Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Watoto wanapata habari nyingi mno na nyingine ni hatari kwao kufahamu, kutokana na uwezo wao wa kupambanua mambo. Maisha ya sasa hivi yalivyo hata usipomnunulia mtoto simu, kuna ndugu na marafiki wa karibu watakao waza zawadi ya simu kwa birthday au sikukuu ya dini.
Ni umri gani ni sahihi kumruhusu mtoto kuwa na simu hii na ni jinsi gani unaweza kumlinda?