kila profesa anakuwa profesa wa tasnia fulani au kozi fulani, hata ulaya na kwengine wapo maprofesa wengi tu hawawezi kustahimili maswali mbele ya mahakama, mahakamani ni sehemu nyengine kabisa. tuulize sisi tunaoshinda huko. hata anayejua kujieleza sana mtaani huku akiwa pale anaweza kubabaika sio kwasababu hajui ila kwasababu ya hofu. kitu kingine, kwenye kutetea mikataba ya nchi, kuna mengi sana, ni kitu kigumu sana kutetea kitu cha uongo ukiite cha kweli, lazima tu utababaika. ndio maana tulikuwa tunapinda DP WORLD lakini wewe na wahuni wenzako mlishadadia mno kwasababu tu ya dini. kuna siku professa mwingine ataenda kuhojiwa baada ya dp world kutushitaki, na kwasababu mambo yalipindishwa atashindwa hata kujieleza. I hope utakuwa umeelewa. wewe sio msomi ndio maana hujui haya na si ukute ni mama wa nyumbani unasubiri tu bwanako aje aendelee kuzipiga hizo sehemu zako za siri kizanzibari.