Yaani wanaboa mkuu mpaka gigy money kasena hajafikisha miaka 18 yuko kwenyec Agemate ya 17hivi kwa nini watz hatuwi-proud of na umri ? tuanze na wasanii wetu, hawapendi kuonekana umri umewatupa...
wema 30plus
monalisa 32plus
proff j 37plus
temba 35plus
ay 34plus
anty ezekiel 32plus
jide 37plus
bora wachezaji kina msuva wanatudanganya wana miaka 24, lakini siwalaum kwa sababu mpira ndio ajira zao kwa hiyo wanaongopa umri ili career zao ziendelee mda mrefu, ukizingatia miili yetu ya kiafrika haizeeki ovyo kama ngozi nyeupe, inakomaa tu na kukauka....
Team mange kasema.. Dah aibu hii kwa mwanaume..Apparently wema sepetu ni 26 or 27 hivi .. i rem mange kimambi saying she lied about her age lool.. lets say she aged fast kutokana na maisha anayo ishi ndo kimemzeesha mapema pengine na vyakula
Uko uvccm sjui umri gani wanatumia maana nimemuona Msando na Kafulila,Msando ana mtoto wa miaka 25 sjui alimpata akiwa na miaka mingapiLe mbululaz anamiaka mingapi? Maana namuona hapa dom mkutanoni uvccm
37Lady jay dee anakosa 40 kweli?
Hivi kweli wasanii wetu wanalingana na Uhuru Kenyatta? Acheni masihara ya kupoteza muda hapa.. Twendeni kwenye majukumuJuma Nature kama hajasheherekea miaka 56 na Tanganyika basi atakuwa na 54 hivi.
Wewe sijui umekurupuka kutoka wapi kwani kuna mtu humu unamfuga unamkumbusha Majukumu?Hivi kweli wasanii wetu wanalingana na Uhuru Kenyatta? Acheni masihara ya kupoteza muda hapa.. Twendeni kwenye majukumu
Ukweli unaumaWewe sijui umekurupuka kutoka wapi kwani kuna mtu humu unamfuga unamkumbusha Majukumu?
Muda wote huo umekaa kusoma kilichoandikwa hapa ulisahau kuwa hakuna majukumu, Lala kivyako kuna watu tuna Bima ya Maisha komaa na Majukumu yako usiwe kengele ya wenzako..... UTAGONGWA VIBAYA,si unajua kengele zinavyogongwa?
Nimemgusa Nature umeruka Hivyo mna Agenda gani na yeye au Wewe ni Sonia? Usiwe mwepesi kupatwa na Ashiki utalazwa kwenye Majani kabla hujaona lango la Guest.Ukweli unauma
Bongo ya enzi zile hapo ni uongo kwa umbo lile alikuwa above 18 au usikute alikuwa na miaka zaidi ya 20 .
Umri wake ni miaka 60 chini ya hapo huo ni ulongoMsisahau Na umri wa Le Mutuz a.k.a W. J. Malecela
Hata huyo wema hakosi32Wolper ni kama ana 32 hivi, lakini ukimuuliza atakwambia ana miaka 26
Shilole kwa sasa ana Miaka 32,Shilole 42
Ndio maana hata teuzi za "Mr. Stone" hayupo maana kashafikia umri wa kustaafuUmri wake ni miaka 60 chini ya hapo huo ni ulongo
huyu jamaa kweli wanambaniaMASQO KISANDU ana age gani huyu maana wamembania sana
usije ukambulia jiwe la uzeeniIla huyu wema huyu,siku nikipata pesa lazima ni date nae hata akiwa kasha zeeka