Umri gani ni sahihi kumpa mtoto smart phone?

Umri gani ni sahihi kumpa mtoto smart phone?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1634778400916.jpeg
Smart phone na social media haviepukiki katika dunia ya leo. Moja ya faida ni kuelimisha, kuna binti wa miaka 10 aliweza kuandaa period pack yake kabla hata ya kupevuka kutokana na uwelewa alioupata kutoka kwenye Internet. Hii ni moja ya faida chanya za social media.

Watoto wanapata habari nyingi mno na nyingine ni hatari kwao kufahamu, kutokana na uwezo wao wa kupambanua mambo. Maisha ya sasa hivi yalivyo hata usipomnunulia mtoto simu, kuna ndugu na marafiki wa karibu watakao waza zawadi ya simu kwa birthday au sikukuu ya dini.

Ni umri gani ni sahihi kumruhusu mtoto kuwa na simu hii na ni jinsi gani unaweza kumlinda?
 
Kuna ma aunty na uncles wanaweza kumnunulia kama zawadi ya Idd au X-mas, kabla hajafika chuo unaweza kumnyang’anya?
Familia za ki don ndio huweza kutoa zawadi hizo kwa watoto wadogo ktk kipindi cha Sherehe au sikukuu. Familia hizo hizo za kidon ndio kuna mashangazi wa aina hizo.

Hizi familia nyingine ndio humaliza utata wa maswali yako kwa jibu moja tu, akikuwa mwenyewe atajinunulia.

Hizi familia za chini mtoto hata akiwa na kiswaswadu lazima aanze kujadiliwa kaipataje pataje!
 
Sky Eclat, siku hizi uzazi umekuwa mgumu Sana, baba ana low sperm count, mama ana imbalanced hormones, jumlisha utititiri wa mimba alizochoropoa huko nyuma.

Hapo Sasa ndipo watoto wanapotafutwa kwa waganga wa jadi na kwa kina Mwamposwa.

Mnalishwa mavitu ya ajabuajabu, na mtoto wa maajabu huzaliwa.
Usishangae mtoto anazaliwa akiwa amekumbatia zake iphone13+

😂😄
 
View attachment 1981372
Smart phone na social media haviepukiki katika dunia ya leo. Moja ya faida ni kuelimisha, kuna binti wa miaka 10 aliweza kuandaa period pack yake kabla hata ya kupevuka kutokana na uwelewa alioupata kutoka kwenye Internet. Hii ni moja ya faida chanya za social media.

Watoto wanapata habari nyingi mno na nyingine ni hatari kwao kufahamu, kutokana na uwezo wao wa kupambanua mambo. Maisha ya sasa hivi yalivyo hata usipomnunulia mtoto simu, kuna ndugu na marafiki wa karibu watakao waza zawadi ya simu kwa birthday au sikukuu ya dini.

Ni umri gani ni sahihi kumruhusu mtoto kuwa na simu hii na ni jinsi gani unaweza kumlinda?
I think there no exactly age that kid can be allowed to own smart phone but I see if your kid is grown enough to handle his/her issues like timetable preparing , washing himself, washing his/her clothes.
All these because of smart phone has no wander is media just like others foristance radio and television
 
Mkuu hakuna specific age ya kumnunulia mtoto simu. Mimi nilianza kutumia smartphone nilipomaliza form 6 tena nilinunua baada ya kufundisha "tuition" wanafunzi na kupata pesa.

Kifupi ukiona amejielewa katika nyanja nyingi za kimaisha mpatie simu na muongozo mzuri kwa sababu mitandao ina leta stress nyingi sana.
 
Hapa ni tofauti kidogo nadhani hakuna umri maalum wa kumpa mtoto sim sababu kila mtoto yuko tofauti na mwenzie kiakil kuna baadhi ukimkataza KUTUMIA sim BASI atakua na shauku na ushamba juu na akijitokeza mtu na kasmart phone kake BASI mwanao kaisha hii ni special KWA watoto wa kike na kuna baadhi yao simu wanazitumia vzr Cha msingi uelewa mwanao kuhusu matumizi mzur ya simu ila kumzuia KUTUMIA huwezi
 
Mkuu hakuna specific age ya kumnunulia mtoto simu.
Mimi nilianza kutumia smartphone nilipomaliza form 6 tena nilinunua baada ya kufundisha "tuition" wanafunzi na kupata pesa.
Kifupi ukiona amejielewa katika nyanja nyingi za kimaisha mpatie simu na muongozo mzuri kwa sababu mitandao ina leta stress nyingi sana.
Kuna sehemu unaweza ku alert kuwa mtoto yuko chini ya miaka 18 ili asipate access ya site nyingine za social media?
 
Back
Top Bottom