurudisha baadhi ya maeneo ni uongo basi
Punguza kasiriko...Kwahiyo ukweli ni kwamba Urusi ipo Kyiv na Zelensky yupo Manzese sio?